Ushauri wenu, pombe itaniua kijana mdogo

Ushauri wenu, pombe itaniua kijana mdogo

Huwezi kuacha nakuapia mpaka upigwe homa Kali ya malaria halafu ilipuke mwili uishie nguvu kwa kuwa chakula unakula kdg maana nawajua walevi hata Mimi nimepitia hali hiyo.ukishaumwa upige drip ulazwe ukaribie kukata Moto ndipo uje kupona kwa kupigwa powersafe sindano mbili...halafu ukikumbuka ulivoumwa utaacha pombe
 
Hizo pombe za laki kwa siku mnakunywaje jamani?

Mbona me nikienda sehemu nakunywa 3-4 naondoka
Laki kwenye mitungi ni pesa ndogo sana...labda uwe unakunywa bia za bukubuku na huna hata malaya wa kwenda "kumkanyaga" ukishalewa
Kuna ile mitungi ya kampani kama hujawahi kuinywa laki unashangaa unaona ni hela nyingi ....waulize wanaouza nyumba kisa ulevi wakupe habari...
 
Jaribu kubadili mazingira unayoishi pia angalia marafiki unaokua nao kwenye pombe jitahidi kuwaepuka taratibu bila wao kukushtukia mwisho wa siku utarudi kuwa sawa.
 
Asante mkuu nimekuelewa
Pombe inaachika kwa urahisi sana bila kwenda kwenye maombi wala doctors.
Tumia muda wako mwingi kukaa nyumbani na kufanya vitu vingine mfano kuangalia TV na kusoma vitabu nk
Kaa peke yako na epuka makundi haswa ya wanywa pombe.
Usikae bar kwa vyovyote vile hata ukikaa kaa mwenyewe
Ushauri huu umewasaidia wengi
 
Pombe inaachika kwa urahisi sana bila kwenda kwenye maombi wala doctors.
Tumia muda wako mwingi kukaa nyumbani na kufanya vitu vingine mfano kuangalia TV na kusoma vitabu nk
Kaa peke yako na epuka makundi haswa ya wanywa pombe.
Usikae bar kwa vyovyote vile hata ukikaa kaa mwenyewe
Ushauri huu umewasaidia wengi
Asante nitajaribu
 
Wewe mwenyewe ndio unajua ulichopitia kwenye maisha yako mpaka umekuwa na hali hii uliyonayo sasa. Kila kitu kina sababu na kukushauri tu kamuone daktari wa saikolojia.
Una shida kubwa kwenye akili yako.
 
Wewe mwenyewe ndio unajua ulichopitia kwenye maisha yako mpaka umekuwa na hali hii uliyonayo sasa. Kila kitu kina sababu na kukushauri tu kamuone daktari wa saikolojia.
Una shida kubwa kwenye akili yako.
Sawa
 
Hakuna msaada wowote unaohitaji.

Kimsingi unaishi maisha uliyoyachagua. Siku ukiamua utaacha. Kwa sasa endelea kula gambe!
Na Mimi nilitaka kuandika hivihivi ...

Mlevi
Mzinzi
Wazee wa kubeti
Washirikina ...nk

Ushauri ndio huu huu endeleeni tu na hayo makitu
 
Mkuu pole Sana,uko mkoa gani,Mimi ninao uwezo wa kukutibia na usiweze Tena kutumia pombe .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom