WAWEKE CHANNEL SPECIAL YA CCM INAYOHUSU MAMBO YA CCM TU. ITAPUNGUZA MAMBO YA KUTANGAZA KWA MWELEKEO WA KI CHAMANdio nikawataka wabadili vipindi ili kuwavutia watazamaji, Tv kupelekeshwa kisiasa haiwezi kukizi kiu ya watazamaji.
WAWEKE CHANNEL SPECIAL YA CCM INAYOHUSU MAMBO YA CCM TU. ITAPUNGUZA MAMBO YA KUTANGAZA KWA MWELEKEO WA KI CHAMANdio nikawataka wabadili vipindi ili kuwavutia watazamaji, Tv kupelekeshwa kisiasa haiwezi kukizi kiu ya watazamaji.
Dr Ryoba ni mtu aliyebobea sana kwenye tasnia ya habari nashangaa nini kilichomsibu labda tumpe muda tena huenda kuna vitu wanaviandaa ili kuirudisha TBC kwa speed ya 4GDr Ryoba baada ya kuingia tu TBC akili ika-paralyze ghafla.