Ushauri wangu kwa Zuberi Zitto Kabwe

simjibii mwanasiasa Zitto Kabwe, bali najaribu kuelezea jinsi ninavyoona!
Tatatizo liko hivi (nafikiri) Zitto anataka kuendelea mbele katika siasa lakini tatizo anatoka familia ya kimaskini kama watz wengi tulivvyo, na ukweli ni kwamba kama huna pesa hakuna mafanikio katika siasa, huo ndio ukweli wenyewe! Sasa swali linakuja atapata wapi pesa? Kuna mawili aidha mtu au kikundi cha watu kimpe ili afanikishe azma yake ya kisiasa au yeye
mwenyewe atafute, lakini atafute wapi kwao sio matajiri?

Kwa hiyo njia pekee na raisi iliyobaki kuzunguka huko huko serikalini kwa watu wa CCm kufanya nao dili na mwishowe kupata pesa ambayo sasa anaweza kuitumia kukamilisha mipango yake ya kisiasa, lakini hiyo haiji bure ina bei pia na bei yake ndio kama hiyo anayoilipa sasa , na huu ni mwanzo mengi yatakuja kwa maana piga ua garagaza anahitaji PESA kama anataka kutimiza azma ya kusonga mbele kisiasa!

Ok, ila anakula wapi na ananawa wapi? kula TISS na kwa magamba ili aongoze CDM? asahau.......muda si mrefu atakuwa kijiwe kimoja na Amani Kabour aliyetaka kuLa kunako pishi kama ZITO!
 
hata mimi nia ni kumkanya

Issue hapa si kuwa nani si mchafu ama nani ni msafi zaidi na hivyo zitto hawezi ichukua kama claim ya kumtoa katika haya anayoonywa.Hiyo haitokuwa logic.Kama Zitto anataka blackmail CDM atakuwa ameanguka na atakuwa amethibitisha kuwa anahitaji kusoma logic,kabla ya kuutaka ujemedari mkuu.NAPATA KICHEKESHO KUWA NA PRESIDENT ANAYETAKIWA AWAJIBIKE KWA MATENDO YAKE HALAFU ANAPOTEZA MUDA KUNYOOSHEA MIKONO WATU KUWA NAO WAMEKOSA NA HIVYO AIULIZWE.nilitegemea pia nawe ungesema kama kuna wenye makosa basi angeyatibua kabla ya yeye kufanya hayo ayafanyayo huku akihifadhi ya wengine kama tool ya kublack mail.Hii inaonyesha hata katika rushwa anaweza kuwa keshazama kwa imani kuwa naye atalipuwa wengine.Na hapa huo uzalendo wa chama na Nchi hauna mshiko kwani hii dhana inautengua.

Kumshawishi zitto afikiri kuja na mafaili na cdm waje na mafile yao ili kulinganisha ni hatari zaidi na uthibitisho tosha kuwa Zitto ni chambo ya jaribio la kuibomoa CDM.Ingawa bado naamini zoezi la kutaka bomboa CDM kama chama ni baya na la hatari hata kwa CCM wenyewe kwani, kila credit waipatayo CDM haipokonywi hata aliyeileta akitoka.Wananchi wapo so much programmed to associate any good thing from an individual to CDM but all failures as personal weakness.So this time around ituko vya Zitto vinazama naye na si chama mbele ya wanachama,hiyo ndio akina shibuda hawajui.So CCM wakipoteza muda wajengea watu umaarufu halafu wajetumia huo umaarufu kubomoa chama,watajikuta wanabaki msaliti wao na vita kubwa na wananchi.CCM waju kila umaarufu unaoingia CDM ni one kama valve, halafu CDM ni dynamic kiasi cha kufanya formula ya kuanguka kwa CUF ilsi apply.Take my word, Waulize CCM katika mipango yao mingi waliyoweka iwe matured katika time fulani mingapi imekuwa irrelevant kabla hat akipindi hakijafika?Ni makosa kwani kama sasa hivi wameifungia mwanahalisi kama paper wakaacha website ambayo sasa hivi waandishi wanaweza andika hata bila kuweka majina na kuendelea kufanya kazi kama weak leaks.


Nimependa paragraphy yako ya mwisho kwani inavyojieleza kama vile kuna different personality in mixed message kwa ujumla.Napenda umakini wako na umahiri wa kuandika ila nahofu big idea behind.should I hire a decoder to decode your mindset?

Ujumbe wangu kwa wanasiasa wenye umaarufu wa mlipuko na wanaoshikiliwa na mitandao yenye tafsiri fulani ya ubora ambayo si universal.Wajue raia si wajinga kihivyo.Wapo raia wanaowashangaa sana kupitia the so called common sense.
Tatizo mkuu wangu wewe unatazama upande mmoja tu hutaki huo wa pili so PLeasee njoo ya hiyo decoder!. Usichoelewa ni kwamba Zitto naye anaambiwa mabaya mengi ya viongozi na wanachama dhidi ya yake, chama na taifa kwa ujumla.. Sasa unategemea kweli Zitto ataendelea kuwa mkweli kutumikia chama na viongozi wanaotafuta kila mbinu ya kumwangusha kisiasa toka ndani ya chama chake na wakiweka mikakati hatarishi kwa uchumi na usalama wa Taifa?. Katika swala hili mimi nasema ni 50/50 Viongozi wa Chadema wana makosa vile vile wote mnalishwa sumu hivyo usidhani kwa sababu sijawasema inaondoa ukweli kwamba nao wana makosa...Viongozi wa Chdema wamemtenga Zitto wala siijana hii imeanza muda mrefu hadi ilifikia Hapahapa JF watu wakitukanana na Zitto na tuliwasikia.. Na sii wengine ila viongozi wa CDM na vijana hasa baada ya kugombea nia ya kugokmbea Uenyekiti.

Na kama unakumbuka walisema Zitto anataka kugombea Urais mwaka 2005 ikawa fujo kubwa hapa JF hadi Zitto mwenyewe kwa kauli yake akasema jamani hajataka kugombea Urais na wala sheria haimruhusu maana hajafika umri, ndipo watu wakanyamaza yakaja ya Bavicha ndio kabisaaa ikabidi Zitto kutangaza kususia uchaguzi wa aina yoyote ama kujihusisha na kampeni zozote. Je ni nani alosema Zitto alitaka kugombea Urais mwaka 2005 hadi viongozi wa CDM wakaamini kuna ukweli na hivyo kuanzasha chuki kwa Zitto. CDM sio dynamic kjaama ingekuwa wala msingemchukia Zitto kiasi hiki isipokuwa mnayafanya exactly wanavyotaka CCM, sasa mna ujanja gani?.

Nachosema mimi kuna misinfomation na speculations zinazowatinga nyote. Zitto he is who he is! kutokana na kwamba yeye haamini mtu CDM kama wasivyomuamini yeye. Kawekewa barrier na yeye kaliweka na wala sii pekee vyama vyote Tanzania viongozi wake hawaaminiani, hata wale wasiomuamini Zitto nao wenyewe hawaaminiani. Ndio maana utaona wanatumia zaidi Wahindi na Wakenya ktk nyendo zao - Hatuaminiki... Na hizi ndizo SIASA za BONGO, lazima uende nazo taratibu na kwa uangalifu mkubwa..Ninaamini kabisa tofauti zilizopo baina ya viongozi wa CDM kuhusu Zitto na misimamo yake inaweza kabisa kuepukwa kwa sababu kila kitu kimepikwa na CCM ili kambi ndani ya chama hicho zivurugane na tayari tumeshaanza kuvurugana..Na ipo hatari kubwa sana ya kusambaratika ilihali kuna watu watakuwa wamesema - AHADI IMETIMIA...
 
Duh sasa mwenzangu unachapia.. Chama leo ndio kimekuwa kocha tena? haya na Team itakuwa nini?, sema ukweli pengine Chadema haina kocha as a team?..tunapuyanga tu mpira wa vumbi kidongochekundu!.

Sikilia kitendo cha Zitto kubusu jezi ya Yanga haina maana ndio roho yake iko huko, mbona ndiye huwafunga magoli?..Duh samahani kutumia jina la Yanga maana nasikia Chadema wengi ni Yanga vile vile. Kwa hiyo niseme Zitto kuibusu jezi ya Simba, wakati anawahakikishia Kombe litatua Jangwani kwa nini hataki kumwamini ilihali kocha Dr.Slaa anamwamini?

Mkubwa,
Nafikiri hujanielewa ninaposema kocha ni chama , katiba na kanuni maana yake kwenye vikao vya chama kuna viongozi, mwenyekiti, katibu , makamu wote na kamati. Huwezi sema eti unapatana na A ndani ya chama chenye vikao na maamuzi ya pamoja ukasema wengine shangalabaho. Kma kweli Zito anaiva sana na Dr asingeweza kuwa nje ya mstari kwa kiasi kikubwa kiasi ninachoona, inawezekana wewe unamfahamu Zito wa 2005 sio wa 2012. Check back ur facts.

Tatizo mkuu wangu wewe unatazama upande mmoja tu. Zitto anaye anaambiwa mabaya mengoi ya viongozi na wanachama dhidi yake. Sasa unategemea kweli Zitto ataendelea kuwa mkweli kwutumikia vchama na viongozi wanaotafuta kila mbinu ya kumwangusha kisiasa na ndani ya chama chake..Katika sswala hili mimi nasema ni 50/50 Viongozi wa Chadema wana makosa vile vile usidhani kwa sababu sijawasema inaondoa ukweli kwamba nao wana makosa...Viongozi wa Chdema wamemtenga Zitto wala siijana hii imeanza muda mrefu hadi ilifikia Hapahapa JF watu wakitukanana na Zitto na tuliwasikia..

Sii wengine ila viongozi wa CDM hasa baada ya kugombea nia ya kugokmbea Uenyekiti. Na kama unakumbuka walisema Zitto anataka kugombea Urais mwaka 2005 ikawa fujo kubwa hapa JF hadi Zitto mwenyewe kwa kauli yake akasema jamani hajarttaka kugoimbea Urais na wala sheria haimruhusu maana hajafika umri, ndipo watu wakanyamaza.... Je ni nani alosema Zitto alitaka kugombea Urais mwaka 2005 hadi viongozi wa CDM wakaamini kuna ukweli na hivyo kuanzasha chuki kwa Zitto. CDM sio dynamic kjaama ingekuwa wala msingemchukia Zitto kiasi hiki isipokuwa mnayafanya exactly wanavyotaka CCM, sasa mna ujanja gani?.

Nachosema mimi kuna misinfomation na speculations zinazowatinga nyote. Zitto he is who he is kutokana na kwamba haamini mtu CDM kaama wasivyomuamini yeye.Na wala sii pekee vyama vyote Tanzania viojngozi wake hawaaminiani, hata wasiomuamini Zitto nao wenyewe hawaaminiani.. Hizi ndizo SIASA za BONGO lazima uende nazo taratibu na kwa uangalifu mkubwa..Ninaamini kabisa tofauti zilizopo baina ya viongozi wa CDM na hasa kuhusu Zitto linaweza kabisa kuepukwa kwa sababu kila kitu kimepikwa na CCM ili kambi ndani ya chama hicho zivurugane.

Uongozi ni kazi ngumu sana na sio wote wenye karama ya kuongoza watu, ila lazima ni wasifu viongozi wa CDM kwani wanapitia na wamepitia magumu mengi. CCM usiku na mchana wanapanga mbinu za kuvunja nguvu za CDM wakitumia mamluki wa ndani na nje ya chama. Hasira kubwa ya wanaCDM dhidi ya Zito ni fikra kwamba kawa agent wa kuiwa CDM.

Je kuna ukweli wa hilo anayejua ni ZIto mwenyewe, ila kwa wenye akili za kawaida matendo yake yanaleta mkanganyiko mkubwa sana. Wengi hasa wanachama wa kawaida wametumia nguvu nyingi sana kujenga chama na wasingependa yeyote kutaka kupoteza nguvu zao kwa makusudi au tamaa ya aina yeyote.

Je ni kweli viongozi wengine wanamsuguano hilo lina weza kutokea ila kwa busara yao wanamaliza matatizo yao under the carpet na siku zinakwenda. Sijawahi sikia Viongozi wa CDM wakinangana hadharani zaidi ya ZIto kwa mdomo wake akiwananga wenzake tena kwenye mikutano ambayo hana uhakika anaongea na akina nani, huu ni ufa mkubwa sana.

Swala la Zito kutaka kugombea Uraisi mwaka 2005 hili ni jipya kabisa kwani 2005 Zito alikuwa ndio tu kaingia bungeni november. ZIto amewachanganya wengi kwani hata Viongozi walimtegemea sana kuwa kiongozi wa chama ila mwenendo wake hata ingekuwa ni wewe na unakipenda chama ungekuwa na wasiwasi kwani hujui nini anakitoa kwa JK. Siamini kama mapenzi binafsi ya JK kwa ZIto yanamema na CDM.

Chama cha siasa kitajengwa na watu imara wenye nia mapenzi na malengo sawa bila kujali tofauti zao. Ukomavu wa uongozi ni kuweza kutatua matatizo bila kuyafanya maafa. Kongozi makini anaielewa team yake na kucheza kiushindi zaidi badala ya kuungana na adui kuitekeza team eti kisa fulani kwake ni mbaya.

Siamini kwenye undumilakuwili na siamini tabia kinyonga kwani ni heri kujua kiongozi anamitazamo gani kuliko kutegemea utabiri. Ieleweke kuwa matatizo kwenye taasisi kubwa kama CDM ni kitu cha kawaida changamoto ni jinsi ya kuyatatua kwa umakini na haraka. Siasa za Tanzania zinaangamia kwa kuogopa watu, hili tatizo ndilo linaimaliza CCM kuogopa mtu eti ana nguvu sana kwangu mimi sioni mwenye nguvu zaidi ya umasikini wa waTanzania wenye kiu ya masiha atayeumaliza au upunguza. Amini usiamini Watanzania wanataka mtu atakayewahakikishia ajira, maji safi, huduma zaafya, elimu bora barabara za uhakika na haki sawa mbele ya sheria. Je mategemeo ya Watanzania ni mipasho na tuhuma za rushwa kushindwa kwa uongozi kila kukicha ??? Come now ! sio mategemeo yangu sio mategemeo ya yeyote mwenye taabu na dhiki za kutengezwa. Wanatumia wananchi kushibisha matumbo yao na kufikia malengo yao, wanafanya siasa ajira kwa kauli tamu wakijifananisha nasi kumbe wako mbali nasi. Unyonge na umasikini wetu ndio silaha kubwa wanayotembea nayo. Unafiki ndio wimbo wao. wasiporekebisha uozo huu .............
 
Mkubwa,
Nafikiri hujanielewa ninaposema kocha ni chama , katiba na kanuni maana yake kwenye vikao vya chama kuna viongozi, mwenyekiti, katibu , makamu wote na kamati. Huwezi sema eti unapatana na A ndani ya chama chenye vikao na maamuzi ya pamoja ukasema wengine shangalabaho. Kma kweli Zito anaiva sana na Dr asingeweza kuwa nje ya mstari kwa kiasi kikubwa kiasi ninachoona, inawezekana wewe unamfahamu Zito wa 2005 sio wa 2012. Check back ur facts.



