Hii post ina contradiction kitaalamu ni bandwagon fallacy. Kama kweli mnataka kumtoa Samia kwa nini unamtahadharisha AONDOKE?
Nadhani kama hamumtaki nanmna uwezo wa kuntoa, jambo linalotakiwa ni kumkamata na siyo kumwambia afungashe aondoke.
Kwanini umshauri? Ili upate nini?? Mtu kagombea kuongoza 2025-30 hata mwezi mmoja hajamaliza, eti unamshauri aondoke? StupidYou are deliberately being obtuse. Kumshauri aondoke na kutaka kumtoa are tow things of the same coin. The outcome is simalar.
Kwanini umshauri? Ili upate nini?? Mtu kagombea kuongoza 2025-30 hata mwezi mmoja hajamaliza, eti unamshauri aondoke? Stupid
If you can, just get rid of her!! Siyo kutuletea ngonjera hapa