IKUNGURU IJIRU CHUKU
JF-Expert Member
- Feb 27, 2021
- 484
- 541
Kama hapo juu panavyo jieleza. Nawashauri Chadema wawe Kama Chama Afrika Kusini kilipo weka kambi hapa Tanzania kupambana na Makaburu.
Pia nawao watafute nje ya NCHI mahali kupambana na madhalimu WA CCM. Maana Kwa hapa ndani wamewekewa vikwazo vingi na ilihali NI haki Yao.
Pia NASHAURI Kuhakikisha ndani ya chama chenu nikuwafutikia MBALI wasaliti WOTE.Na wasiruhusu yeyote anayetokea CCM kujiunga nao.
Pia nawao watafute nje ya NCHI mahali kupambana na madhalimu WA CCM. Maana Kwa hapa ndani wamewekewa vikwazo vingi na ilihali NI haki Yao.
Pia NASHAURI Kuhakikisha ndani ya chama chenu nikuwafutikia MBALI wasaliti WOTE.Na wasiruhusu yeyote anayetokea CCM kujiunga nao.