Uongozi ni kazi ngumu sana na sio wote wenye karama ya kuongoza watu, ila lazima ni wasifu viongozi wa CDM kwani wanapitia na wamepitia magumu mengi. CCM usiku na mchana wanapanga mbinu za kuvunja nguvu za CDM wakitumia mamluki wa ndani na nje ya chama. Hasira kubwa ya wanaCDM dhidi ya Zito ni fikra kwamba kawa agent wa kuiwa CDM.

Je kuna ukweli wa hilo anayejua ni ZIto mwenyewe, ila kwa wenye akili za kawaida matendo yake yanaleta mkanganyiko mkubwa sana. Wengi hasa wanachama wa kawaida wametumia nguvu nyingi sana kujenga chama na wasingependa yeyote kutaka kupoteza nguvu zao kwa makusudi au tamaa ya aina yeyote.

Je ni kweli viongozi wengine wanamsuguano hilo lina weza kutokea ila kwa busara yao wanamaliza matatizo yao under the carpet na siku zinakwenda. Sijawahi sikia Viongozi wa CDM wakinangana hadharani zaidi ya ZIto kwa mdomo wake akiwananga wenzake tena kwenye mikutano ambayo hana uhakika anaongea na akina nani, huu ni ufa mkubwa sana.

Swala la Zito kutaka kugombea Uraisi mwaka 2005 hili ni jipya kabisa kwani 2005 Zito alikuwa hata hajawa Mbunge. ZIto amewachanganya wengi kwani hata Viongozi walimtegemea sana kuwa kiongozi wa chama ila mwenendo wake hata ingekuwa ni wewe na unakipenda chama ungekuwa na wasiwasi kwani hujui nini anakitoa kwa JK. Siamini kama mapenzi binafsi ya JK kwa ZIto yanamema na CDM.

Chama cha siasa kitajengwa na watu imara wenye nia mapenzi na malengo sawa bila kujali tofauti zao. Ukomavu wa uongozi ni kuweza kutatua matatizo bila kuyafanya maafa. Kongozi makini anaielewa team yake na kucheza kiushindi zaidi badala ya kuungana na adui kuitekeza team eti kisa fulani kwake ni mbaya.

Siamini kwenye undumilakuwili na siamini tabia kinyonga kwani ni heri kujua kiongozi anamitazamo gani kuliko kutegemea utabiri. Ieleweke kuwa matatizo kwenye taasisi kubwa kama CDM ni kitu cha kawaida changamoto ni jinsi ya kuyatatua kwa umakini na haraka. Siasa za Tanzania zinaangamia kwa kuogopa watu, hili tatizo ndilo linaimaliza CCM kuogopa mtu eti ana nguvu sana kwangu mimi sioni mwenye nguvu zaidi ya umasikini wa waTanzania wenye kiu ya masiha atayeumaliza au upunguza. Amini usiamini Watanzania wanataka mtu atakayewahakikishia ajira, maji safi, huduma zaafya, elimu bora barabara za uhakika na haki sawa mbele ya sheria. Je mategemeo ya Watanzania ni mipasho na tuhuma za rushwa kushindwa kwa uongozi kila kukicha ??? Come now ! sio mategemeo yangu sio mategemeo ya yeyote mwenye taabu na dhiki za kutengezwa. Wanatumia wananchi kushibisha matumbo yao na kufikia malengo yao, wanafanya siasa ajira kwa kauli tamu wakijifananisha nasi kumbe wako mbali nasi. Unyonge na umasikini wetu ndio silaha kubwa wanayotembea nayo. Unafiki ndio wimbo wao. wasiporekebisha uozo huu .............
Mkwawa, unachukulia maneno kwa urahisi sana. Zitto alivumishwa kugombea Urais hapa JF 2010 sema nimekosea kuandika mwaka lakini isiwe sababu ya kusahihisha yote yaliyoandikwa.. Wewe najua fika swala hili lilikuwa zito sana hapa JF wakabishana weee, halafu likafuata swala la Uchaguzi wa Bavicha na tukaona kambi mbili zikimwaga radhi..U know damn well what I talkin'!
 
Mkwawa, unachukulia maneno kwa urahisi sana. Zitto alivumishwa kugombea Urais hapa JF 2010 sema nimekosea kuandika mwaka lakini isiwe sababu ya kusahihisha yote yaliyoandikwa.. Wewe najua fika swala hili lilikuwa zito sana hapa JF wakabishana weee, halafu likafuata swala la Uchaguzi wa Bavicha na tukaona kambi mbili zikimwaga radhi..U know damn well what I talkin'!

Mkubwa heshima mbele!
Naheshimu sana mchango wako unatusaidia wote.
Ni kweli Zito alifumishwa sana kugombea 2010 na tena sio kwamba alivumishwa Zito mwenyewe alitaka kugombea sema tu katiba ya nchi ilimzuia. Vile vile bavicha alitengeneza makundi akitaka kujenga kundi lake ili kujijenga kwenye mbio zake za Urais (Facts) hiki ni kitendo hatari sana ndani ya chama cha siasa.

Ni vema kuwa na viongozi wenye nia ya kufika juu hasa kuwa wenyeviti wa taifa na kugombea nafasi kubwa kabwa kama uraisi ila sio kuutaka kwa udi na uvumba lazima wenye akili wajiulize kunani??? Chama kwanza, Tanzania kwanza kujenga chama kwanza then Uraisi upo tu. Kumbuka kila chama kina jinsi kinavyofanya kazi, hivi kweli leo CDM wakainanza kuwa na makundi ya kutaka kuingia Ikulu wataweza kweli chama bado kinakuwa bado kinamapengo kibao 2010 tulishindwa kusimamisha wabunge na madiwani sehemu kubwa, tulishindwa kuwa na mawakala sehemu nyingi kamana una akili timamu unaanzisha kambi ya kuingia ikulu 2015 au una fix haya matatizo kwanza???

Hakuna atakayeingia Ikulu 2015 kama hatutatui matatizo ya msingi ambayo ni kujenga chama chini juu na kuandaa viongozi kuanzia wa mashina. Mimi binafsi naamini tukiwa na chama dhabiti chenye viongozi wenye busara na mfumu unaofanyakazi kwa pamoja unaweza kutoa Raisi muwajibikaji kwani kioo chake kitakuwa ni sera na taratibu za chama na atawajibika kwa wananchi na chama chake cha siasa.

Zito hata akijenga kikundi chake cha kuingia Ikulu na wale vijana wake wawili watu kweli atafika wakati wote yeye na kijikundi chake wamesusia kujenga chama ??? Nia yao ilikuwa ni nini??

Zito alitakiwa awe kinara wa kujenga chama kwa sasa kwani anakubalika sana ndani ya makundi ya vijana na baadhi ya wazee ukanda wa juu kati na kusini na mashariki kaskazini na magharibi ZIto amekubalika sana ila yeye kaingia kona baada ya kuona haachiwi kundi analotaka kuvuruga mfumo mzima wa chama.

Uenyekiti sidhani kama alikatazwa ila kwa uchanga wa chama waliona wangetengeneza ufa kuacha watu wawili wenye nguvu wasigishane. Ni ukweli kwamba chama kilikuwa ndio kwanza kimeanza kushika kasi. Uongozi wa Mtei ulitoka kukiwa na matumaini ila wanachama wachache, akaingia Bob nayo ilionekana ya wazee kama Mtei hakukuwa na hamasa sana. Alipoingia Mbowe akabadili sura akawapa akina Zito uwanja wa kucheza akabadili chama kikawa cha vijana na kuwawezesha.

Mafanikio ya uongozi wa Mbowe na Dr Slaa asialni yanaonekana. Walimpenda Zito na kumwezesha akawa Naibu katibu mkuu na Mbunge wa Kigoma kaskazini. Walimsaidia ndani na nje ya Bunge Zito akawa ndiye kijana mbunge machachari sana dodoma. Zito alionekana kukijenga chama na kufanya kazi kwa ushirikiano na wenzake wote bila shida yeyote.

Matatizo yalianza mara zito alipoteuliwa kuingia kamati ya madini na JK , kamati ile ilipoisha sijui hata kama ripoti ilisomwa sikumbuki wala sikumbuki kama iliwahi kuelezewa hadharani zaidi ya kusikia vipisi vya ripoti. Mara baada ya kamati ile Zito aligeuka kuwa karibu sana na JK kuliko hata na viongozi wake.

Swala la kwamba alipewa mafaili ya wenzeka ya kutengeneza huhitaji kuwa na phd , tulipokuwa sekondari tukigoma ulikuwa ukiitwa kuhojiwa unaambiwa wenzako wote wamekuta wewe na madhambi yako ni haya na wao wamekubali yao na wamekiri sasa sema wewe unajua nini, kwa tuliokuwa na kaili tulijua hizi ni mbinu chafu tu za kutaka mtu aongeee.

Huwezi mmaliza adui kwa kumpa mbinu zako za Ushindi and the young politician did it.
 
Tatizo mkuu wangu wewe unatazama upande mmoja tu hutaki huo wa pili so PLeasee njoo ya hiyo decoder!. Usichoelewa ni kwamba Zitto naye anaambiwa mabaya mengi ya viongozi na wanachama dhidi ya yake, chama na taifa kwa ujumla.. Sasa unategemea kweli Zitto ataendelea kuwa mkweli kutumikia chama na viongozi wanaotafuta kila mbinu ya kumwangusha kisiasa toka ndani ya chama chake na wakiweka mikakati hatarishi kwa uchumi na usalama wa Taifa?. Katika swala hili mimi nasema ni 50/50 Viongozi wa Chadema wana makosa vile vile wote mnalishwa sumu hivyo usidhani kwa sababu sijawasema inaondoa ukweli kwamba nao wana makosa...Viongozi wa Chdema wamemtenga Zitto wala siijana hii imeanza muda mrefu hadi ilifikia Hapahapa JF watu wakitukanana na Zitto na tuliwasikia.. Na sii wengine ila viongozi wa CDM na vijana hasa baada ya kugombea nia ya kugokmbea Uenyekiti.

Na kama unakumbuka walisema Zitto anataka kugombea Urais mwaka 2005 ikawa fujo kubwa hapa JF hadi Zitto mwenyewe kwa kauli yake akasema jamani hajataka kugombea Urais na wala sheria haimruhusu maana hajafika umri, ndipo watu wakanyamaza yakaja ya Bavicha ndio kabisaaa ikabidi Zitto kutangaza kususia uchaguzi wa aina yoyote ama kujihusisha na kampeni zozote. Je ni nani alosema Zitto alitaka kugombea Urais mwaka 2005 hadi viongozi wa CDM wakaamini kuna ukweli na hivyo kuanzasha chuki kwa Zitto. CDM sio dynamic kjaama ingekuwa wala msingemchukia Zitto kiasi hiki isipokuwa mnayafanya exactly wanavyotaka CCM, sasa mna ujanja gani?.

Nachosema mimi kuna misinfomation na speculations zinazowatinga nyote. Zitto he is who he is! kutokana na kwamba yeye haamini mtu CDM kama wasivyomuamini yeye. Kawekewa barrier na yeye kaliweka na wala sii pekee vyama vyote Tanzania viongozi wake hawaaminiani, hata wale wasiomuamini Zitto nao wenyewe hawaaminiani. Ndio maana utaona wanatumia zaidi Wahindi na Wakenya ktk nyendo zao - Hatuaminiki... Na hizi ndizo SIASA za BONGO, lazima uende nazo taratibu na kwa uangalifu mkubwa..Ninaamini kabisa tofauti zilizopo baina ya viongozi wa CDM kuhusu Zitto na misimamo yake inaweza kabisa kuepukwa kwa sababu kila kitu kimepikwa na CCM ili kambi ndani ya chama hicho zivurugane na tayari tumeshaanza kuvurugana..Na ipo hatari kubwa sana ya kusambaratika ilihali kuna watu watakuwa wamesema - AHADI IMETIMIA...

Tayari nimeshaanza ku decode lots of the things.Nitakupa majibu as time goes on.wel, mimi siegemei upande mmoja kwani hata kadi ya CDM sina.
Back to the thread.
Kuna vitu hutaki viona:
-Zitto kujiangusha mweyewe zaidi ya anavyoangushwa.
-Halafu unajaribu sana kuthibitisha kuwa muumini wa conspirancy theories kuwa kuna watu wapo misinformed sijui na speculations.Bado hujaweza thibitisha kuwa CDM si dynamic.Ila kila siku CCM wanakuwa caught by surprises. CCM wana spend muda mwingi kuplot against upinzani hasa chadema huku mara zote CDM wakiwa winners, sasa sijui CDM wakiamua kuwavaa itakuweje?CDM wamefikia hapo kwa vigezo zingi ila zaidi ni kuwa illusional and unpredictable ndio maana CCM hawajaweza wa accomodate.

Pamoja na kuwa Zitto na waliopo nyuma yake ama kwa kupotoshwa, ama kwa kukusudia ,ama kwa kutojua kwa vile bado wanayo picture yake ile ya kipindi chake akitolewa bungeni katika Bunge la akina Mudhihiri,wana hoja duni sana, wanajaribu mjengea picture kuwa ana maadui kuliko ukweli kuwa yeye mwenyewe ndie shida kwake na kwa wengine.Alipata umaarufu kwa huruma ya lile tendo na umri aliokuwa nao huku akiwa na confidence zaidi ya uwezo binafsi wake.Hakuna anayekataa kuwa Zitto alipambana huku akiwa na back up ya kina slaa.Ila amekuwa carried away na hiyo glory time.

Sina mashaka na uwezo wako wa kuandika na kupitia mambo ila pia upo too transparent and offroad katika baadhi ya maeneo ndio nili highlight paragraphy ya mwisho, na hata katika hii posting pia upo very transparent sana,kiasi cha kuona how dangerous you can turn.Hembu soma ulichomshauri na unachotetea.Then built premises and go to concusion

Nashauri kuwa kuegemea conspiracy theries an blackmailing kuna fanya hata wenye kutumia common sense kuona kuona kuwa hafai.Haiwezekani Zitto aonyeshe mambo ya mashaka na yenye ubinafsi ambayo hata wewe umeyapoint out baadhi, halafu kwa pamoja mnataka jitetea kwa kutaka onyesha wengine wenye makosa katika CDM.Yaani wakosaji wawili hawamanyi mmoja kuwa innocent.Ila kwa Zitto usaliti haufichiki, sasa kama anadhani aliyoyaficha ndio ulinzi wake kachemsha kwani sasa ataonekana nalipiza kisasi na kushambulia chama au simply ni mbea.

