Ni kiasi cha kwenda na kuwaeleza wazazi juu ya tabu hii then wataamua! Unajua ni rahisi kuambiwa amvumilie mlevi kuliko yule aliyetamka kabisa kuwa si choice yake. Otherwise Yeye ndie mvaa kiatu so anajua wapi kinambana zaidi so blahblah za vumilia azipime kwanza na situation yenyewe!!
Nadhani hapo aangalie kitu kingine au aende next step nadhani ndiyo itakuwa vizuri,Sidhani kama ndoa inakuzuia kutake any action ambayo hujafurahiwa nayo!
FL1 ukienda kusoma urusi utakuwa unapiga mswaki na Vodka. Huyo alieolewa na huyo jamaa wa urusi hapo ni bora afungashe maana hataweza kuwa mtumwa wa ndoa. sometimes you need to set your love free rather kuteseka kwenye ndoa kama hizo. Achane na huyo fisadi kwenye ndoa huo ndo ushauri wangu. Mi nilishamshuhudia engineer mmoja huku arusha yaani ni mlevi hata sokomoko ni cha mtoto kazi kujisifu tu nimesoma kwa Vladmir vodka
FL naomba ni pm no. ya huyo dada niwe nampa ushauri hapa anaweza kuwa hasomagi au uta print umpelekee?
MIE NADHANI KUNGEKUWA NA SHERIA KAMA NDOA IMEKUSHINDA KAMA HII UNAKATA KONA
NDO MWANZO WA KUPATA bp,shell,caltex na ma EPA juu
next step kama kulivua pendo au??
Hapa MJ1 wazazi hawana nafasi kwa hali ilivyo sababu hata chanzo cha kufika hapo ni mahusiano ya hao wazazi.Huyu dada hapo ni yeye mwenyewe kusuka au kunyoa kwa vile huyu bwana hana upendo.eidha aondoke aendelee na misha yake au avumie yote na kutafuta mbinu pengine atakuja kubadilika badae.Hapa hata tukimshauri vipi at the end of the day yeye ndio mwenye hatima ya ndoa yake.
Darling siku zote mlevi anayerudia the same kashfa huwa anasema lililo moyoni mwake so si pombe.
Ajikite kwenye maombi!
ZD mdogo wangu nadhani na wewe unakaribia kuingia kwenye hii safari, hakunaga kubadilika baadae/mbeleni bali ndio atazidisha, uciingie kwa kubadilisha mtu ni ngumu sana kumbadili mtu mzima, tunasemaga maombi lakini mtu unachoka jamani mana unaliombea kesho ndio halirudi na likirudi ni matuc/manyanyaso...mie caminigi kubadilika kwa limtu lizima kabisa.
ZD mdogo wangu nadhani na wewe unakaribia kuingia kwenye hii safari, hakunaga kubadilika baadae/mbeleni bali ndio atazidisha, uciingie kwa kubadilisha mtu ni ngumu sana kumbadili mtu mzima, tunasemaga maombi lakini mtu unachoka jamani mana unaliombea kesho ndio halirudi na likirudi ni matuc/manyanyaso...mie caminigi kubadilika kwa limtu lizima kabisa.
Nyamayao ni kweli kabisa unayosema,ni ngumu sana kumbadilisha mtu tabia yake,kubadilika kwa tabia ya mtu kunamtegemea mhusika yeye mwenyewe na kama hayuko tayari kubadilika hata uombe hatabadilika.Maana hapo maombi yatafanayaje kazi na mtu hayuko tayari kuacha hizo tabia? ni sawa sawa na kumwombea mtu mwenye mapepo ukamwambia ukifika nyumbani utupe hirizi zote,na akifika nyumbani hatupi unafikiri nini kitatokea si bado mapepo yataendelea kumsumbua maana hayuko tayari kutupa vile vinavyosababisha.Kwa hiyo kubadilisha tabia ya mtu ni ngumu sana.
ni kweli nyamayao huyu jamaa uwezo wa kubadilika kwake mie sioni zaidi binti kila siku anakonda na mawazo na kushindwa kula hata chakula eeh
yote haya ya nini sasa?
msindima kwa imani nguvu ya mungu ipo na inafanya kazi lakini ndo majibu hayawezi kuonekana leo au kesho sometimez inatake time