Ushauri: Wanaume na Wanawake

Ushauri: Wanaume na Wanawake

CHIEF JJ

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2014
Posts
1,075
Reaction score
358
Kama wewe ni mwanaume au mwanamke hujaowaaa wala kuolewa na wala huna mchumba usipende kuwa na mahusiano na mwanaume au mwanamke mmoja.

Unatakiwa uwe nao kama watatu hivi na kuendelea ili mmoja akizinguwa unachukuwa mwingine.

Huo ni ushauri wa bure kwa binadamu rijali
 
Sometime ni vizuri, coz unajifunza kuishi na watu wenye hulka tofauti and how to handle them,alfu unapunguza na stress
 
Ukigundua demu wako ana wanaume sita usimaindi pia
 
Kama wewe unao sita ujue na nyie mpo kumi na mbili watu wanajitaid kutokomeza maambukiz ya ukimwi wengine mnatafuta njia ya kuupata kama umeshindwa kujifunza kuish na watu (majiran na marafiki ) toka umezaliwa had hapo hutakaa uweze tena
 
kama wewe unao sita ujue na nyie mpo kumi na mbili watu wanajitaid kutokomeza maambukiz ya ukimwi wengine mnatafuta njia ya kuupata kama umeshindwa kujifunza kuish na watu (majiran na marafiki ) toka umezaliwa had hapo hutakaa uweze tena

Mkuu hujui wametuletea condom za nini? weka carton moja au mbili za condom getho
 
Back
Top Bottom