Kuna mengi Zitto amefanya yanayompinga.Mdomo unasema kwa ujasiri kuwa ni MZALENDO,MWADILIFU, ANA MSIMAMO, SIJUI nini na nini.Sasa uzalendo haupo katika Chama chake?uzalendo ni mpana sana ,ila una msingi wake ni kujitoa kwa ajili ya kwako(Chama chake,watu wake, nchi yake, watu wake, nyumbani kwake etc), sasa CCM ni chama chake?Wana-CDM si watu wake?watanzania anawaosaliti ni watu wake?Uadilifu upi kama haeshimu viongozi wenzie na utawala wa chama chake?Uadilifu upi kudhalilisha wengine kwa kutaka jionesha kuwa yey ndie kila kitu CDM(ingawa sasa mwenyewe kakosa confidence kwani kama ni ujana wengine ,wapo, kama ni hoja wengine wapo pia na kabaki kama legacy), kama ni msimamo ni upi alio nao kama yupo mguu nje mguu ndani?Kama ni mtoto masikini maisha nayoishi hayasemi hayo, kama ni kuheshimu watu mbona kila kitu katika appearanse na behaviour kipo wazi kuwa masikio yamezidi pembe?Kama anadhnai yeye ndiye Mr. CDM si ajitoe aanzishe party yake na kuondoka na roho ya CDM ?

Huyu jamaa alikuwa kivutio changu kuangalia bunge ila siku zilipoenda amekuwa carried away na sifa anazozipata amekuwa more of celebrity than responsible leader.Soon tutahitaji m counsel kama akina Wema sepetu yanapowakuta.Life inaanza kuwa boring hata kwake mwenyewe,ndio maana anatafuta kitu kingine cha kusatisfy desires zake.Amekuwa na selfish desires ambazo hakuna cha kukata kiu yake.Pia haki zinaweza kuwa abused kama hakuna busara
 
The Fall of Zitto!
The journey to the presidency is not an easy one, there are rivers to xross and mountains to climb; some rivers with crocodiles and hippos...but for ambitious ones, it is worth a journey to pursue....Go ZZK! Go

Huu ni upepo tu na utapita!
 
Sasa hapa ndipo mnapokosea nanyi.. Chama ni team players hakuna cha Zitto na matatizo yake. Anapoumizwa Zitto ni lazima myasikie machungu yake hata kama yeye ndio njia ya mkato..

Mpirani maadui wakijua namba tatu ndio njia ya mkato inatakiwa formation ya ulinzi ubadilike, namba saba anashuka kusaidia na namba sita vile vile anacheza zaidi half ya kushoto mnaposhambuliwa..Hii inasaidia kutofungwa magoli maana ushindi wa Soccer/Football hutokana kwanza na kutofungwa.

Halafu pia mkiwa na mshambuliaji mzuri sana lazima yeye atapewa maadui wengi zaidi na pengine hata kukwatuliwa atolewe nje ili oppositon team ipate kufanya wao mashambulizi.. Kumbuka Mechi ya Italia na France alipoondolewa Zidane.. Ilikuwa imepangwa japokuwa ni makosa ya Zidane, Italia ilikosa Ushindi..

Sasa mkisema haya maswala yanatokana na Zitto mwenyewe wakati ni player mzuri ktk team na hamna namba tatu mwingine au mshambuliaji kwa kiwango chake, well mtafungwa mengi sana na ndicho CCM wanakitaka.....Kumbuka tu huu ni ushauri wetu sote kwa sababu tunampenda sana..

Hapana Mkuu, nilikuwa nakubaliana na wewe kuanzia mwanzo lakini hapa inabidi tutofautiane.
Kama huyo namba tatu ameshakula njama ya kuachia magoli au kwa kuhongwa au kwa tamaa na akawa hamsikilizi tena Kocha wala ushauri wa Captain wa timu, huyo si mchezaji wa timu tena. Atatoa pasi kujifanya ya bahati mbaya, ili mshambuliaji wa upinzani afunge goli.

Kwa mtizamo wangu Zitto ameshaonyesha dalili zote za udikteta. Najiuliza kama yuko hivi leo hii anakwenda mwendo wake peke yake na kudharau kabisa msimamo wa Chama chake, akishika madaraka itakuwa je?

Inavyoonyesha anajiona kuwa mtu wa ajabu sana kupata uenyekiti wa POAC, sidhani kwamba ni busara kutamka kuwa wenzake wanataka atolewe ili wachukue hiyo nafasi. Ameonyesha udhaifu sana kwa kauli hiyo na inathibitisha kuwa katika utendaji wake wa hiyo kazi wala hajawahi kupata ushauri wa wenzake. Ndiyo maana anadhani kuna wanaotaka hicho cheo cha uenyekiti wa hiyo kamati. Kifupi amebweteka kisiasa wakati hata manufaa ya kiyo kamati hayajaonekana kivileee. Mashirika ya umma bado yanachechemea na kufisadiwa kila kukicha. Hakuna sababu kubwa ya kusababisha ajisifu kiasi hicho. Political maturity is what is lacking here!
Hapo alipofikia mpaka sasa ni kuwa amejidhalilisha kwa vijana wenzake wengi waliokuwa wanamtegemea sana. Siasa alizokumbatia sasa hivi ni zile zile za kina Msekwa na Kingunge. Anashindwa kujiuzulu kwenye hiyo kamati baada ya kuchafuliwa wakati juzi alikuwa anakusanya sahihi za wabunge wenzake kushinikiza Mizengo ajiuzulu?

Chadema wanayo kazi ya kumrekebisha Zitto. Nina hakika Chadema wanamfahamu sana Zito, wanajua wapi anawafaa na wapi haambiliki wala hakamatiki. Kuna haja sasa ya kupima kwa umakini mkubwa sana manufaa ya kuendelea na ndoa yao. Zito mwenyewe pia anatakiwa kuonyesha kujifunza kutokana na makosa yake na kwa kusikiliza ushauri anaopewa. Ila atambue tu kuwa sasa jamii itakuwa makini sana na mwenendo wake including vyama vyote viwili. Yuko kwenye nyumba yenye kuta za "glass". Akivua nguo watu watakuwa wanamwona kutoka nje.

Ni ushauri tu.
 
The journey to the presidency is not an easy one, there are rivers to xross and mountains to climb; some rivers with crocodiles and hippos...but for ambitious ones, it is worth a journey to pursue....Go ZZK! Go

Huu ni upepo tu na utapita!

sidhani kwamba kuna swala la uraisi hapa. Tanzania tufike mahali tuwajibike kwa matendo maneno na wajibu wetu, tusiwe watu wa kutafuta njia za kukimbia hata sehemu ambazo tunazimudu. Mbio za uraisi haziwezi kuwa hivi. Nina amini kwa hili kunauwezekano mkubwa hajala kitu haramu, na vile vile hizi tuhuma hazina uhusiano wowote na mbio za Zito za Uraisi. Zito anajua yeye sio mgombea wa Uraisi kwa CDM wala yeyote yule kwani hata mchakato haujaanza mchakato ukianza kila mtu atamjua nani agombee.

Ninyi wa CCM ndio mnamharibu Zito ili CDM iwe na makundi kama yenu.
 
Mkubwa heshima mbele!
Naheshimu sana mchango wako unatusaidia wote.
Ni kweli Zito alifumishwa sana kugombea 2010 na tena sio kwamba alivumishwa Zito mwenyewe alitaka kugombea sema tu katiba ya nchi ilimzuia. Vile vile bavicha alitengeneza makundi akitaka kujenga kundi lake ili kujijenga kwenye mbio zake za Urais (Facts) hiki ni kitendo hatari sana ndani ya chama cha siasa.

Ni vema kuwa na viongozi wenye nia ya kufika juu hasa kuwa wenyeviti wa taifa na kugombea nafasi kubwa kabwa kama uraisi ila sio kuutaka kwa udi na uvumba lazima wenye akili wajiulize kunani??? Chama kwanza, Tanzania kwanza kujenga chama kwanza then Uraisi upo tu. Kumbuka kila chama kina jinsi kinavyofanya kazi, hivi kweli leo CDM wakainanza kuwa na makundi ya kutaka kuingia Ikulu wataweza kweli chama bado kinakuwa bado kinamapengo kibao 2010 tulishindwa kusimamisha wabunge na madiwani sehemu kubwa, tulishindwa kuwa na mawakala sehemu nyingi kamana una akili timamu unaanzisha kambi ya kuingia ikulu 2015 au una fix haya matatizo kwanza???

Hakuna atakayeingia Ikulu 2015 kama hatutatui matatizo ya msingi ambayo ni kujenga chama chini juu na kuandaa viongozi kuanzia wa mashina. Mimi binafsi naamini tukiwa na chama dhabiti chenye viongozi wenye busara na mfumu unaofanyakazi kwa pamoja unaweza kutoa Raisi muwajibikaji kwani kioo chake kitakuwa ni sera na taratibu za chama na atawajibika kwa wananchi na chama chake cha siasa.

Zito hata akijenga kikundi chake cha kuingia Ikulu na wale vijana wake wawili watu kweli atafika wakati wote yeye na kijikundi chake wamesusia kujenga chama ??? Nia yao ilikuwa ni nini??

Zito alitakiwa awe kinara wa kujenga chama kwa sasa kwani anakubalika sana ndani ya makundi ya vijana na baadhi ya wazee ukanda wa juu kati na kusini na mashariki kaskazini na magharibi ZIto amekubalika sana ila yeye kaingia kona baada ya kuona haachiwi kundi analotaka kuvuruga mfumo mzima wa chama.

Uenyekiti sidhani kama alikatazwa ila kwa uchanga wa chama waliona wangetengeneza ufa kuacha watu wawili wenye nguvu wasigishane. Ni ukweli kwamba chama kilikuwa ndio kwanza kimeanza kushika kasi. Uongozi wa Mtei ulitoka kukiwa na matumaini ila wanachama wachache, akaingia Bob nayo ilionekana ya wazee kama Mtei hakukuwa na hamasa sana. Alipoingia Mbowe akabadili sura akawapa akina Zito uwanja wa kucheza akabadili chama kikawa cha vijana na kuwawezesha.

Mafanikio ya uongozi wa Mbowe na Dr Slaa asialni yanaonekana. Walimpenda Zito na kumwezesha akawa Naibu katibu mkuu na Mbunge wa Kigoma kaskazini. Walimsaidia ndani na nje ya Bunge Zito akawa ndiye kijana mbunge machachari sana dodoma. Zito alionekana kukijenga chama na kufanya kazi kwa ushirikiano na wenzake wote bila shida yeyote.

Matatizo yalianza mara zito alipoteuliwa kuingia kamati ya madini na JK , kamati ile ilipoisha sijui hata kama ripoti ilisomwa sikumbuki wala sikumbuki kama iliwahi kuelezewa hadharani zaidi ya kusikia vipisi vya ripoti. Mara baada ya kamati ile Zito aligeuka kuwa karibu sana na JK kuliko hata na viongozi wake.

Swala la kwamba alipewa mafaili ya wenzeka ya kutengeneza huhitaji kuwa na phd , tulipokuwa sekondari tukigoma ulikuwa ukiitwa kuhojiwa unaambiwa wenzako wote wamekuta wewe na madhambi yako ni haya na wao wamekubali yao na wamekiri sasa sema wewe unajua nini, kwa tuliokuwa na kaili tulijua hizi ni mbinu chafu tu za kutaka mtu aongeee.

Huwezi mmaliza adui kwa kumpa mbinu zako za Ushindi and the young politician did it.
Mkwawa mkuu wangu sina sababu ya kuendeleza Ubishi usiokuwa na ukweli kwa kutumia tuhuma na uvumi..Na hasa unaposema Zitto alitaka kugomnbea Urais mwaka 2010 wakati ni YEYE mwenyewe Zitto kwa kauli yake hapa hapa JF alikuja na kuwanyamazisha watu midomo kama ilivyo tuhuma hizi. Nani kati yenu ana uhakika Zitto kachukua Rushwa? hakuhna lakini mnaamini na mnaweza kuweka viapo kwamba Zitto kachukua Rushwa tena mkidai safariu hii hawezi kutoka.. Hawezi kutoka wapi?..

Ni Zitto aliyekuja hapa JF na nakumbuka vizuri sana sema tu nyine Wadanganyika kwanza hamna kumbukumbu na wala hamuzihitaji maana maisha yetu ni ya siku hadi siku, kumbukumbu za nini..Mkuu narudia tena kusema, Zitto ndiye alikuja hapa JF na kujitetea kuhusu tuhuma za yeye kugombea Urais ni UOngo na akasema sababu zake.. Kama Maxence Mello anayo record ya mada hiyo aiweke hapa na mtana aibu nyie wenyewe..licha ya hivyo nimewahi kuongea naye kabla ya uvumi huu nikiwa Bongo alizungumzia kitu hii na jinsi gani siasa za Bongo zinafitinisha watu... Na ni yeye Zitto kwa jinsi mlivyomuandama alisema hatagombea tena Ubunge atarudi shule au kutafuta ajira ktk fani aloizoea..

Watu wakamfuata na kumsihi asifanye hasira, na kwamba chama kinamuhitaji, longo longo kibao akarudi na kugombea baada ya hapo tu watu wana questiioj tena kwa nini hakujiuzuru siasa..Oooh mbona ulisema hutagombea tena? wengine wakiuliza ulisema hutagombea Kigoma tena kulikoni lakini haya ninmaswali ya CCM wanaCHadema wakayavamia wakati ushindi wa jimbo lake ni Ushindi wa CDM, sio wake yeye Zitto japokuwa tunamhitaji. Na bila Zitto kugombea Kigoma CCM wange sweep Mkoa, hili tunalijua fika..

Halafu sii kweli mimi ni hatari isipokuwa nazitazama sehemu mbili zote na kuzitoa makosa.. Zitto ana makosa na Nyie washabiki wa upande wa pili ni mashabiki manazi na wapiga debe nawatoeni makosa vile vile.. Kwa hiyo, mkuu wangu hapa hatukuja kutiana vidole vya macho bali kuelekezana na sii vizuri kusema uongo ili kuonyesha Ubaya wa Zitto. Zitto hana ubaya wowote isipokuwa anahitaji maelekezo zaidi japokuw nawajua watu wa Kigoma...Ni wabishi kuliko Mkandara kwa asili na wakijua wako sawa huwezi kugeuza maamuzi yao. Nimesema wazi kabisa kosa kubwa la Zitto ni kwamba bado hajaiva kisiasa, na pengine sio yeye tu wapo wengi sana Tanzania wanaofikiria SIASA huongozwa na Demokrasia inayojali Individual right kwa kutoa freedom hata iliyo negative Liberty, ile kitu wazungu wanaita - Libertarian - UBINAFSI..
Hizi fikra hizi ndizo zinawachanganya kundi la kina Zitto na hata hufikia kudhani kwamba sheria taratibu na kanuni haziwezi kuwa na maana kama haziheshimu UBINAFSI wa MTU..wakidhani Ubinafsi ni sawa na individual right, Ubinafsi ni haki yao ya msingi kuwa na uhuru wa kufikiri, kusema, kugusa na hata kufanya wayatakayo ali mradi ana malengo ya jamii.. Hii hainifanyi miye niwe mtu hatari kwa mtu yeyote it's my observation, my perception he can take or leave it.

