Wick
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 8,312
- 12,191
BuzzHahaha
Yajayo yanafurahisha upo tayari?!
Ni bombaaa!!..
BuzzHahaha
Yajayo yanafurahisha upo tayari?!
Niaje? !
Naomba twende sawa tu wanawake wenzangu:
Ni lazima tukumbushane kuwa
1. Wanaume wakienda kujisaidia haja ndogo husimama
2. Wanawake wakienda kujisaidia haja kubwa hukaa kama sio kuchuchumaa
Sasa mwanamke unapotaka kumzidi mwanaume kwenye maisha ndio huleta haya matatizo yooote ya vilio kwenye Jamii kama
A. Wanaume wanachepuka
B. Wanaume wa sikuhizi wabaya
C. Wanaume wana vibamia
D. Wanaume hawajui kitu ndio mana tunapenda wazee
Unajua wewe kama mwanamke ukishajua haki zako kwenye mahusiano / mapenzi / ndoa na ukajitambua wewe ni nani (mwanamke ni shingo na sio kichwa) haya malumbano yooote yataisha
Mbona mama zetu waliishi na baba zetu vizuri?!
Vumilieni vijana ndoa nyingi na mahusiano mengi ya vijana zinakuwa juu ya mawe kwasababu wanawake wamesahau nafasi zao
Beijing (Elimu/ Haki sawa) isikufanye ukasahau kuwa sikio halizidi kichwa
Tulieni jomooni acheni ujinga
Narudia kuwa mwanaume akijisaidia husimama mwanamke hukaa/huchuchumaa ... usitake kusimama kama mwanaume utaumia
Alafu kama uko kwenye ndoa usimnyimee mpeee sa we kila siku umechoka woi. ..
Ni hayo tu kwa Leo, nadhani Somo nimeeleweka
HahahahWafunde wafundike mamah
Shemeji upo? !Well said Money Penny
Hahaha a tutawasusia miiliMfalme kabisha hodi ugome kufungua kisa umechoka utalala wazi
Tutawasusia miiliVita wanayotaka kuanzisha wanawake ni ya vioo hawaiwezi
SauwaSiku zote mpini utabaki kuwa mpini uwezi kuwa shoka kwa kuwa umetambua hlo pongezi Ila nao kiss wamesifiwa wasizifi sifa.
shemeji kwa zari????Shemeji upo? !
Dawa ni kumdanganya. Unaishi naye kwa akili. Anafurahiiii. Kumbe unamuangalia na kusema hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiihaya mambo ya haki sawa na elimu za degree 1-2 zimewaharibi sana wadada kila kitu anataka awe sawa na mwanaume!.wanawake inabidi wajifunze hamna mwanaume duniani anataka mwanamke awe juu yake au adharauriwe na mwanamke ni fedheha sana,mwanaume mwenzako akudharau na mwanamke naye akudharau! sizani kama kuna mwanaume wa hivyo duniani
Niaje? !
Naomba twende sawa tu wanawake wenzangu:
Ni lazima tukumbushane kuwa
1. Wanaume wakienda kujisaidia haja ndogo husimama
2. Wanawake wakienda kujisaidia haja kubwa hukaa kama sio kuchuchumaa
Sasa mwanamke unapotaka kumzidi mwanaume kwenye maisha ndio huleta haya matatizo yooote ya vilio kwenye Jamii kama
A. Wanaume wanachepuka
B. Wanaume wa sikuhizi wabaya
C. Wanaume wana vibamia
D. Wanaume hawajui kitu ndio mana tunapenda wazee
Unajua wewe kama mwanamke ukishajua haki zako kwenye mahusiano / mapenzi / ndoa na ukajitambua wewe ni nani (mwanamke ni shingo na sio kichwa) haya malumbano yooote yataisha
Mbona mama zetu waliishi na baba zetu vizuri?!
Vumilieni vijana ndoa nyingi na mahusiano mengi ya vijana zinakuwa juu ya mawe kwasababu wanawake wamesahau nafasi zao
Beijing (Elimu/ Haki sawa) isikufanye ukasahau kuwa sikio halizidi kichwa
Tulieni jomooni acheni ujinga
Narudia kuwa mwanaume akijisaidia husimama mwanamke hukaa/huchuchumaa ... usitake kusimama kama mwanaume utaumia
Alafu kama uko kwenye ndoa usimnyimee mpeee sa we kila siku umechoka woi. ..
Ni hayo tu kwa Leo, nadhani Somo nimeeleweka
Haujawahi kuwatokea tu. Wapo wanaosimama na kuurusha kwa nyuma tena mbali. Usimwambie mtu nimekumegea siri hii.Na mwanamke ukitaka kujisaidia huku umesimama, utajikojolea tu miguuni maana hamna namna!