Ushauri: Wanaume husimama, Wanawake hukaa...

Uko juu baby.
Umenena vyema
 
Bahati mbaya niko mbali na wewe. Lakini nakuzawadia heshima ya mwanamke bora ukiwafuatia bibi zangu na mama yangu.
 
Sio wanaume wote wakati wa haja ndogo usimama, wengi wao huchuchumaa nami ni miongoni mwao, narekebisha tu hapo. Asante
 
Relationship za sku hz n kupeana
Stress tu mtu unaanZisha relationship
Haikai hata 3 months,

umeshaivunja.kutokana na baadh ya
Wanawake wa skuhiz kutokutumia

Akili anatumia nguvu kwa ktu
Amabacho haiwezekan
 
Dawa ni kumdanganya. Unaishi naye kwa akili. Anafurahiiii. Kumbe unamuangalia na kusema hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Na mwanamke ukitaka kujisaidia huku umesimama, utajikojolea tu miguuni maana hamna namna!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…