Ushauri wangu kwa Rais Samia

Ushauri wangu kwa Rais Samia

Agent-47

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2014
Posts
783
Reaction score
2,780
Bibi yangu

Huku Mtaani Kuna hasira inafuka sijawai kusikia wala kuona.

Siku hiyo ya 9 December sidhani kama kuna polisi, jeshi au nguvu yoyote itaweza kuzima hasira walizonazo watu wa mtaani huku. Swali inabidi kujiuliza siyo je watatoka?

Swali ni je itakuwa mbaya kiasi gani?

Itakuwa mbaya saaana. Wapo wanaodai maiti zao, wapo wanao omboleza vifo vya ndugu zao uliowaua, wapo wasiopenda tabia zako za rushwa, wapo wasiopenda utekaji unafanya, wapo wanopinga wewe kujiapisha kwa kupora urais. Itakuwa mbaaaaya.

Ushauri wangu: Beba kile unaweza, jaribu kufuta ushaidi wa mambo flani flani, kisha ondoka na achana na hii mambo ya Urais.

Jirani yako
 
Yeye ni chura kiziwi, alienogewa madaraka Kwa gharama ya damu ya watanganyika wavuja jasho, ushauri anaopokea ni WA abduli tu

Aisee! Huyu bibi naanza kumuonea huruma pamoja na kuwa ni mtu katiri na kwenye roho mbaya.
 
Mtihani sana huu kwa mhusika. Kuwa Rais wa vyombo vya ulinzi badala ya wananchi waliokuchagua kwa 98%!!
 
Ameshachelewa kwa kujifanya hasikii wala hajali lolote....
 
Ushauri wako tumeupokea ila mapendekezo yako ya kutupangia Nini Cha kufanya tumeyakataa😏
 
Bibi yangu

Huku Mtaani Kuna hasira inafuka sijawai kusikia wala kuona.

Siku hiyo ya 9 December sidhani kama kuna polisi, jeshi au nguvu yoyote itaweza kuzima hasira walizonazo watu wa mtaani huku. Swali inabidi kujiuliza siyo je watatoka?

Swali ni je itakuwa mbaya kiasi gani?

Itakuwa mbaya saaana. Wapo wanaodai maiti zao, wapo wanao omboleza vifo vya ndugu zao uliowaua, wapo wasiopenda tabia zako za rushwa, wapo wasiopenda utekaji unafanya, wapo wanopinga wewe kujiapisha kwa kupora urais. Itakuwa mbaaaaya.

Ushauri wangu: Beba kile unaweza, jaribu kufuta ushaidi wa mambo flani flani, kisha ondoka na achana na hii mambo ya Urais.

Jirani yako
Hii post ina contradiction kitaalamu ni bandwagon fallacy. Kama kweli mnataka kumtoa Samia kwa nini unamtahadharisha AONDOKE?

Nadhani kama hamumtaki nanmna uwezo wa kuntoa, jambo linalotakiwa ni kumkamata na siyo kumwambia afungashe aondoke.
 
Mtihani sana huu kwa mhusika. Kuwa Rais wa vyombo vya ulinzi badala ya wananchi waliokuchagua kwa 98%!!
sherehe za uhuru wakafanyie pale pale walipoapishana, huku town wananchi watakua na jambo lao?
 
Bibi yangu

Huku Mtaani Kuna hasira inafuka sijawai kusikia wala kuona.

Siku hiyo ya 9 December sidhani kama kuna polisi, jeshi au nguvu yoyote itaweza kuzima hasira walizonazo watu wa mtaani huku. Swali inabidi kujiuliza siyo je watatoka?

Swali ni je itakuwa mbaya kiasi gani?

Itakuwa mbaya saaana. Wapo wanaodai maiti zao, wapo wanao omboleza vifo vya ndugu zao uliowaua, wapo wasiopenda tabia zako za rushwa, wapo wasiopenda utekaji unafanya, wapo wanopinga wewe kujiapisha kwa kupora urais. Itakuwa mbaaaaya.

Ushauri wangu: Beba kile unaweza, jaribu kufuta ushaidi wa mambo flani flani, kisha ondoka na achana na hii mambo ya Urais.

Jirani yako

Naona kama warioba ana wachabo tu huku akila pop corn na wakati mwingine anasikitika mno
 
Back
Top Bottom