Halafu kuna kundi jingine lenye NIDHAMU ya WOGA ambao pia kazi yao kubwa ni kuitikia kila kitu sawa Mzee, ndio Boss, Mheshimiwa hivi ama vile hawa ni hatari zaidi ya kundi la kwanza.. Maana ni WANAFIKI wanaobeba makoti na kujificha nyuma ya jina la mtu kwa sababu sioni kabisa kosa Zitto kusema atagombea Urais.. Kuna kosa gani kuweka nia ya kugombea na sii kwamba anagombea!.. we should be proud kwa sababu publicity kama hizi ndio kujenga chama toka vijijini kuliko kusubiri miezi sita kabla ya Uchaguzi mkuu.. Au nambie sababu ni kwamba kiti hicho cha mgombea Urais kina mwenyewe tayari?... Fact ni ipi? Hivi kweli leo Dr.Slaa akitangaza nia hiiyo huoni kwamba itakisaidia sana chama kujitangaza vijijini kuliko ukimywa uliopo?..Hii pia hainifanyi mimi kuwa hatari kwenu isipokuwa nazungumza nachokiona kwa unafiki ambao sikubaliani nao pia..
Vijana wa leo mna matatizo sana kuhusu Siasa, maana mnazifuata pasipo Itikadi, tumedandia treni kwa mbele sisi wote na ndio maana kila kijana husema kwa jeuri - "Nitafanya navyoona sawa kwa maslahi ya wananchi" Hiili neno MASLAHI YA WANANCHI limekuwa ndio siasa inayokubalika - Maslahi ya wananchi ndio yapi? ya kutotangaza kugombea Urais?. Mawazo mengi humu JF ni mawazo yanayo simamia Libertarian point-of-view yale ya Kila mwamba ngoma huvutia kwake..

Vijana acheni hizi tabia za kizushi, wivu, chuki na vijembe kila siku maana sisi wengine hatukuishi hivi kabisa. Na pengine naweza kusema labda huu ndio ulikuwa Uzuri wa Ujamaa wa Nyerere japo tulilazimika kuufuatana, lakini tulipendana sana tuka aminiana na kuuthamini UTU kwa kujaribu ku promotes equal prosperity kwa watu wote..Leo hii tunashindana wote matonge mazito ktk sinia la biriani, hivyo yawezekana yote haya yanatokana na kukosa dira..
 
Mkwawa mkuu wangu sina sababu ya kuendeleza Ubishi usiokuwa na ukweli kwa kutumia tuhuma na uvumi..Na hasa unaposema Zitto alitaka kugomnbea Urais mwaka 2010 wakati ni YEYE mwenyewe Zitto kwa kauli yake hapa hapa JF alikuja na kuwanyamazisha watu midomo kama ilivyo tuhuma hizi. Nani kati yenu ana uhakika Zitto kachukua Rushwa? hakuhna lakini mnaamini na mnaweza kuweka viapo kwamba Zitto kachukua Rushwa tena mkidai safariu hii hawezi kutoka.. Hawezi kutoka wapi?..

Ni Zitto aliyekuja hapa JF na nakumbuka vizuri sana sema tu nyine Wadanganyika kwanza hamna kumbukumbu na wala hamuzihitaji maana maisha yetu ni ya siku hadi siku, kumbukumbu za nini..Mkuu narudia tena kusema, Zitto ndiye alikuja hapa JF na kujitetea kuhusu tuhuma za yeye kugombea Urais ni UOngo na akasema sababu zake.. Kama Maxence Mello anayo record ya mada hiyo aiweke hapa na mtana aibu nyie wenyewe..licha ya hivyo nimewahi kuongea naye kabla ya uvumi huu nikiwa Bongo alizungumzia kitu hii na jinsi gani siasa za Bongo zinafitinisha watu... Na ni yeye Zitto kwa jinsi mlivyomuandama alisema hatagombea tena Ubunge atarudi shule au kutafuta ajira ktk fani aloizoea..

Watu wakamfuata na kumsihi asifanye hasira, na kwamba chama kinamuhitaji, longo longo kibao akarudi na kugombea baada ya hapo tu watu wana questiioj tena kwa nini hakujiuzuru siasa..Oooh mbona ulisema hutagombea tena? wengine wakiuliza ulisema hutagombea Kigoma tena kulikoni lakini haya ninmaswali ya CCM wanaCHadema wakayavamia wakati ushindi wa jimbo lake ni Ushindi wa CDM, sio wake yeye Zitto japokuwa tunamhitaji. Na bila Zitto kugombea Kigoma CCM wange sweep Mkoa, hili tunalijua fika..

Halafu sii kweli mimi ni hatari isipokuwa nazitazama sehemu mbili zote na kuzitoa makosa.. Zitto ana makosa na Nyie washabiki wa upande wa pili ni mashabiki manazi na wapiga debe nawatoeni makosa vile vile.. Kwa hiyo, mkuu wangu hapa hatukuja kutiana vidole vya macho bali kuelekezana na sii vizuri kusema uongo ili kuonyesha Ubaya wa Zitto. Zitto hana ubaya wowote isipokuwa anahitaji maelekezo zaidi japokuw nawajua watu wa Kigoma...Ni wabishi kuliko Mkandara kwa asili na wakijua wako sawa huwezi kugeuza maamuzi yao. Nimesema wazi kabisa kosa kubwa la Zitto ni kwamba bado hajaiva kisiasa, na pengine sio yeye tu wapo wengi sana Tanzania wanaofikiria SIASA huongozwa na Demokrasia inayojali Individual right kwa kutoa freedom hata iliyo negative Liberty, ile kitu wazungu wanaita - Libertarian - UBINAFSI..
Hizi fikra hizi ndizo zinawachanganya kundi la kina Zitto na hata hufikia kudhani kwamba sheria taratibu na kanuni haziwezi kuwa na maana kama haziheshimu UBINAFSI wa MTU..wakidhani Ubinafsi ni sawa na individual right, Ubinafsi ni haki yao ya msingi kuwa na uhuru wa kufikiri, kusema, kugusa na hata kufanya wayatakayo ali mradi ana malengo ya jamii.. Hii hainifanyi miye niwe mtu hatari kwa mtu yeyote it's my observation, my perception he can take or leave it.

Halafu kuna kundi jingine lenye NIDHAMU ya WOGA ambao pia kazi yao kubwa ni kuitikia kila kitu sawa Mzee, ndio Boss, Mheshimiwa hivi ama vile hawa ni hatari zaidi ya kundi la kwanza.. Maana ni WANAFIKI wanaobeba makoti na kujificha nyuma ya jina la mtu kwa sababu sioni kabisa kosa Zitto kusema atagombea Urais.. Kuna kosa gani kuweka nia ya kugombea na sii kwamba anagombea!.. we should be proud kwa sababu publicity kama hizi ndio kujenga chama toka vijijini kuliko kusubiri miezi sita kabla ya Uchaguzi mkuu.. Au nambie sababu ni kwamba kiti hicho cha mgombea Urais kina mwenyewe tayari?... Fact ni ipi? Hivi kweli leo Dr.Slaa akitangaza nia hiiyo huoni kwamba itakisaidia sana chama kujitangaza vijijini kuliko ukimywa uliopo?..Hii pia hainifanyi mimi kuwa hatari kwenu isipokuwa nazungumza nachokiona kwa unafiki ambao sikubaliani nao pia..
Vijana wa leo mna matatizo sana kuhusu Siasa, maana mnazifuata pasipo Itikadi, tumedandia treni kwa mbele sisi wote na ndio maana kila kijana husema kwa jeuri - "Nitafanya navyoona sawa kwa maslahi ya wananchi" Hiili neno MASLAHI YA WANANCHI limekuwa ndio siasa inayokubalika - Maslahi ya wananchi ndio yapi? ya kutotangaza kugombea Urais?. Mawazo mengi humu JF ni mawazo yanayo simamia Libertarian point-of-view yale ya Kila mwamba ngoma huvutia kwake..

Vijana acheni hizi tabia za kizushi, wivu, chuki na vijembe kila siku maana sisi wengine hatukuishi hivi kabisa. Na pengine naweza kusema labda huu ndio ulikuwa Uzuri wa Ujamaa wa Nyerere japo tulilazimika kuufuatana, lakini tulipendana sana tuka aminiana na kuuthamini UTU kwa kujaribu ku promotes equal prosperity kwa watu wote..Leo hii tunashindana wote matonge mazito ktk sinia la biriani, hivyo yawezekana yote haya yanatokana na kukosa dira..

mukandala naona unaonyesha wazi kuwa upo against CDM na upo tayari kumjibia Zitto kwa kiasi ambacho hata yeye mwenyewe asingependa jibu hivyo.Zitto ana Access nd JF na anasoma mambo yanayoendelea.

Soon utaanza toka katika ule upande makini unaotufanya hata bila kulogin tusome kwa taratibu sana.Sasa unaanza weka tone ya maneo makali na biased.

Hapa kwa taarifa yako karibu asilimia 90 ya wanaoandika walikuwa au bado ni fans wa Zitto.Na tuhuma juu yake, unpredictabilities zake, kujiweka katika stance ya pekee katika political party inayojipambanua kama chama cha watu.Anaamsha mashaka ya kutisha.Kama umekaa uswahili kutosalimia watu ,kuzika mwenyewe kunaweza leta shida kubwa sana, kama tuu si kukutenga il ahata kushambuliwa.Nadhani kama kajisahau akadhani kuwa anataka ishi maisha ya kistaarabu na private katika political arena,tena katika chama kinachojibainisha kama mkombozi wa wanyonge na nguvu zake ni watu.Basi jitihada za kumjibia Zitto kwa staili yako zinamzamiasha zaidi.Pengine utahitajia kuingia katika mkutano mmoja wa CDM uone watu wanavyopagawa na kujihisi usawa ingawa watu hawawezi kuwa sawa.

Mazungumzo yako hayaoneshi fairness kwani umeanza kwa kumwonya na flow ya vitu ni kuchangia katika maonyo yako.Ila huku chini umeanza hamia katika ku halalisha aliyoyafanya kwa vile mna tuhuma kwa vingozi engine wa CDM.Hapo ndipo nilipokulaumu kwa kutoona kuwa "blackmailing kuwa ni kosa" na kosa la mwingine halimuondolei mtu kosa ila uthibitisho wa kutokuwa na hatia.Katika maonyo yako umeonyesha matendo yanaonyesha usaliti ,ingawa ni kwa lugha nyepesi ila hayafichiki.Bafore hata mhusika hajaja na kujielezea kwa ufasaha kama livyokuwa akiongez enzi zille hadi nikawa nanunua kila gazeti lenye Heading inayomtaja.Then atapata watu waili watatu watakaomshambulia (hii itabalance kwani si kila mtu atamkubali ila watakaomkubali wamkubali kwa sababu ambazo atazionea fahari katika maisha yake yote),ila atajibu kwa ufasaha kama Jemedari mbadala.Sasa kama atapiga blah blah ,atalalama, ataleta mamluki humu ndani wampambe ,ni wazi hawezi kuja tupa majibu humu ya shida zinazohitaji kutatuliwa haraka na kwa parameters nyingi.Majibu kama ya Mipaka kati ya TZ na Kenya, Upande wa Malawi,Muungano, Burundi,MOzambique, achilia mbali hali za magereza, uchumi , mahusiano ya kimataifa yaliyo na kichwa namiguu na si haya ya kutumika na mataifa tatanishi

Mukandara hembu rudi katik track halafu umalizie maonyo yako kabla ya kuanzisha thread ya kuwashitaki hao viongozi wa CDM unataka washindanisha na ZItto(Mnaojenga mazingira ya kuwa blackmail)
 
mukandala naona unaonyesha wazi kuwa upo against CDM na upo tayari kumjibia Zitto kwa kiasi ambacho hata yeye mwenyewe asingependa jibu hivyo.Zitto ana Access nd JF na anasoma mambo yanayoendelea.

Soon utaanza toka katika ule upande makini unaotufanya hata bila kulogin tusome kwa taratibu sana.Sasa unaanza weka tone ya maneo makali na biased.

Hapa kwa taarifa yako karibu asilimia 90 ya wanaoandika walikuwa au bado ni fans wa Zitto.Na tuhuma juu yake, unpredictabilities zake, kujiweka katika stance ya pekee katika political party inayojipambanua kama chama cha watu.Anaamsha mashaka ya kutisha.Kama umekaa uswahili kutosalimia watu ,kuzika mwenyewe kunaweza leta shida kubwa sana, kama tuu si kukutenga il ahata kushambuliwa.Nadhani kama kajisahau akadhani kuwa anataka ishi maisha ya kistaarabu na private katika political arena,tena katika chama kinachojibainisha kama mkombozi wa wanyonge na nguvu zake ni watu.Basi jitihada za kumjibia Zitto kwa staili yako zinamzamiasha zaidi.Pengine utahitajia kuingia katika mkutano mmoja wa CDM uone watu wanavyopagawa na kujihisi usawa ingawa watu hawawezi kuwa sawa.

Mazungumzo yako hayaoneshi fairness kwani umeanza kwa kumwonya na flow ya vitu ni kuchangia katika maonyo yako.Ila huku chini umeanza hamia katika ku halalisha aliyoyafanya kwa vile mna tuhuma kwa vingozi engine wa CDM.Hapo ndipo nilipokulaumu kwa kutoona kuwa "blackmailing kuwa ni kosa" na kosa la mwingine halimuondolei mtu kosa ila uthibitisho wa kutokuwa na hatia.Katika maonyo yako umeonyesha matendo yanaonyesha usaliti ,ingawa ni kwa lugha nyepesi ila hayafichiki.Bafore hata mhusika hajaja na kujielezea kwa ufasaha kama livyokuwa akiongez enzi zille hadi nikawa nanunua kila gazeti lenye Heading inayomtaja.Then atapata watu waili watatu watakaomshambulia (hii itabalance kwani si kila mtu atamkubali ila watakaomkubali wamkubali kwa sababu ambazo atazionea fahari katika maisha yake yote),ila atajibu kwa ufasaha kama Jemedari mbadala.Sasa kama atapiga blah blah ,atalalama, ataleta mamluki humu ndani wampambe ,ni wazi hawezi kuja tupa majibu humu ya shida zinazohitaji kutatuliwa haraka na kwa parameters nyingi.Majibu kama ya Mipaka kati ya TZ na Kenya, Upande wa Malawi,Muungano, Burundi,MOzambique, achilia mbali hali za magereza, uchumi , mahusiano ya kimataifa yaliyo na kichwa namiguu na si haya ya kutumika na mataifa tatanishi

Mukandara hembu rudi katik track halafu umalizie maonyo yako kabla ya kuanzisha thread ya kuwashitaki hao viongozi wa CDM unataka washindanisha na Zitto(Mnaojenga mazingira ya kuwa blackmail)
Hili ndio tatizo la wapenzi wanaotukuza WATU na sio CHAMA. Kwa kila napokusoma inaonyesha Chadema ni viongozi wengine waliobakia Chadema lakini sio Zitto.. Akiondoka Mbowe, Mnyika au Dr.Slaa ina maana hatuna Chadema? au Chama hiki ni zaidi ya hawa wote!. Nicholas ni wapi nimekiwekea mashaka chama?.. ni wapi nimetofautiana na malengo ya Chama au unashindwa kutofautisha kati ya chama na viongozi wake..

