Una mitazamo ya kingono,Una nyota ya Jela wew, hao wenzako wanakupenda ndo mnana wanakutenga ila wanashindwa kukuambia. Jione bingwa tu kwa kupendwa na hao watot
Duh, pole sana!! Sio suala la kuogopq hilo, lilipoti kwenye utawala baada ya hapo wapuuzie.Kazini kwangu watumishi wenzangu hawanipendi kutokana na mimi kupendwa sana na wanafunzi kutokana na kuwafundisha vizuri na somo langu kufanya vizuri kuliko masomo mengine na wanafunzi hao kuonyesha kunipenda zaidi mimi kuliko wenzangu, sasa wenzangu wananitenga nifanyaje?
Sio kweli, sisi shuleni kwetu kulikuwa na mwalimu wa sayansi alikuwa mkali huyo!!! Na alikuwa anachapa huyoooo! Lakini ndo alikuwa mwalimu wetu chaguo la kwanza, maana kwanza alikuwa anatufundisha vizuri, pili kukuadhibu mpaka ufanye uzembe kwenye somo lake yaani alikuwa ni mtu anayejua kusimamia kazi yake, mkiwa nje ya darasa ni rafiki yetu ila tukiwa darasani blah blah zote tunaziweka kando, alipofariki tulihuzunika maana yeye alikuwa akitutetea kwenye baadhi ya makosa, hakuwa mnoko alikuwa ni rafiki wa wanafunzi pia alikuwa anajua kumjenga mwanafunzi kisaikolojia tofauti na walimu wengine ambao wao walikuwa wakitaka sifa tu kutoka kwa mkuu wa shuleMwalimu anayefundisha vizuri huwa ni mtembeza fimbo na wanafunzi huwa wanampenda baada ya kumaliza shule na kufaulu.
Kama wewe unapendwa na wanafunzi na kuchukiwa na walimu nachelea kusema kuwa wewe ndio una matatizo binafsi.
Endelea kula vchwa wabaki wanakodoa ivo ivooKazini kwangu watumishi wenzangu hawanipendi kutokana na mimi kupendwa sana na wanafunzi kutokana na kuwafundisha vizuri na somo langu kufanya vizuri kuliko masomo mengine na wanafunzi hao kuonyesha kunipenda zaidi mimi kuliko wenzangu, sasa wenzangu wananitenga nifanyaje?
Wazo letu ni moja mkuu labda ni jinsi tu uwasilishaji.Sio kweli, sisi shuleni kwetu kulikuwa na mwalimu wa sayansi alikuwa mkali huyo!!! Na alikuwa anachapa huyoooo! Lakini ndo alikuwa mwalimu wetu chaguo la kwanza, maana kwanza alikuwa anatufundisha vizuri, pili kukuadhibu mpaka ufanye uzembe kwenye somo lake yaani alikuwa ni mtu anayejua kusimamia kazi yake, mkiwa nje ya darasa ni rafiki yetu ila tukiwa darasani blah blah zote tunaziweka kando, alipofariki tulihuzunika maana yeye alikuwa akitutetea kwenye baadhi ya makosa, hakuwa mnoko alikuwa ni rafiki wa wanafunzi pia alikuwa anajua kumjenga mwanafunzi kisaikolojia tofauti na walimu wengine ambao wao walikuwa wakitaka sifa tu kutoka kwa mkuu wa shule
NB, NILICHOPINGA HAPA NI KAULI YAKO YA KUSEMA MWALIMU ANAPENDWA NA MWANAFUNZI BAADA YA MWANAFUNZI KUMALIZA SHULE
Nmekuelewa mkuuWazo letu ni moja mkuu labda ni jinsi tu uwasilishaji.
Pia nimempinga mleta mada kuwa anachkiwa na walimu wenzake wote kisa tu anafaulisha sana.
Kwa taarifa ni kwamba hakuna mwalimu mwenye taaluma ya ualimu duniani anayechukia kisa tu wanafunzi wamefaulu somo fulani la mwalimu mwingine la kwake wamefeli. Kama yupo basi anastahili arudi chuo akasome upya mbinu za kufundishia na kujifunzia.
Mwisho, walimu wapo kwa ajili ya kufaulisha wanafunzi na mtihani upo kwa ajili ya kufelisha wanafunzi.
Kazini kwangu watumishi wenzangu hawanipendi kutokana na mimi kupendwa sana na wanafunzi kutokana na kuwafundisha vizuri na somo langu kufanya vizuri kuliko masomo mengine na wanafunzi hao kuonyesha kunipenda zaidi mimi kuliko wenzangu, sasa wenzangu wananitenga nifanyaje?
Hayo macho kuna binadamu anayo?Ulitaka wakupende kwan wee hela... Live your life!
Ulikwenda kufanya kazi peke yako,na utaondoka peke yako.Kazini kwangu watumishi wenzangu hawanipendi kutokana na mimi kupendwa sana na wanafunzi kutokana na kuwafundisha vizuri na somo langu kufanya vizuri kuliko masomo mengine na wanafunzi hao kuonyesha kunipenda zaidi mimi kuliko wenzangu, sasa wenzangu wananitenga nifanyaje?