ukiniambia wanapendana unanidanganya.ubinafsi ni matokeo ya kutokuwa na upendo ,ndio homa inayowatafuna wa congo.mfano unanyumba yako kuubwa imesheheni Mali na watoto kibao ,na wajukuu pia wote mnaishi ndani ya hiyo boma.halafu Kuna jilani zako pembeni Wana vijumba vidogo vidogo,na watoto wawili watatu hv,then Hawa jirani zako ni wezi ,Mara waje wanyofoe milango ya boma yako,Mara wakwapue hazina zako.unashindwaje kuwaambia wanao na wajukuu zako wawashugulikie Hawa jilani zako wezi wajapo kupora boma yako??? mfano mwingine nenda kavamie boma ya wamasai uone watakacho kufanya...mfano mwingine kamuulize idd Amin zawadi aliyoipata kutoka kwa babu zetu na wajukuu wao ,pale alipotuma vijana wake kupora kagera,vijana walitoka mtwara,ruvuma,usukumani,dodoma huko,maeneo mbalimbali ya nchi,kukomboa kipande kidogo tu Cha aridhi ya kagera. UPENDO NA UMOJA,NDIO ULIOKUWA UNA WA DRIVE. Ukiniambia wacongo wanapendana unadanganya mkuu,ukiniambia wacongo sio wabinafsi unadanganya zaidi.
Wacongo wanatakiwa wa reform unit& solidarity,wa cherish upendo baina yao,wawe na uchungu kwelikweli kwa watoto wao na wajukuu zao na Mali zao.ni vichekesho kutegemea jilani kutoka mbali aje kuonyesha upendo kwa watoto wako na wajukuu wako,na Mali zako,wakati na wewe upo,na watoto wako wapo na wajukuu zako wapo,na Mali unazo.NI AIBU NA KUTOKUJIELEWA .