JF heshima kwenu,
kutokana na utaalam, uzoef, exposure n.k naomba kwa dhati kabisa
mnishauri.
Siku zote hua natamani sana niachane na kazi ya kuajiriwa. na ni ndoto yangu kujiajiri na kuwaajiri watu wengine siku moja
haswa kuptia biashara.
Kutokana na kipato changu, sina uwezo wa kusema nitaanza investment kuubwa sana
kwasababu ya capita. lakini kwa hapa nilipofikia siku sio nyingi naweza kua na kiasi cha milioni zaidi ya kumi na sio zaidi ya 12.
naombeni mnisaidie mawazo.
Ni biashara gani nayoweza kufanya kwa hela hii, na ni sehem gani?
Kama mtu akiweka na mchanganuo hata kama sio kwa kina nitasaidika zaidi.
Sichagui saana sehem yakufanyia endapotu biashara ipo na inalipa.
Ahsanteni woote.
kutokana na utaalam, uzoef, exposure n.k naomba kwa dhati kabisa
mnishauri.
Siku zote hua natamani sana niachane na kazi ya kuajiriwa. na ni ndoto yangu kujiajiri na kuwaajiri watu wengine siku moja
haswa kuptia biashara.
Kutokana na kipato changu, sina uwezo wa kusema nitaanza investment kuubwa sana
kwasababu ya capita. lakini kwa hapa nilipofikia siku sio nyingi naweza kua na kiasi cha milioni zaidi ya kumi na sio zaidi ya 12.
naombeni mnisaidie mawazo.
Ni biashara gani nayoweza kufanya kwa hela hii, na ni sehem gani?
Kama mtu akiweka na mchanganuo hata kama sio kwa kina nitasaidika zaidi.
Sichagui saana sehem yakufanyia endapotu biashara ipo na inalipa.
Ahsanteni woote.