wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,210
- 37,829
Wakongo hawana shida baina yao, they love each other, they love their country. Shida ni Paul Kagame na wenzake na wale mabeberu walionyofoa fuse kwenye ubongo wa kagame ili wamtumie kuvuruga kanda
Wakongo wameanza kuchapana hata kabla Kagame hajazaliwa,na wataendelea kuchapana mpk pale watakapoamua kuchakata ubongo na kumaliza matatizo yao.