Michael Douglas Nchimbi
New Member
- Jan 5, 2019
- 3
- 1
Ndugu nadhani sasa inabidi tubadilike na tujaribu kuangalia mazao mengine ya kibiashara Kimataifa. Na hapo nazungumzia mazao ndani ya mashauriano ya kilimo huku ndani ni kama hayajulikani na kama hayatuhusu lakini ni kilimo vizuri kibiashara kimataifa.
Natoa ushauri Serikali yetu tukufu kuhamasisha wananchi wake juu ya mazao ya kibiashara zaidi ambayo yanaingizia Taifa fedha za kigeni na pia kuwa tayari kutoa ushirikiano kwetu ambao tayari tumejitoa kujikita katika mazao hayo.
Natoa ushauri Serikali yetu tukufu kuhamasisha wananchi wake juu ya mazao ya kibiashara zaidi ambayo yanaingizia Taifa fedha za kigeni na pia kuwa tayari kutoa ushirikiano kwetu ambao tayari tumejitoa kujikita katika mazao hayo.