Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 18,204
- 17,560
- Thread starter
- #81
Susaa
Susaa
Hahahha hawajaja kabisaHuko waliko baada ya kuuona huu uzi wanalia sasa hivi,
NakuonaKila watu na utaratibu wao, hatufanani
Mishipa si yake? ! Atakuhudumia hospital usijali
Amen BrotherHuo ndiyo ukweli mahondaw wangu...
Utamkuta mwanamke aliyopo kwenye ndoa au mahusiano mazuri vile anavyomshauri mwanamke mwenzako ambae bado anatafuta ni huruma tupu...
Utawasikia wanawambia wanawake wenzao 'All man are dogs' usimchekee mwanaume... ila yeye ananyenyekea na kupalilia kwake...
Mwenye kuambiwa na akashindwa kuchanganya na za kwake ndiyo hao kila siku wanalia lia na mahusiano...
Ndio maana nikakuuliza wazee ni wanawake?Hahahaha
Nilikuwa nawaonya vijana wa kiume
Poa shem vipi za kitambo?Mzima shem? !
Endeleeni kutaka haki Sawa mtaishia kuliwa na kuachwa tuu, hakuna mwaume anayependa kutawaliwa na mwanamke duniani.Hahahaha
Haki sawa beibii
Haiwezekan lazima atajikojolea tuuHaujawahi kuwatokea tu. Wapo wanaosimama na kuurusha kwa nyuma tena mbali. Usimwambie mtu nimekumegea siri hii.
NitumieNiaje? !
Naomba twende sawa tu wanawake wenzangu:
Ni lazima tukumbushane kuwa
1. Wanaume wakienda kujisaidia haja ndogo husimama
2. Wanawake wakienda kujisaidia haja kubwa hukaa kama sio kuchuchumaa
Sasa mwanamke unapotaka kumzidi mwanaume kwenye maisha ndio huleta haya matatizo yooote ya vilio kwenye Jamii kama
A. Wanaume wanachepuka
B. Wanaume wa sikuhizi wabaya
C. Wanaume wana vibamia
D. Wanaume hawajui kitu ndio mana tunapenda wazee
Unajua wewe kama mwanamke ukishajua haki zako kwenye mahusiano / mapenzi / ndoa na ukajitambua wewe ni nani (mwanamke ni shingo na sio kichwa) haya malumbano yooote yataisha
Mbona mama zetu waliishi na baba zetu vizuri?!
Vumilieni vijana ndoa nyingi na mahusiano mengi ya vijana zinakuwa juu ya mawe kwasababu wanawake wamesahau nafasi zao
Beijing (Elimu/ Haki sawa) isikufanye ukasahau kuwa sikio halizidi kichwa
Tulieni jomooni acheni ujinga
Narudia kuwa mwanaume akijisaidia husimama mwanamke hukaa/huchuchumaa ... usitake kusimama kama mwanaume utaumia
Alafu kama uko kwenye ndoa usimnyimee mpeee sa we kila siku umechoka woi. ..
Ni hayo tu kwa Leo, nadhani Somo nimeeleweka
Wanapotoshwa vipi?!
Mimi nimewapotoshaje