Ushauri: Wanaume husimama, Wanawake hukaa...

Ushauri: Wanaume husimama, Wanawake hukaa...

Sio wanaume wote wakati wa haja ndogo usimama, wengi wao huchuchumaa nami ni miongoni mwao, narekebisha tu hapo. Asante
Tayari washakuharibu shemeji
We wa Tanga au?!
 
Relationship za sku hz n kupeana
Stress tu mtu unaanZisha relationship
Haikai hata 3 months,

umeshaivunja.kutokana na baadh ya
Wanawake wa skuhiz kutokutumia

Akili anatumia nguvu kwa ktu
Amabacho haiwezekan
Hahaha pole rafiki
Beijing ktk ubora wake
 
Na mwanamke ukitaka kujisaidia huku umesimama, utajikojolea tu miguuni maana hamna namna!
Meona ee

Hao wazee ni wanawake?

Wazeee gan

Haujawahi kuwatokea tu. Wapo wanaosimama na kuurusha kwa nyuma tena mbali. Usimwambie mtu nimekumegea siri hii.


Somo zuri




Mje na huku Tangazo: Style ya Mbwa inaleta Kansa na Presha!..
 
Relationship za sku hz n kupeana
Stress tu mtu unaanZisha relationship
Haikai hata 3 months,

umeshaivunja.kutokana na baadh ya
Wanawake wa skuhiz kutokutumia

Akili anatumia nguvu kwa ktu
Amabacho haiwezekan


Wakija watakubishia sana. Na sijaona comment zao hapa
Hahaha wameenda kusali wakitoka watakuja

Buzz
Ni bombaaa!!..

Vodacom power to u

Uko juu baby.
Umenena vyema
Asante baby

Mje na huku Tangazo: Style ya Mbwa inaleta Kansa na Presha!..
 
Ila mishushuo yako bado naipima nacheki upepo


Mbona disco lishaingiliwa na mmasai muda sana!..


Wanaume tunasimama ndiyo, nimekuelewa


haya mambo ya haki sawa na elimu za degree 1-2 zimewaharibi sana wadada kila kitu anataka awe sawa na mwanaume!.wanawake inabidi wajifunze hamna mwanaume duniani anataka mwanamke awe juu yake au adharauriwe na mwanamke ni fedheha sana,mwanaume mwenzako akudharau na mwanamke naye akudharau! sizani kama kuna mwanaume wa hivyo duniani


Mwanamke wa shoka


Wafunde wafundike mamah




Vita wanayotaka kuanzisha wanawake ni ya vioo hawaiwezi


Siku zote mpini utabaki kuwa mpini uwezi kuwa shoka kwa kuwa umetambua hlo pongezi Ila nao kiss wamesifiwa wasizifi sifa.


Mpini lazima uchomekwe kwenye. Jembe ndo ulime vzr


Mkuje Tangazo: Style ya Mbwa inaleta Kansa na Presha!..
 
Back
Top Bottom