USHAURI: Walimu wakatwe mishahara tuwaongezee Wahudumu wa Afya

Mm ninavyoona jamii na serikali inawachukulia walimu natamani hii kada ingekufa kabisaa.Yaani pasiwepo walimu wala mashule.Kila mtu amfundishe mwanae huko kwake yaani tutumie informal education,turudi enzi zile kabla ya mkoloni.Hii itasaidia kupoteza pesa ambazo serikali huwa inaona inapoteza kupeleka kwenye taasis za elimu na jamii iendelee kupata furaha make walimu kwake ni kero.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu binti huenda alikuwa anadate na walimu wakawa wanampiga chini kila wanapomalizana yaani hakuna aliyeendelea naye ndio maana anaanzishaga nyuzi mbivu za kuwasakama walimu!
Kwangu Mimi huyu ni mpumbavu tu mwenye kuonea donge mshahara wa mwalimu akidhani ni mkubwa kivile na anasahau posho ya siku ya mbunge ni mshahara wa mwezi wa mwalimu!
Wazazi wake huenda wanajuta Sana kumzaa huyu binti kwani Hana faida kwao na kwa jamii zaidi ya roho mbaya!
Anasahau kuwa Kuna wafanyakazi wanalishwa na kuvalishwa wao na kusomeshewa watoto Kisha mishahara na marupurupu ya kufa mtu kwa Kodi zetu anawaruka kwa upeo mdogo wa kung'amua Mambo!
 
Kutokana na hari iliyopo duniani kwa sasa ni dhahiri tumeona umuhimu wa wauguzi wa sekta ya afya na pia ni watu wanaohitajika kulindwa na kutunzwa kwa hari yoyote ile ili wasiwe na manung'uniko na wanachokifanya.

Turudi kwenye mada,nimeona nitoe ushauri kwa serikali yetu Tukufu kuwa waalimu wote Tanzania nzima,wakatwe mishahara yao na kinachopatikana kiongezewe kwa wauguzi waliokatika shughuli nzito ya kupambana na ugonjwa kama Corona huku waalimu wakiwa mapumzikoni bila kazi yoyote.

Pia ugonjwa huu ukiisha na waalimu wakirudi katika shughuli za kikazi ndio walejeshewe mshahara wao wa mwanzo na wauguzi warudi katika kiasi walichokuwa wanalipwa sasa.

ASANTENI

Sent using Jamii Forums mobile app
Ushauri wa kipumbavu kuwahi kutolewa duniani
 
Kutokana na hari iliyopo duniani kwa sasa ni dhahiri tumeona umuhimu wa wauguzi wa sekta ya afya na pia ni watu wanaohitajika kulindwa na kutunzwa kwa hari yoyote ile ili wasiwe na manung'uniko na wanachokifanya.

Turudi kwenye mada,nimeona nitoe ushauri kwa serikali yetu Tukufu kuwa waalimu wote Tanzania nzima,wakatwe mishahara yao na kinachopatikana kiongezewe kwa wauguzi waliokatika shughuli nzito ya kupambana na ugonjwa kama Corona huku waalimu wakiwa mapumzikoni bila kazi yoyote.

Pia ugonjwa huu ukiisha na waalimu wakirudi katika shughuli za kikazi ndio walejeshewe mshahara wao wa mwanzo na wauguzi warudi katika kiasi walichokuwa wanalipwa sasa.

ASANTENI

Sent using Jamii Forums mobile app
Na mwalimu mwakasege nae akatwe mshahara wake au unamaanisha waalim gani dog koko wewe
 
Kwa hiyo hao waalimu utawalisha pamoja na familia zao?? Na unajua mishahara ya waalimu iko vipi na kwa nini wakatwe wao na si vinginevyo? Na kwa nn wauguzi waongezewe wakati ni kazi yao halali kutoa tiba.....

Hujui kipindi cha majanga kuna mfuko serikalini wa mambo ya dharula kama majanga

Pia WHO imetoa zaidi ya USD 500m kwa nchi wanachama kukabiliana na kanga hili.

Punguzeni mada zenye mlengo wa kuona kundi fulani halina haki ya kuishi na kufurahia maisha, ni upumbavu.

Sent using Jamii Forums mobile app
samahan mwalimu wa kiswahili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom