Ushauri: Wanaume husimama, Wanawake hukaa...

Amen Brother
 
Nitumie
 
Wanapotoshwa vipi?!
Mimi nimewapotoshaje

Hapo hujawapotosha... Umewaeleza ukweli...

Mkubali mkatae this is a man's world...

Hata historia inaeleza alianza Adam, baadae Eve akaletwa kama msaidizi... ingawa hapo kati kuna ka-demu nakasikia sikia kalikua na Adam kabla ya Eve... kanaitwa Lilith..

Cc: mahondaw
 
Mishipa si yake? ! Atakuhudumia hospital usijali

vi mishipa ya kizazi dadaa... Smart911 Ana shipa..[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] khakhakhaaaaaaa
 
Hayo mambo ya Beijing ni mpango wa shetani via his agents kuleta mfarakano kwa binadamu.
 
Hayo mambo ya Beijing ni mpango wa shetani via his agents kuleta mfarakano kwa binadamu.
 
vi mishipa ya kizazi dadaa... Smart911 Ana shipa..[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] khakhakhaaaaaaa

Hahaha kausha...
Kaone kwanza kalivyo kazuri...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…