Sikuja hapa kubishana nimeweka Ushauri wangu kwa Zitto na sii zaidi, ila nimelazimika kuelezea mengi kwa sababu ya watu kama nyie mlokuja kuweka madai zaidi makosa anayoyafanya Zitto.. Jua kuna tofauti baina ya makosa na kukusudia, na binafsi yangu naamini yapo makosa aloyafanya, wakati CCM wamekusudia kuhakikisha makosa hayo yanakiathiri chama kwa kututenganisha.. Na pengine wewe unashindwa kuhesabu mashambulizi aloyapata Zitto kama nia ya Kumtenganisha na wanachadema isipokuwa unahesabu na kuchunguza kila hatua ya Zitto wakati Mnyika kisha fanya makosa, Mbowe kisha fanya makosa, Weche kafanya na hata Dr.Slaa kisha fanya makosa lakini hakuna mtu hata mmoja ndani ya chama aliyeinua kidole chake kuwasahihisha isipokuwa kuwatetea - Kwa nini?

Mkuu wangu, toka niwe hapa JF nimewasoma watu wengi sana, wapo kundi la watu ambao wana Nidhamu ya Woga hawa wapo Chadema, CCM na hata CUF au TLP na wanatekeleza adhana ya CCM kuhakikisha Chadema inasambaratika.. Na itakuwa vizuri tu kwa mtu kama wewe kunisoma vizuri ukaelewa pande mbili za shilingi maana sii makosa ya Zitto pekee yanayoweza kuwacha cheche za utengano..Sisi tunaweza kuuchochea moto kwa kupuliza tu, ama tukauwasha moto kwa kuongezea kuni kavu. Binafsi sina ushabiki na mtu natazama picha nzima kwa mapana zaidi ya mtu ama mhusika. Mapenzi yangu sii kwa Zitto ila chama na ndio maana nimesema yanayotukwaza bila kuuma maneno.

Labda nikuulize wewe, toka lini a suspect has to prove himself being not guilty?..Hivi sii kweli kwamba mkisiwa yeyote hatakiwi kuhukumiwa kabla ya ushahidi wenyewe kuonyesha yeye ni mhusika? ile haki inayomlinda mtuhumiwa (barden of proof) ili asiwe wrongly convicted leo tumeiweka wapi ktk shutuma hizi za Zitto!..Kila mtu hapa alitaka Zitto ndiye ajitetee hakuchukua Rushwa! na watu mliamini ktk sheria hiyo lazima yeye ajieleze.. WHY?..Je sio kweli kwamba The burden of proof lies with who declares, not who denies?. Leo hii sijamsikia mtu akimtaka Maswi ama Muhongo walazimike kutoa Uhsahidi isipokuwa wanapongezwa wao.. Wao ndio mashujaa wakati sisi wote tunajua Tanesco ni machimboni, kina Ngeleja walichuma zao na hawa nao wamekuja chuma zao..Hakuna kinachoenda sawa ndani ya utawala wa CCM hata Richard Rutabanzibwa alisimamishwa kazi kwa kupinga mkataba wa IPTL, tukamwita Mlarushwa kumbe tumeingiza ktk janga zito zaidi..

Haya pamoja na majibu yake bado watu hawajaridhika, na hawajaridhika kwa sababu sisi wenyewe tumepindua mashtaka kumtaka mtuhumiwa ajifafanue kaa hajachukua rushwa. I mean leo hii mtu akisema Mkandara Ulichukua rushwa toka kwa Nicholas sijui nitajitetea vipi ikiwa wewe utaweka madai uliwahi kunipa rushwa. Hi pekee inaonyesha jinsi gani msivyo utaka haki isipokuwa kumsulubu Zitto. Na ktk hilo nitamtetea hata pale anapojitenga na watu kama hawa maana ukaribu wao hauji kwa kheri isipokuwa kumchimba na kumtafutia Fitna. kwa Zitto hatuna presumption of innocence, ni GUILTY hata akigusa kitu, sasa anapojitenga mbali nasi kwa nini tuna react!

Zitto ana matatizo yake ya ambayo nina hakika yanaweza kurekebishwa lakini matatizo ya wanaChadema pia ni makubwa zaidi ya Zitto..Sisi wote ni victims wa mtego wa CCM na tunauvaa vizuri kama kanzu, weupeee tukiendesha Uadui sisi wenyewe na kazi yao CCM imebakia kuchombeza kuni kavu.. Kikubwa mkuu wangu nakuomba ufahamu kwamba ni CCM wanaojaribu kututengenisha.. Divide and conquer is their game!..huu ndio mchezo wa CCM kisiasa na wakifanikiwa kutugawa, siku zote mtalaumu Zitto wakati makosa ni yetu sisi kukubali kugawanyika..
 
Hili ndio tatizo la wapenzi wanaotukuza WATU na sio CHAMA. Kwa kila napokusoma inaonyesha Chadema ni viongozi wengine waliobakia Chadema lakini sio Zitto.. Akiondoka Mbowe, Mnyika au Dr.Slaa ina maana hatuna Chadema? au Chama hiki ni zaidi ya hawa wote!. Nicholas ni wapi nimekiwekea mashaka chama?.. ni wapi nimetofautiana na malengo ya Chama au unashindwa kutofautisha kati ya chama na viongozi wake..
Mh. Mkandara naomba usichukuliekuwa kila anayetaka mpush Zitto to the limits ana chuki?Wengine wanataka waone zaidi sehmu ya uwezo wake, wengine wanataka tu atoe mashaka yao.Watu wana menda Zitto ila wapo confused kama bado ni yule kijana wanaomwamini.

Back to the thread.Kwa jinsi unavyoongea kwa niaba yake inakuwa more obvious kuwa wewe ndio unayemtukuza huyu jamaa.Hapa watu wengi wanajaribu ondoa kile kinachoonekana kuwa Zitto anapush watu wamtukuze na baadaye yeye kama yeye awe kama independent entity kama ilivyo Vatican ndani ya Italy.Kitu ambacho naona wewe umekifumbia macho.Kuhusu watu kukosa wapo wanaokosa na wengine wamekosea tena sana.Lakini makosa yao yapo katika confined framework , yapo katika mazingira yanayoweza malizwa katika katik mfumo wa chama na hawajaonekana kulazimisha yaje nje kama alivyo Mh. Zitto.

Kuhusu hao uliowataja wakitoka na uhai wa chama ni wazi kuwa wakitoka chama kitatikisika kama si kuanguka kwani tayari ni watu ambao kiasi fulani cha profile yao kimekuwa accessible.Na hii si issue kwani ahta CCM leo akitoka Kikwete na EL, na Figure nyingine hakuna wa kubisha CCM inatetereka kam si kuvunjika kabisa.

Ila akitoka mmoja kati ya Viongozi wa Chedema na si idadi ya kutosha chama kinaweza hata kisichtuke.Same kama Zitto akiondoka kizembe Atakipa chama umaarufu.

Sikuja hapa kubishana nimeweka Ushauri wangu kwa Zitto na sii zaidi, ila nimelazimika kuelezea mengi kwa sababu ya watu kama nyie mlokuja kuweka madai zaidi makosa anayoyafanya Zitto.. Jua kuna tofauti baina ya makosa na kukusudia, na binafsi yangu naamini yapo makosa aloyafanya, wakati CCM wamekusudia kuhakikisha makosa hayo yanakiathiri chama kwa kututenganisha.. Na pengine wewe unashindwa kuhesabu mashambulizi aloyapata Zitto kama nia ya Kumtenganisha na wanachadema isipokuwa unahesabu na kuchunguza kila hatua ya Zitto wakati Mnyika kisha fanya makosa, Mbowe kisha fanya makosa, Weche kafanya na hata Dr.Slaa kisha fanya makosa lakini hakuna mtu hata mmoja ndani ya chama aliyeinua kidole chake kuwasahihisha isipokuwa kuwatetea - Kwa nini?
Shida ni kwamba wewe mwenyewe unakataa mambo muhimu ambayo ktk thread yako ndio uliyomkanya:
-Zitto kaonyesha sense ya ujeuri kwa kujiamini kama vile yeye mwenyewe ni brand inayoweza simama na kuleta upinzani na chama chake.Kasahau kuwa CDM ina wafuasi wengi kuliko yeye na kuliko hata raia wa kigoma wote.

-Katika Thread yako ulipomuonya ulionyesha jinsi anavyojitahidi kujitenda na wengine kimatendo ,ila katika discussion unahama na kutaka watu wamtreat kama sehemu ya timu.I think bado unakataa makusudi mamabo yanayofanya watu wamtreat tofauti.

Pia hujaeleza uumini wako katika blackmailing.MKandara hao uliosema wamekosa huwezi jua kama wanarekebishwa mara ngapi ndani ya protocola za chama, na hatujawasikia wakileta kilio nje.Ila mambo ya zitto yapo nje sana na yanachezwa na wasio cdm, na utetezi wako umekuwa CDM walete Files zao na ZItto alete zake halafu waangalia nani MKOSEFU ZAIDI, hii ni aginst logic.Labda ungebadili thread yako iwe ni kuwapa ushauri jamaa wote wa cdm unaodhani kuwa nao wamefanya makosa.Otherwise tuletee malezo ni wapi Zitto kajisumbua kukiri kile laichokosea na kujitete pale asipokosea na pia kujibu hizi shutuma katika fair approaches.Mimi nimelea na kuona watoto wakorofi ambao wana makosa mengi yanayorudisha familia nyuma,ila kila mara huwa anakuwa na watu wa nje wanaomtetea against wazazi wake na wengine wanajua wazi kijana haendi shule, anakula ada, ila kila mzazi akigomba kuhusu hayo matendo na ugumu wa maisha, au hata upotevu wa hela inayohitajika na familia.Basi majirani ambao ni maadui wa familia huwa wanajitokeza kwa nguvu na kujaribu mlinda kijana hata kam awanajua kuwa ingekuwa katika familia yake basi matokeo yangekuwa mabaya sana.


Kitu ambacho hutaki mwambia Zitto ni kwamba kesha inflict damage katika public profile yake ,na imani ya watu juu yake inaharibika sana, na atakuwa na wakati mgumu kurekebisha hiyo hali ndani ya mioyo ya watu hata kama watacheka naye.Kwani kuanzia hapa kila kosa afanyalo litakuwa linawarudisha watu hapa.
Zitto ana matatizo yake ya ambayo nina hakika yanaweza kurekebishwa lakini matatizo ya wanaChadema pia ni makubwa zaidi ya Zitto..Sisi wote are the victiom wa mtego wa CCM na tunauvaa vizuri kama kanzu, weupeee tukiendesha Uadui sisi wenyewe na kazi yao CCM imebakia kuchombeza kuni kavu.. Kikubwa mkuu wangu nakuomba ufahamu kwamba ni CCM wanaojaribu kututengenisha.. Divide and conquer is the game!..huu ndio mchezo wa CCM kisiasa na wakifanikiwa kutugawa, siku zote mtalaumu Zitto wakati makosa ni yetu sisi kukubali kugawanyika..
CCM wana mitego kibao ila hapa hakuna mtego , hapa Zitto ndiye anayeujenga mtego.Believe me sas hivi atategeme sana huruma ya CCM au uchangaji wao wa karata.Yaani yeye kuoondoka katika kamati ya madini na kuwekwa katika sakata la rushwa ili kulinda maslahi yao katika eneo hili ama kuponywa na kutumika kama tool ya kuleta kutoelewana katika CDM na hii nia yake ili waweke (ukanda na udini).Na hapa CCM hawawezi kwenda na vyote.Kwani wakiamua mbana katika rushwa CDM watakuwa na kazi rahisi ya kumuengua katika hizi fujo.Na hata CCM wakiamua mbakisha kwa matumizi haya tayari atakuwa amechuja.Tayari whispers zimeshatembea na hata yeye muda si mrefu atakuwa hana ujasiri kwani kila apitapo na kunagalia macho ya watu ataona sura zikionesha kuwa wewe ni msaliti bila kusema kwa mdomo.Mwishowe atajikuta yeye ndie anajaribu tibua watu ili apate pa kujieleza ila atazidi waudhi zaidi.

Devide and conquer kwa maelezo ya thread yako inaonyesha Zitto ndie anayejitoa CDM ila wewe unahimiza kama vile wengine wanamtenga.Ila kauli za kwenye media zinonyesha Zitto ndie anayeongea wakti CDM hawamzungumzii.Zitto anajibizana na wanachama wanaomhisi,wengine hata bado hawajamuuliza.Sasa kama habari za minong`ono zimewekwa na baadhi ya viongozi halafu wakamwacha akimbizane na kivuli chake na wakafanikiwa basi ni wazi wapo makini.Zitto ana accelerate kujibu na kutuma makombora kwa chama kwa vitu vinavyoonekana kutoka nje ya chama.Ndio maana wengine wenye makosa kama yeye au zaidi hawaonekani kupewa kikwazo kwa makosa yao.Hii inaonyesha kuwa Zitto kawatazama wengine akidhani kuwa hawana ukomavu wake ila ki ukweli ni wakomavu zaidi, kwani wanatumia mchinery ya chama kufanya yote wayapenayo.Na katika haya hata CCM huwa inaumizwa sana na kauli za majibizano za wanachama wake wakuu,ila CCM huingia katika malumbano ya hovyo sana.Sijui kama nao watakuwa wajinga kiasi hicho cha kufanya wengine wafanaye kitu ambacho hata wao hakina dawa wala kinga.CDM wapo more flexible na damage kwao si lazima iwe kwa chama, kwani wamemuweka Zitto katika self destruction mode.

My View: Nimespend muda wangu kufuata discussion yako hapa si kuwa namchukia Mh. Zitto ila kwa vile sijaridhika na anavyojitetea na kuji behave .Pia nimekuwa naandika mambo kutokana na postings zako katika hii thread kwani umeanza kama unamshauri katik honest way, then ukaanza shambulia wengine, then ukaanza blackmailing, then ukaanza kuplay kama wewe ndio Zitto,then ukaanza weka conspiracy theories juu ya CCM.Theories ambazo sioni kama ni threat kihivyo unless zihusishe dola hasa mahakama.Na hapo CDM hawajafika, mpaka jamaa akichukua fomu na baadaye kushindwa na kupeleka suala mahakamani na mahakama iamue kwa staili zake.Baadaye ushauri wako ukaanza kuwa contradictory kwani solutions na stance zako zinalead to nowhere+ zinapingana.
 
Mimi nikiwa mmoja wa watu ambao tumeweka matumaini makubwa kwa chama cha Chadema kuleta mageuzi nchini nina ushauri mdogo sana kwa Zitto kuhusu SIASA zake na misimamo yake ambayo ndiyo sababu na chanzo cha yeye kuwa bangusilo ktk kila tukio la Upinzani..

Mheshimiwa Zitto amekuwa akisimama sana peke yake (independent) kwa fikra kwamba anaweza kuleta mabadiliko kupitia mwamvuli wa CCM. Hutumia sana maneno ya kwamba yuko huru na anafanya kile anbachokiamini yeye kuwa ndio haki na sahihi. Kwa fikra hizo amekuwa mstari wa mbele ktk tunzi za uwekezaji nchini wakati yeye kama mwanasiasa wa Upinzani hakutakiwa kabisa kugusa jambo hilo pasipo kuwepo makubaliano na ushirikiano wa vyama (Bipartisan) ktk kufuata sera (policies) zitakazo tumika..

