Ushauri: Wanaume na Wanawake

Ushauri: Wanaume na Wanawake

Mnajazna ujinga mh ata ukiwanao1000 atatokea wa kuumiza kichwa na kukupa strecc tuu
 
Condom cyo dawa kwan wanavyotokomeza ukimwi hawajui kondom cyo dawa ya ukimwi ingekuwa ivyo kusingekuwa na wagonjwa wa HIV
 
kama wewe ni mwanaume au mwanamke hujaowaaa wala kuolewa na wala huna mchumba usipende kuwa na mahusiano na mwanaume au mwanqmke mmoja unatakiwa uwe nao kama watatu hiv na kuendelea ili mmoja akizinguwa unachukuwa.mwingine....
huo ni ushauri wa bure kwa binadamu rijali

Yaah.......na speed hiyo hiyo uwe nayo kuhudhuria klinic.......ARVs umeze kwa wakati........na sindano za kisonono uchome.......
 
Back
Top Bottom