Elongolongo
Member
- Oct 29, 2023
- 23
- 25
Mimi ni kijana wa kiume, nina miaka 19, Nilimaliza kidato cha nne mwaka Jana, lakini matokeo yangu hayakuwa mazuri.. nilipata div 4 ya point 33.
Lakini baada ya kumaliza shule nilienda Veta nikasoma udereva, na nina cheti cha udereva pamoja na leseni daraja D. Ila sasa nina mpango wa kurudi Veta kusoma tena ila naomba kupata ushauri ni kozi gani ambayo itakuwa nzuri na ambayo utaniwezesha kujiajiri au kuhajiriwa kwa ajili ya maisha yangu ya baadae?
Naomba ushauri tafadhali.
Lakini baada ya kumaliza shule nilienda Veta nikasoma udereva, na nina cheti cha udereva pamoja na leseni daraja D. Ila sasa nina mpango wa kurudi Veta kusoma tena ila naomba kupata ushauri ni kozi gani ambayo itakuwa nzuri na ambayo utaniwezesha kujiajiri au kuhajiriwa kwa ajili ya maisha yangu ya baadae?
Naomba ushauri tafadhali.