Siku zote mwanasiasa na hasa mbunge wa chama cha Upinzani unatakiwa kuwa kinyume cha maamuzi ya sera za chama tawala, napengine kutumia nafasi hiyo kuweka shinikizo kwa chama tawala wakubali kufuata sera za Upinzani lakini wewe binafsi huwezi kutumikiwa na sera zile zile ambazo ndizo sababu ilokufanya wewe usimame upande wa pili, fikra hizi ni kuonyesha immaturity ktk ulingo wa siasa!

Nakushauri sana mkuu wangu achana na siasa za CCM inapofikia maswala ya kamati yako ya bunge. Kama mbunge wa Upinznai unachotakiwa ni kutafuta makosa ktk sera zao na kuweka wazi ubadhilifu unaofanyika laa sivyo hakuna sababu ya kuwa na upinzani maana sote tunakubaliana na sera za Chama tawala. Kazi yako ni kupinga sera hizo na sio kujaribu kurekebisha utekelezaji wa miradi ndani ya sera mbovu.. Siasa haijengwi hivyo mkuu wangu.

Huwezi kurekebisha utekelezaji wa sera za CCM kwa kutumia kiti cha upinzani -HAIWEZEKANI isipokuwa utatumiwa muda wote na kuwa the weakest link kwao kumaliza upinzani, maana kinachowezekana kutekelezeka kinatokana na sera zenyewe ambazo wewe kama Mpinzani hukubaliani nazo.

Brother, kitumikie chama chako, simama nyuma ya sera za chama chako na pingana na sera za chama tawala kama mpinzani na sii kutekeleza sera za chama Tawala kwa fikra zile zile zilizotufikisha hapa tulipo. Mtazame mwenzako January Makamba, he is smart kisiasa na siku zote husimama nyuma ya chama chake hata kama hakubaliani na mtu ndani ya chama. Mtazame Lowassa, he is smarter hata kama hakubaliwi na watu wengi nje ya CCM lakini ameendelea kujijenga ndani ya chama kuliko nje kwa sababu huko ndiko alikozaliwa - Hutaki yote haya Unaacha!

Mkuu naona Zitto watu wengi mnamshambulia lakini mimi binafsi sioni kosa alilolifanya katika issue hii.kwanini watu wengi mnaamini kuwa uamuzi wa zitto kama mwenyekiti wa POAC kwenye hii kashifa ya TANESCO sio sahihi?Hivi kutaka kuita pande zotte akiwemo CAG ulikuwa ni uamuzi ambao si sahihi kweli?Kiongozi makini si yule anaetafuta ukweli kabla ya kutoa uamzi.Kwanini watu wengi hawataki kusubiri uchunguzi ndio wamuhukumu Zitto?Hivi huku si kumkatisha tamaa?Hivi kweli yule waziri na katibu wake mkuu ni watu wa kuamini sana?Ripoti ya CAG kila siku inasema TANESCO inajiendesha kwa hasara lakini wao wanadai TANESCO inapata faida.Hivi wao na CAG nani mkweli?TANESCO inadai kiasi gani kutoka ktk taasisi za serikali ambazo hazilipi kwa wakati?Waziri na katibu wake mkuu hawatadumu kwenye hiyo wizara kwasababu hawataki kukubali reality na badala yake wanaleta siasa na hao hao wanasiasa ndio watakuja kuwageuka baadae na ndio hapo Zitto ataibuka mshindi.
 
Mh. Mkandara naomba usichukuliekuwa kila anayetaka mpush Zitto to the limits ana chuki?Wengine wanataka waone zaidi sehmu ya uwezo wake, wengine wanataka tu atoe mashaka yao.Watu wana menda Zitto ila wapo confused kama bado ni yule kijana wanaomwamini.
Unaposema hivyo wewe umesimama wapi - confused au una mashaka kama Zitto ni yule yule? Na kama una mashaka kama ndiye hizi conclusion zinazofuata hapa chini umezipata wapi? ikiwa umeshakuwa na judgements zako tayari kuhusu Zitto. Je, ni kweli huna chuki au ndio unafiki - sorry to use that word!

Back to the thread.Kwa jinsi unavyoongea kwa niaba yake inakuwa more obvious kuwa wewe ndio unayemtukuza huyu jamaa.Hapa watu wengi wanajaribu ondoa kile kinachoonekana kuwa Zitto anapush watu wamtukuze na baadaye yeye kama yeye awe kama independent entity kama ilivyo Vatican ndani ya Italy.Kitu ambacho naona wewe umekifumbia macho.Kuhusu watu kukosa wapo wanaokosa na wengine wamekosea tena sana.Lakini makosa yao yapo katika confined framework , yapo katika mazingira yanayoweza malizwa katika katik mfumo wa chama na hawajaonekana kulazimisha yaje nje kama alivyo Mh. Zitto.
Haya ndio makosa yako yaani tayari umeshaanza kusema mimi ni msemaji wa Zitto! - How? ningekuwa msemaje wake ningeweza vipi kuandika ushauri wangu ambao wewe hukuandika ila umerukia treni kwa mbele pasipo kupima..Nimeonyesha makosa yake kichama na kueleza kwa kirefu pia kwamba Zitto naye katengwa vile vile hili ndio usilottaka kusikia. Je, ni kosa kusema mnamtenga? Kama mnaona kapotea kwa nini asipewe ushauri mzuri ili arudi kuwa yule Zitto mnayemtaka badala ya kumshambulia kila siku kwa vitu ambavyo havihusu kabisa..

Pengine hujanisoma vizuri lengo la mada hii..Nachozungumzia mimi sio scandal za chama au nje ya chama isipokuwa makosa anayoyafanya Zitto kusimama independent akiunga mkono sera za CCM.. haihusiani na hizi scandals kabisa wla kukisiwa kuchukua rushwa, kutangaza nia ya kugombea urais na kadhalika ambayo binafsi yangu sioni makosa hata kidogo na wala hayapo nje ya framework. Namtetea Zitto ktk hizi scandals na sio support yake kwa sera za CCM ambazo ndizo chanzo cha msuguano baina yake na Chama. Na wewe unazungumzia zaidi scandals ambazo ni tuhuma, wakati mimi nazungumzia facts zilizopo kuhusu msimamo wa Zitto, na hata yeye mwenyewe hujifsifia kwa kauli tatanishi zinazodai He makes decision based on what he think is right for the people, rather than those rights must coinside with his party... haya ndio makosa nayoyazungumzia mimi kuwa zaidi..

Kuhusu hao uliowataja wakitoka na uhai wa chama ni wazi kuwa wakitoka chama kitatikisika kama si kuanguka kwani tayari ni watu ambao kiasi fulani cha profile yao kimekuwa accessible.Na hii si issue kwani ahta CCM leo akitoka Kikwete na EL, na Figure nyingine hakuna wa kubisha CCM inatetereka kam si kuvunjika kabisa

Ila akitoka mmoja kati ya Viongozi wa Chedema na si idadi ya kutosha chama kinaweza hata kisichtuke.Same kama Zitto akiondoka kizembe Atakipa chama umaarufu.
. Hapa ndipo tunapotofautiana kwa sababu siamini ktk majina ya watu hata kidogo. Nyerere alipoondoka uongozi , CCM ilikufa? Where was JK au EL wakati wa Utawala wa Nyerere?..Je, si walikuwepo kina Bomani, Fundikira, Warioba, Salim, na leo hawana tena nguvu ndani ya chama mbona bado kinaendelea..Fikra hizi za ktukuza watu ndizo naziogopa kama ukoma hasa pale watu wanapofikiria kwamba pasipo Dr.Slaa, Mnyika na Mbowe basi CDM haiwezi kwenda mbele - Hapana mkuu wangu hawa wote pasipo CDM wasingekuwa hapo walipo.. Ni CDM inayotakiwa kupewa sifa kwa sababu Chama sii nguvu ya mtu mmoja.. Ten years back Dr.Slaa alikuwa mbunge tu na Mnyika mwanafunzi chuo kikuu wote wameikuta Chadema.. Hivyo wao wanahitajika na chama kutokana na nafasi walizoshika kama dereva, konda na utingo wa bus.. ni muhimu pale anapokuwa kashika usukani na tupo safarini lakini hii haina maana watu wengine hawawezi kuendesha hilo bus ama kazi za konda na utingo.


Shida ni kwamba wewe mwenyewe unakataa mambo muhimu ambayo ktk thread yako ndio uliyomkanya:
-Zitto kaonyesha sense ya ujeuri kwa kujiamini kama vile yeye mwenyewe ni brand inayoweza simama na kuleta upinzani na chama chake.Kasahau kuwa CDM ina wafuasi wengi kuliko yeye na kuliko hata raia wa kigoma wote.

-Katika Thread yako ulipomuonya ulionyesha jinsi anavyojitahidi kujitenda na wengine kimatendo ,ila katika discussion unahama na kutaka watu wamtreat kama sehemu ya timu.I think bado unakataa makusudi mamabo yanayofanya watu wamtreat tofauti. hujaeleza uumini wako katika blackmailing.
Ebu nionyeshe sehemu niloandika maneno hayo hata kwa ukaribukisha nikayakataa.. Mkuu wangu Zitto ana goals ktk maisha yake, anajiamini kiasi kwamba anaona anazo sifa za kuweza kusimama kuwa rais wa Tanzania. Kwa nini mnataka kumkatisha tamaa badala ya kumpa moyo zaidi?.. Wenzetu wazungu wakiwa na watu kama Zitto huwasifia zaidi badala ya kukatishwa tamaa. Mwanangu mimi anafikiri atakuwa Prime minister when she grow up! Je, unataka nimwambie nini?...
Hizi chuki na kuhukumu watu ni siasa za CCM ambazo hazitaki kuona mgombea yeyote zaidi ya yule anayeteuliwa na CC, mfumo huu haupo CDM lakini wafuasi wake wanataka iwe hivyo kwa sababu mmelelewa na CCM..Bila shaka, mimi nitampa moyo Zitto, Mbowe au mtu mwingine yeyote nayemwona anafaa kugombea au yule mwenye kuijiamini yeye kugombea. Hii ni NIA ya mtu na haipingwi kama ina malengo mema, maadam wananchi ndio wataamua nani atakuwa mgombea kwa ushindi au rais wa nchi yetu sio hapa JF au washabiki wa Chadema.
Na unapolitumia neno hili blackmail, nadhani hufanyi haki hata kidogo kwa sababu umeonyesha wazi humpendi Zitto na hivyo chochote kinachokwenda kwake ukaona sifa ni ku blackmail chama!..
MKandara hao uliosema wamekosa huwezi jua kama wanarekebishwa mara ngapi ndani ya protocola za chama, na hatujawasikia wakileta kilio nje.Ila mambo ya zitto yapo nje sana na yanachezwa na wasio cdm, na utetezi wako umekuwa CDM walete Files zao na ZItto alete zake halafu waangalia nani MKOSEFU ZAIDI, hii ni aginst logic
. Nachoandika sio habari ya kubuni au tungo za hadithi.. Ni taabu sana kukuelimisha wewe kwa sababu unafikiria Negative all the time.. Nimesema mafaili haya ni tungo hayana ukweli ndani yake. Hizi ni habari zimetungwa makusudi kuondoa imani ya Zitto kwa aidha niseme Mbowe au kiongozi mwingine yeyote lakini wakati huo huo Mbowe na kina Slaa pia nanazo habari za Zitto zinazowafanya wasimuamini vile vile. Kila mtu ana faili la mwingine pale CDM..Lakini hizi habari zote zimetungwa kwa malengo ya kuwakosanisha zaidi ya kuwapa ukweli, hivyo nimewaomba wakae pamoja na kuzitazama habari za pande zote mbili watagundua ukweli ni upi.. Kuacha habari hizi zimekaa vichwani mwa wanachama zitazidi kuwatenganisha na kuamini tuhuma ambazo zimepikwa.. Sijui kama unanielewa sasa?

Labda ungebadili thread yako iwe ni kuwapa ushauri jamaa wote wa cdm unaodhani kuwa nao wamefanya makosa.Otherwise tuletee malezo ni wapi Zitto kajisumbua kukiri kile laichokosea na kujitete pale asipokosea na pia kujibu hizi shutuma katika fair approaches.Mimi nimelea na kuona watoto wakorofi ambao wana makosa mengi yanayorudisha familia nyuma,ila kila mara huwa anakuwa na watu wa nje wanaomtetea against wazazi wake na wengine wanajua wazi kijana haendi shule, anakula ada, ila kila mzazi akigomba kuhusu hayo matendo na ugumu wa maisha, au hata upotevu wa hela inayohitajika na familia.Basi majirani ambao ni maadui wa familia huwa wanajitokeza kwa nguvu na kujaribu mlinda kijana hata kam awanajua kuwa ingekuwa katika familia yake basi matokeo yangekuwa mabaya sana.
dah wewe mgumu sana, nachozungumzia ni TUHUMA na sio UNAJUA kama mtoto haendi shule ama mtoto mtundu kwa sababu tayari unao ushahidi. Huwezi kumkanya mtoto kwa jambo la kusikia tu.. Kama umesikia haendi shule lazima ufuatilie kwa wanafunzi wenzake au walimu wake uhakikishe kweli haendi shule, halafu ndio unamwita kumuuliza kwa nini haendi shule..Na kama mtoto anaenda shule siku zote unategemea atakujibu nini iwapo tayari umeshamhukumu?. Fanya Utafiti wa habari kabla ya kukurupuka nakumwekea mashaka mwanao.
Kitu ambacho hutaki mwambia Zitto ni kwamba kesha inflict damage katika public profile yake ,na imani ya watu juu yake inaharibika sana, na atakuwa na wakati mgumu kurekebisha hiyo hali ndani ya mioyo ya watu hata kama watacheka naye.Kwani kuanzia hapa kila kosa afanyalo litakuwa linawarudisha watu hapa.
Kesha inflict damage ktk image yake kivipi? Kwamba anakula rushwa au.. Nicholas niliyoyaandika yote toka mwanzo hayahusu kabisa image ya Zitto kwa watu isipokuwa wewe ndio umepigwa changa la macho kuamini hivyo.. Ukiambiwa Mkandara anatembea na Mkeo utanichukia sana na pengine kufikiri nimeharibu image yangu lakini ukweli ni kwamba sijatembea na mkeo, hivyo mwenye kuharibu image ni wewe unayechukua tuhuma na kuzikuza wakati sio kweli. Ni upande huu hutaki kuutazama ikiwa umesha nishutumu nikiamua kukaa mbali na wewe kwa nini naitwa tena Mkosa!.
CCM wana mitego kibao ila hapa hakuna mtego , hapa Zitto ndiye anayeujenga mtego.Believe me sas hivi atategeme sana huruma ya CCM au uchangaji wao wa karata.Yaani yeye kuoondoka katika kamati ya madini na kuwekwa katika sakata la rushwa ili kulinda maslahi yao katika eneo hili ama kuponywa na kutumika kama tool ya kuleta kutoelewana katika CDM na hii nia yake ili waweke (ukanda na udini).Na hapa CCM hawawezi kwenda na vyote.Kwani wakiamua mbana katika rushwa CDM watakuwa na kazi rahisi ya kumuengua katika hizi fujo.Na hata CCM wakiamua mbakisha kwa matumizi haya tayari atakuwa amechuja.Tayari whispers zimeshatembea na hata yeye muda si mrefu atakuwa hana ujasiri kwani kila apitapo na kunagalia macho ya watu ataona sura zikionesha kuwa wewe ni msaliti bila kusema kwa mdomo.Mwishowe atajikuta yeye ndie anajaribu tibua watu ili apate pa kujieleza ila atazidi waudhi zaidi.

