king kan
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 1,626
- 2,038
Aisee yani hapa hata sielewi hatima ya skuli ni vipi. Kwa ufupi nimeapply loan lakini naona hayo majina ya leo simo. Nimeshapanic tayari yaani najiuliza ntasoma vipi hii elimu ya chuo. Nilikuwa na ndoto ya kusoma Baf ya mzumbe ila nikaamua kujaza land management na valuation lakini naona mkopo sina. Ushauri wenu unahitajika maana nahisi ndoto za kusoma chuo zaweza kuwa zimefikia mwisho. Nimesikia bado majina mengine hayajatolewa ni kweli au ndo tujiandae kuwa wakulima maana tutashindwa kumanage maisha ya chuo.