Devide and conquer kwa maelezo ya thread yako inaonyesha Zitto ndie anayejitoa CDM ila wewe unahimiza kama vile wengine wanamtenga.Ila kauli za kwenye media zinonyesha Zitto ndie anayeongea wakti CDM hawamzungumzii.Zitto anajibizana na wanachama wanaomhisi,wengine hata bado hawajamuuliza.Sasa kama habari za minong`ono zimewekwa na baadhi ya viongozi halafu wakamwacha akimbizane na kivuli chake na wakafanikiwa basi ni wazi wapo makini.Zitto ana accelerate kujibu na kutuma makombora kwa chama kwa vitu vinavyoonekana kutoka nje ya chama.Ndio maana wengine wenye makosa kama yeye au zaidi hawaonekani kupewa kikwazo kwa makosa yao.Hii inaonyesha kuwa Zitto kawatazama wengine akidhani kuwa hawana ukomavu wake ila ki ukweli ni wakomavu zaidi, kwani wanatumia mchinery ya chama kufanya yote wayapenayo.Na katika haya hata CCM huwa inaumizwa sana na kauli za majibizano za wanachama wake wakuu,ila CCM huingia katika malumbano ya hovyo sana.Sijui kama nao watakuwa wajinga kiasi hicho cha kufanya wengine wafanaye kitu ambacho hata wao hakina dawa wala kinga.CDM wapo more flexible na damage kwao si lazima iwe kwa chama, kwani wamemuweka Zitto katika self destruction mode.

My View: Nimespend muda wangu kufuata discussion yako hapa si kuwa namchukia Mh. Zitto ila kwa vile sijaridhika na anavyojitetea na kuji behave .Pia nimekuwa naandika mambo kutokana na postings zako katika hii thread kwani umeanza kama unamshauri katik honest way, then ukaanza shambulia wengine, then ukaanza blackmailing, then ukaanza kuplay kama wewe ndio Zitto,then ukaanza weka conspiracy theories juu ya CCM.Theories ambazo sioni kama ni threat kihivyo unless zihusishe dola hasa mahakama.Na hapo CDM hawajafika, mpaka jamaa akichukua fomu na baadaye kushindwa na kupeleka suala mahakamani na mahakama iamue kwa staili zake.Baadaye ushauri wako ukaanza kuwa contradictory kwani solutions na stance zako zinalead to nowhere+ zinapingana.
U know what I am tired of arguing, I guess there isn't really better ways for effectively managing this conflict.. Kwa hiyo bora amini unachoamini na niache nami niamini nachoamini..
 
Mkuu wangu binafsi yangu sidhani kabisa kwamba Zitto anasukumwa na tamaa ya Pesa - Hapana.. sio kweli kwa sababu namjua Zitto japo sii kwa saana hivyo. Sii mla rushwa tena nadhani anapiga vita rushwa kuliko watu wengi sana hata ndani ya chama chake mwenyewe hupenda kuhoji matumizi ya chama..Ni mtu safi sana inabidi uwe naye karibu ndio utamjua..

Tatizo la Zitto ni imani yake kwa kuelewa kwamba nchi yetu tajiri sana na hakuna sababu ya watu wake kuwa maskini na kwa ambiton yake anafikiri yeye ataweza kufanya mabadiliko. Lakini njia za mageuzi hayo ndizo zinazo mponza kwa kujishirikisha na sera za CCM iwe ktk makaa ya mawe Mchuchuma, bomba la gas, kesi ya Mhando na Maswi na uwekezaji mwingine nchini. Hii sio kazi yake kama Mpinzani, kazi yake ni kuonyesha sera mbovu zinatumika na ndio maana matumizi mabaya yanafanyika. tatizo lolote ktk uwekezaji wa Tanesco au wizara angeliwakilisha kama hoja ya chama chake au upinzani..

Kila napomsoma Zitto huwa kama vile Chadema ndio ipo madarakani, yaani yeye husisitiza hili ama lile litawezekana kufanyika under his watch..Litafanikiwa vipo kwa kutumia sera za CCM. Na ndio maana mimi husema Zitto sio mwanasiasa bali mtekelezaji mzuri na kazi hiyo ataiweza tu kuifanya kama Chadema wataingia madarakani maana sera zake zinaendana na makusudio yake. Nimesema sana kuhusu UONGOZI, kiongozi bora mwanasiasa lazima awe spiritual, awe innovator ktk what he preach, na sii Pedegee, a good Managing Director au CEO ktk muundo wa Utekelezaji wa sera mbovu iwe economic development, ajira ama client retention.
- Ni hayo tu...

Nakubaliana na wewe mkuu Mkandara, of the things ambazo huyu kiongozi hapendi ni rushwa, akirekebisha vitu vichache na sisi tukiacha propaganda na siasa za majitaka na majungu Zitto ni kiongozi...
 
Mimi nikiwa mmoja wa watu ambao tumeweka matumaini makubwa kwa chama cha Chadema kuleta mageuzi nchini nina ushauri mdogo sana kwa Zitto kuhusu SIASA zake na misimamo yake ambayo ndiyo sababu na chanzo cha yeye kuwa bangusilo ktk kila tukio la Upinzani..

Mheshimiwa Zitto amekuwa akisimama sana peke yake (independent) kwa fikra kwamba anaweza kuleta mabadiliko kupitia mwamvuli wa CCM. Hutumia sana maneno ya kwamba yuko huru na anafanya kile anbachokiamini yeye kuwa ndio haki na sahihi. Kwa fikra hizo amekuwa mstari wa mbele ktk tunzi za uwekezaji nchini wakati yeye kama mwanasiasa wa Upinzani hakutakiwa kabisa kugusa jambo hilo pasipo kuwepo makubaliano na ushirikiano wa vyama (Bipartisan) ktk kufuata sera (policies) zitakazo tumika..

Siku zote mwanasiasa na hasa mbunge wa chama cha Upinzani unatakiwa kuwa kinyume cha maamuzi ya sera za chama tawala, napengine kutumia nafasi hiyo kuweka shinikizo kwa chama tawala wakubali kufuata sera za Upinzani lakini wewe binafsi huwezi kutumikiwa na sera zile zile ambazo ndizo sababu ilokufanya wewe usimame upande wa pili, fikra hizi ni kuonyesha immaturity ktk ulingo wa siasa!

Nakushauri sana mkuu wangu achana na siasa za CCM inapofikia maswala ya kamati yako ya bunge. Kama mbunge wa Upinznai unachotakiwa ni kutafuta makosa ktk sera zao na kuweka wazi ubadhilifu unaofanyika laa sivyo hakuna sababu ya kuwa na upinzani maana sote tunakubaliana na sera za Chama tawala. Kazi yako ni kupinga sera hizo na sio kujaribu kurekebisha utekelezaji wa miradi ndani ya sera mbovu.. Siasa haijengwi hivyo mkuu wangu.

Huwezi kurekebisha utekelezaji wa sera za CCM kwa kutumia kiti cha upinzani -HAIWEZEKANI isipokuwa utatumiwa muda wote na kuwa the weakest link kwao kumaliza upinzani, maana kinachowezekana kutekelezeka kinatokana na sera zenyewe ambazo wewe kama Mpinzani hukubaliani nazo.

Brother, kitumikie chama chako, simama nyuma ya sera za chama chako na pingana na sera za chama tawala kama mpinzani na sii kutekeleza sera za chama Tawala kwa fikra zile zile zilizotufikisha hapa tulipo. Mtazame mwenzako January Makamba, he is smart kisiasa na siku zote husimama nyuma ya chama chake hata kama hakubaliani na mtu ndani ya chama. Mtazame Lowassa, he is smarter hata kama hakubaliwi na watu wengi nje ya CCM lakini ameendelea kujijenga ndani ya chama kuliko nje kwa sababu huko ndiko alikozaliwa - Hutaki yote haya Unaacha!

View attachment 60999 WEWE NA HUYO HAPO JUU HAMTAMUWEZA ZZK ANGALIA SASA JINSI ANAVYOCHANJA MBUGA
http://zittokabwe.wordpress.com/201...a-posta-wizara-ya-kilimo-chakula-na-ushirika/
 
Anachanga
Anachanga Mbuga kwani umeambiwa kuna mbio za marathon mkuu wangu?.. Hii habari ya "Mchango wangu bungeni!" nimezisikia sana kwa vijana wasiasa wetu iwe CDM, CCM na CUF ni kutafuta Umaarufu tu. Wala sii Zitto peke yake nimewasoma wabunge wengi sana wakifanya sifa kuchangia maswala ambayo hayajawakilishwa kutoka Upinzani..
Nijuavyo mara nyingi kila mchango wa mbunge wa Upinzani unapohusu maslahi ya taifa (sio ya Jimbo) ni lazima kwanza mchango huo uambatane na sera za chama chake, uwe umeandaliwa kwa umakini na kuhakikisha mwakilishi wa mchango huo ni mjumbe wa Chama na sii mawazo yake binafsi. Lengo ni kuwa na support ya wabunge behind, na sio kupigiwa makofi na kupata frontpage gazeti la kesho..

Siasa zetu zinaambatana na kushindana umaarufu na ndio maana wabunge wa siku hizi ikitokea wakapata nyaraka za siri, basi kashinda bingo! zinakuwa halali yake hivyo anasubiri Bunge akazitoe ili kupata umaarufu na kuwashtua watu wote. Hizi ni siasa za kitoto, hazina mshiko kwa sababu CCM wataweza kuzizima haraka linapokuwa wazo na mchango wa mtu mmoja ambaye hakuandaa support ya wenzake nyuma yake..
 
Anachanga
Anachanga Mbuga kwani umeambiwa kuna mbio za marathon mkuu wangu?.. Hii habari ya "Mchango wangu bungeni!" nimezisikia sana kwa vijana wasiasa wetu iwe CDM, CCM na CUF ni kutafuta Umaarufu tu. Wala sii Zitto peke yake nimewasoma wabunge wengi sana wakifanya sifa kuchangia maswala ambayo hayajawakilishwa kutoka Upinzani..
Nijuavyo mara nyingi kila mchango wa mbunge wa Upinzani unapohusu maslahi ya taifa (sio ya Jimbo) ni lazima kwanza mchango huo uambatane na sera za chama chake, uwe umeandaliwa kwa umakini na kuhakikisha mwakilishi wa mchango huo ni mjumbe wa Chama na sii mawazo yake binafsi. Lengo ni kuwa na support ya wabunge behind, na sio kupigiwa makofi na kupata frontpage gazeti la kesho..

Siasa zetu zinaambatana na kushindana umaarufu na ndio maana wabunge wa siku hizi ikitokea wakapata nyaraka za siri, basi kashinda bingo! zinakuwa halali yake hivyo anasubiri Bunge akazitoe ili kupata umaarufu na kuwashtua watu wote. Hizi ni siasa za kitoto, hazina mshiko kwa sababu CCM wataweza kuzizima haraka linapokuwa wazo na mchango wa mtu mmoja ambaye hakuandaa support ya wenzake nyuma yake..

Mkuu unatatizo binafsi na ZZK itanilazimu ku apply intelijensia yangu binafsi kukuhusu wewe
 
Unaposema hivyo wewe umesimama wapi - confused au una mashaka kama Zitto ni yule yule? Na kama una mashaka kama ndiye hizi conclusion zinazofuata hapa chini umezipata wapi? ikiwa umeshakuwa na judgements zako tayari kuhusu Zitto. Je, ni kweli huna chuki au ndio unafiki - sorry to use that word!
Well, km umenisoma ni kuwa sijasikia CDM wakimtuhumu ZZK au hata kumpiga vijembe,Ila mimi nimemsikia Bungeni akichomekea kuhusu Urais kwa stayle yake.Hembu jaribu pitia ulichopost halafu uangalie conlicts za message zinazojitokeza?Na Iam sure you are a better writer than many of us in this forum.So its quite obvious wewe si mtu wa kupeleka mized messages.

Well, conclusion zangu nimezipata katika flow ya posting zako mkuu wala usiwe na hofu.
Haya ndio makosa yako yaani tayari umeshaanza kusema mimi ni msemaji wa Zitto! - How? ningekuwa msemaje wake ningeweza vipi kuandika ushauri wangu ambao wewe hukuandika ila umerukia treni kwa mbele pasipo kupima..Nimeonyesha makosa yake kichama na kueleza kwa kirefu pia kwamba Zitto naye katengwa vile vile hili ndio usilottaka kusikia. Je, ni kosa kusema mnamtenga? Kama mnaona kapotea kwa nini asipewe ushauri mzuri ili arudi kuwa yule Zitto mnayemtaka badala ya kumshambulia kila siku kwa vitu ambavyo havihusu kabisa..
I guess unafahamu hii ni forum ,its not a one way publishing medium.So unless umeandika ni Sacred posting na hairushusiwi discussions,sijui kama kuna haja ya kulazimisha watu wameze kile unachokiona ku fitt katk intention yako.(No body would care).
Pengine hujanisoma vizuri lengo la mada hii..Nachozungumzia mimi sio scandal za chama au nje ya chama isipokuwa makosa anayoyafanya Zitto kusimama independent akiunga mkono sera za CCM.. haihusiani na hizi scandals kabisa wla kukisiwa kuchukua rushwa, kutangaza nia ya kugombea urais na kadhalika ambayo binafsi yangu sioni makosa hata kidogo na wala hayapo nje ya framework. Namtetea Zitto ktk hizi scandals na sio support yake kwa sera za CCM ambazo ndizo chanzo cha msuguano baina yake na Chama. Na wewe unazungumzia zaidi scandals ambazo ni tuhuma, wakati mimi nazungumzia facts zilizopo kuhusu msimamo wa Zitto, na hata yeye mwenyewe hujifsifia kwa kauli tatanishi zinazodai He makes decision based on what he think is right for the people, rather than those rights must coinside with his party... haya ndio makosa nayoyazungumzia mimi kuwa zaidi..
Shida hapa ni wewe mwenyewe kwani, watu wote wameanzia katika ushauri wako.Hizo scandal zikitajwa ni just tuu kuonyesha how dangerous things might turn if something goes wrong.Ila in between umeonyesha wazi kuendekeza "Black mailing" kwa kusuggest CDM waje na mafail yao, na Zitto aje na yake halafu waangalia nani hana kosa.Then ukahamia katika "conspiracy theories".Flow nzima umekuwa Defensive kwa Mh. Zitto na kutaka play "victim".Hizi si signs za honest player in any discussion.Mimi siamini kwa uwezo wako kuwa unaweza weka illogical entries ,with mixed message kimakosa unless ume kusudua na ndio maana defence yako hapa umekwepa core parts za my standings.

Hujawa Clear kwanini umeanzisha thread juu ya mh Zitto halafu tayari unataka kuwa dictator kwa kuweka mipaka ya hiyo discussion.
. Hapa ndipo tunapotofautiana kwa sababu siamini ktk majina ya watu hata kidogo. Nyerere alipoondoka uongozi , CCM ilikufa? Where was JK au EL wakati wa Utawala wa Nyerere?..Je, si walikuwepo kina Bomani, Fundikira, Warioba, Salim, na leo hawana tena nguvu ndani ya chama mbona bado kinaendelea..Fikra hizi za ktukuza watu ndizo naziogopa kama ukoma hasa pale watu wanapofikiria kwamba pasipo Dr.Slaa, Mnyika na Mbowe basi CDM haiwezi kwenda mbele - Hapana mkuu wangu hawa wote pasipo CDM wasingekuwa hapo walipo.. Ni CDM inayotakiwa kupewa sifa kwa sababu Chama sii nguvu ya mtu mmoja.. Ten years back Dr.Slaa alikuwa mbunge tu na Mnyika mwanafunzi chuo kikuu wote wameikuta Chadema.. Hivyo wao wanahitajika na chama kutokana na nafasi walizoshika kama dereva, konda na utingo wa bus.. ni muhimu pale anapokuwa kashika usukani na tupo safarini lakini hii haina maana watu wengine hawawezi kuendesha hilo bus ama kazi za konda na utingo.
Hapo ndipo nami natofautiana na wewe.Hiyo safu ya CCM uliyoitaja ni successful generations ambazo walipishana na si generation moja iondoke kwa kujitoa.Sasa kama hufahamu kuwa kupishana kunakuwa na maandalizi

Kwa taarifa yako JK pamoja na mapungufu yake yote akiungana na kama viongozi wawili tena Kesho atangaze kuwa haoni tena sababu ya kuwa kiongozi wa CCM na Nchi CCM inakufa within 24hrs.Na hata CDM pia kuna viongozi fulani wakitoka chama kinaweza shake au hata kuanguka.

Bado nasimama kwa uhakika kuwa kuna viongozi katika vyama vyote wakiamka asubuhi na kusema kuanzia leo sipo chma fulani ghafla.Vyama hivyo vitatikisika na kudhoofika sana kama si kufa na kubaki kama vilipo vyma vingine visivyo hata na madiwani.Na Pia nina Hakina kuwa Zitto si sehemu ya viongozi wanaoweza leta huo mtikisiko.Kwani tayari keshawapa watu mashaka akiondoka atakuwa kathibitisha tuu wanachama walichokuwa wakiamini na kuona dalili.Na hapa ndipo nilpoona makosa yake.Kama wewe ni mmoja wa watu wachukuao maoni yake na ya CCM huku ukiwa na record yake utadhani katika vijiji na miji iliyopo baada ya mapori mengi toka Dar bado wanamwamini hivyo.Tayari wafuasi wa CDM wengi nchini wanamtamka positively pale anapofanya kitu kwa ajili ya chama.Ila baadaye hupotea katika ndimi zao.

Nadhani umeshaona ni wapi tunatofautiana hapa na kwingine.Ila usihofu kutofautiana.
Ebu nionyeshe sehemu niloandika maneno hayo hata kwa ukaribukisha nikayakataa.. Mkuu wangu Zitto ana goals ktk maisha yake, anajiamini kiasi kwamba anaona anazo sifa za kuweza kusimama kuwa rais wa Tanzania. Kwa nini mnataka kumkatisha tamaa badala ya kumpa moyo zaidi?.. Wenzetu wazungu wakiwa na watu kama Zitto huwasifia zaidi badala ya kukatishwa tamaa. Mwanangu mimi anafikiri atakuwa Prime minister when she grow up! Je, unataka nimwambie nini?...
Mh Zitto hata mimi napenda ujasiri wake na jinsi alivyokuwa akitamka maneno kwa ufasaha nmpa energy kuliko hata mwili wake.Ila kafanya bad timing na ka execute vibaya kajenga enemy katika supporter wake.KWa taarifa yako siku Zitto anatolewa bungeni kwa hoja ya Mudhihir huku Slaa akijtahidi mtetea lakini kelele za CCM zikizidi nilikuwa naangalia Bunge live.Nilitupa remote ikakosa my TV na kupasuka.Nilikuwa katik concentration ya hali ya juu kiasi ch akufanya ubongo kuwa na nafasi ndogo sana kufikiri nje ya tukio lile na maudhi juu ya Bunge kwenda mbali vile.Zitto alisimama vyema.Sasa waumini wake wanaona kuwa si yule, na wanahitaji dhihirishe hivyo.Yeyeanaonekana kutaka umma ulazimishe njia zake bila yeye kuwaambia kama bado yupo katika imani yao.

Kuhusu Binti yako kuwa waziri mkuu.Sikushauri umpe huo moyo na sabau ni Very Simple kwanini asipanie Urais ambao atahitaji kura za watu na si kuteuliwa na mtu mmoja(rais wa kipindi hicho) at first place?Kwanza cheo chenyewe kinaweza kisiwepo kama katika itashauri otherwise.
Hizi chuki na kuhukumu watu ni siasa za CCM ambazo hazitaki kuona mgombea yeyote zaidi ya yule anayeteuliwa na CC, mfumo huu haupo CDM lakini wafuasi wake wanataka iwe hivyo kwa sababu mmelelewa na CCM..Bila shaka, mimi nitampa moyo Zitto, Mbowe au mtu mwingine yeyote nayemwona anafaa kugombea au yule mwenye kuijiamini yeye kugombea. Hii ni Nia ya mtu na haipingwi kama ina malengo mema, maadam wananchi ndio wataamua nani atakuwa mgombea kwa ushindi au rais wa nchi yetu sio hapa JF au washabiki wa Chadema.
Mwenye hana hana hakika kuwa hata akijitosa atapata.Ndio maana vurugu nyingi na kudai kuchezewa rough huku hata muda wa kuchukua form achilia mbali kufanya kampeni halali na za wazi haujafika.
Na unapolitumia neno hili blackmail, nadhani hufanyi haki hata kidogo kwa sababu umeonyesha wazi humpendi Zitto na hivyo chochote kinachokwenda kwake ukaona sifa ni ku blackmail chama!..
Mkuu wewe ndie ulielea habari kuwa sijui wengine CDM walete mafile yao na Zitto alete yake .Sasa kama hujui huo mchezo kwa lugha nyingine ni blackmailing.Kumnyamazisha mtu kwa makosa mengine ili asiseme lako.LAKINI KATIKA LOGIC NA RATIONALITY kosa la mmoja halifutwi na la mwingine.Ila linaongeza wakosefu.Na flow nzima hapa si kushindanisha wanachadema kwa makosa yao.Ila kumwangalia Mh. ZItto in the center of all these attention.Hapa kama una dhani unataka mshauri mwingine bado unaweza mwanzishia na watu watambana hivyo hivyo.Na akina na majibu sahihi atakuwa amedhibitisha kuwa shujaa.Kwa taarifa yako mimi hata baadhi ya interview katik TV na radio zetu huwa naziona kam asehemu za kujidhalilisha.Kiongzoi anasakama nafasi muhimu katika nchi anakwena jukwaani kuulizwa viswali hata katika Library huwezi weka copy ya record yake,ila bado wanajiuma jiuma.
. Nachoandika sio habari ya kubuni au tungo za hadithi.. Ni taabu sana kukuelimisha wewe kwa sababu unafikiria Negative all the time.. Nimesema mafaili haya ni tungo hayana ukweli ndani yake. Hizi ni habari zimetungwa makusudi kuondoa imani ya Zitto kwa aidha niseme Mbowe au kiongozi mwingine yeyote lakini wakati huo huo Mbowe na kina Slaa pia nanazo habari za Zitto zinazowafanya wasimuamini vile vile. Kila mtu ana faili la mwingine pale CDM..Lakini hizi habari zote zimetungwa kwa malengo ya kuwakosanisha zaidi ya kuwapa ukweli, hivyo nimewaomba wakae pamoja na kuzitazama habari za pande zote mbili watagundua ukweli ni upi.. Kuacha habari hizi zimekaa vichwani mwa wanachama zitazidi kuwatenganisha na kuamini tuhuma ambazo zimepikwa.. Sijui kama unanielewa sasa?
mkuu naona unatuletea tungo halafu unataka tuanze ishi na kuamini kila tungo.Kila tungo unayochagua kuna milions ya tungo bora +njia bora zaidi ya kuzipresent.So kama ni tungo zako au ni za CCM bado zinaweza zisiwe the best kwani hadi sasa Zimekuwa Zimwi kwa Zitto zaidi ya wengine.Something that prove kuwa CCM wamepata maximum effect kwa Zitto.NDIO UNACHOMAANISHA?Sasa kama unampa Moyo azidi kula dose then nitakuwa namashaka na intention yako.

Hapa issue ni kuwa hizo Tungo alizonazo Zitto ndizo zina madhara kwani zinamuamisha zaidi ya wengine.Na hii inaonyesha kuwa wengine wengi wapo katika timu ndio maana hawan hizo desires kali kam alizo nazo Zitto.And funny enough Mnyika angekuwa na hizo desires angekuwa amejenga base ya vurugu kupitia vijana n aleo angekuwa na base imara sana.
dah wewe mgumu sana, nachozungumzia ni TUHUMA na sio UNAJUA kama mtoto haendi shule ama mtoto mtundu kwa sababu tayari unao ushahidi. Huwezi kumkanya mtoto kwa jambo la kusikia tu.. Kama umesikia haendi shule lazima ufuatilie kwa wanafunzi wenzake au walimu wake uhakikishe kweli haendi shule, halafu ndio unamwita kumuuliza kwa nini haendi shule..Na kama mtoto anaenda shule siku zote unategemea atakujibu nini iwapo tayari umeshamhukumu?. Fanya Utafiti wa habari kabla ya kukurupuka nakumwekea mashaka mwanao.
Nadhani hujanielewa na hivyo hatutaelewana.Hapa sijakuambia kuwa ni habari za kusikia.Hapa nimekupa mfano tena mfano ulio hai sana katika familia zetu,kuwa mtoto haendi shule na siku chache aendazo anafany amatendo ya kuleta hasara katika familia isiyo na hela kihivyo.Katika kumuonya mtoto akawa ana play victim, na majirani wasio na nia njema wakaingilia na kuside na mtoto kwa vile lengo lo ni kunfanya aone aliyofanya kama si makosa ,na baadaye kuzidi harikibika na kuitia familia hasara.Sidhani kam animekurupuka.
Kesha inflict damage ktk image yake kivipi? Kwamba anakula rushwa au.. Nicholas niliyoyaandika yote toka mwanzo hayahusu kabisa image ya Zitto kwa watu isipokuwa wewe ndio umepigwa changa la macho kuamini hivyo.. Ukiambiwa Mkandara anatembea na Mkeo utanichukia sana na pengine kufikiri nimeharibu image yangu lakini ukweli ni kwamba sijatembea na mkeo, hivyo mwenye kuharibu image ni wewe unayechukua tuhuma na kuzikuza wakati sio kweli. Ni upande huu hutaki kuutazama ikiwa umesha nishutumu nikiamua kukaa mbali na wewe kwa nini naitwa tena Mkosa!.
Nadhani kabla ya kuona kuwa unachodhani kuwa unawaelemisha watu ndicho sahihi sana ,you have to prove that you are that credible ndugu yangu.SINA WASIWASI NA UWEZO WAKO ILA WA NIA NA MALENGO YAKO.
Mukandara hata article yako inaonyesha wazi kuwa Zitto anapoteza muda kukorect ilani za CCM zaidi ya kufanya za CDM, ni arrogant, na mengine yanayoashiri akuwa si sehmu ya timu.Pengine unadhani kila kitu lazima kisemwe kwa neno moja ndio kimanishe hivyo.Hivi mwizi nikitaka mtaja katika tukio ambalo mwenye mali hakuridhia.Nikisema fulani(Jina) alikuja akinyata, akapita katik upenyo wa nyumba na kuingia ndani na kuchukua ki/vitu fulani na kutokomea huku akijificha kwa kupitia shambani .Then Mtu akisema jamaa kaiba kuna haja ya kutoka povu?

Hata wewe ukiambiwa umekula waife wangu hata kama sitakuuliza au kukutetea kwa vile sina mazingira ya kukuhisi ila in the future mkishuka katika basi moja bado nitakuwa curious katika hizo coincidences.Kwa taarifa yako watu wenye makovu makubwa na miili mikakamavu huwa wanahisiwa kuwa wezi hata kama waliyapata kwa ajali au hata walishaancha hayo matendo.Na huwa kila waendapo huwa hata wao huona nyuso na hali za watu zikibadilika na mawasiliano yanakuwepo bila kusema.Wachahce ndio hujenga mazingira ya kupasua hilo then kudescuss ingawa bado haibadilisha sana matokeo kwa wengi.Any way naona unanilazimish andika sana ingawa huwa mimi si mwandishi mzuri.

[/QUOTE]
Mu
U know what I am tired of arguing, I guess there isn't really better ways for effectively managing this conflict.. Kwa hiyo bora amini unachoamini na niache nami niamini nachoamini..

haha...nadhani unataka ichukulia too personal.huku ukisahau kuwa this is public domain .And a good thing huwa nasoma sana posting zako katika great thinker.Sasa ulichoandika hapa unanitisha, unaniogopesha .Unafungua undani wako, unaonyesha kuogopa kuwa honest na kuchambua hoja in constructive ways.Challenges unazigeuza kuwa kitu kingine na si kuzitumia ku perfect your ideas.Sidhani kama umeandika kitabu kilipitia kwa critics.

SI NIA YANGU USIAMINI UAMINICHO.ILA NI NIA YANGU UWEKE SAWA UNACHOTAKA TUAMINISHA HUMU NDANI.Otherwise katik hii thread sijaona chochote kinacho reflect "Exploration of reality".Kuna articles nyingi umeandika na nimekuwa nazisoma kwa umakini mkubwa na ndio maana nakukubali sana katika uandishi,ila sikubaliani na intention yako.Mi kama ni kukubana hapa nitakubana vyema.Na sitokuwa diverted na conspiracies unazotaka tuziamini sasa unaziita Tungo, sijui ni tungo za CCM au zako ila.SI kitu kigeni kuwa CCM wapo busy kwa mipango ya kusambaratisha vyama vingine tangu siku za giza.Na hiyo haijawa na matokeo kama walivyopanga CCM kwa CDM.Ingawa sijui ni kwa nini CCM wasiwekeze katika maeneo mengine.

Labda nikuombe upitie postings zako halafu unagalie kama zinasupport unavyomalizia.Au utakuwa kama Nape?Kuna sehemu aliamua kuwapiga madogo watu kuwa hawezi rudia soma hizo postings zilizoandika saa 11 asubuhi .Off -course alikuwa akijitahidi kutoingia sana katika hasira ,za maneno makai ya wachangiaji.Ila naye aliteleza kwani kusoma ni kitu alipaswa kama kaamua ingia katika online battle ya kuweka image ya chama sawa,ila kujibu ndipo angeamua ku weka katika summary ili kujibu yanayorudia na yasiyo na maana.Kwani postings aanzoruka pia zitabaki online na nyingine zitakuwa ngumu sana kwa malengo yake online.Kuna vitu havitegemei historia umejibu maswali mangapi ,kwani kila swali linajibu kiu ya kundi la watu fulani.
 
Back
Top Bottom