Ushauri wa wazi kwa J. J. Mnyika (Mb)

Ushauri wa wazi kwa J. J. Mnyika (Mb)

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,346
Reaction score
26,138
Mh. Mnyika,nilikufahamu tangu ulipogombea Ubunge wa Ubungo kwa mara ya kwanza mwaka 2005 dhidi ya Charles Keenja. Wakati huo nilikuwa mwanachuo wa mwaka wa kwanza UDSM nikichukua Sheria. Ingawa sikuwa mpigakura wako kwakuwa nilijiandikisha Kibaha,nilikuunga mkono. Ukiwa kijana na mwanafunzi mwenzetu UDSM,tulijivunia uwepo na ugombea wako.

Mh. Mnyika,mwaka 2010 nilihamisha kituo changu cha kupígia kura kwa ajili yako. Nikahamisha toka Kibaha hadi Ubungo. Nikakupigia kura Nkrumah Hall UDSM nikitambua uwezo,nia na sababu zako za kuwa Mbunge wa Ubungo. Safari hii nikiwa mwajiriwa wa UDSM. Ukamshinda Hawa Ng'umbi wa CCM na kuwa Mbunge.

Tangu kuwa Mbunge,hukuwahi kutuangusha kama vijana katika hoja na msimamo wa kitaifa. Umekuwa ukiongozwa na kauli zithibitikazo kwa nyaraka na tafiti mbalimbali. Hakika vijana wa Tanzania unatuwakilisha vyema na tunajivunia kukuchagua kuwa Mbunge wa Ubungo.

Nakushauri mambo mawili. Mosi,uanze upya au umalizie elimu ya juu yako. Tunahitaji ubongo wako ulioimarika zaidi kielimu. Elimu ya juu kwa nafasi na uwezo wako wa kiuongozi haiepukiki. Pili,endelea kuwatumikia wananchi wako wa Ubungo na Tanzania kwa ujumla kwa weledi,uwezo na bidii uliyojaaliwa. Asante
 
Mh. Mnyika,nilikufahamu tangu ulipogombea Ubunge wa Ubungo kwa mara ya kwanza mwaka 2005 dhidi ya Charles Keenja. Wakati huo nilikuwa mwanachuo wa mwaka wa kwanza UDSM nikichukua Sheria. Ingawa sikuwa mpigakura wako kwakuwa nilijiandikisha Kibaha,nilikuunga mkono. Ukiwa kijana na mwanafunzi mwenzetu UDSM,tulijivunia uwepo na ugombea wako.

Mh. Mnyika,mwaka 2010 nilihamisha kituo changu cha kupígia kura kwa ajili yako. Nikahamisha toka Kibaha hadi Ubungo. Nikakupigia kura Nkrumah Hall UDSM nikitambua uwezo,nia na sababu zako za kuwa Mbunge wa Ubungo. Safari hii nikiwa mwajiriwa wa UDSM. Ukamshinda Hawa Ng'umbi wa CCM na kuwa Mbunge.

Tangu kuwa Mbunge,hukuwahi kutuangusha kama vijana katika hoja na msimamo wa kitaifa. Umekuwa ukiongozwa na kauli zithibitikazo kwa nyaraka na tafiti mbalimbali. Hakika vijana wa Tanzania unatuwakilisha vyema na tunajivunia kukuchagua kuwa Mbunge wa Ubungo.

Nakushauri mambo mawili. Mosi,uanze upya au umalizie elimu ya juu yako. Tunahitaji ubongo wako ulioimarika zaidi kielimu. Elimu ya juu kwa nafasi na uwezo wako wa kiuongozi haiepukiki. Pili,endelea kuwatumikia wananchi wako wa Ubungo na Tanzania kwa ujumla kwa weledi,uwezo na bidii uliyojaaliwa. Asante

Hakika umeeleweka na ushauri wako umepokelewa. Endelea kuwaelimisha wananzuoni hapo namna ya kuwaondoa hawa majambazi madarakani.
 
mnyika mesha pata pesa elimu ya nini .yeye alisema elimu hizidi pesa

hapa ubungo ajiandae kukaa kando mapema
 
Mnyika ana kazi kubwa sana ya kuwakilisha majimbo mengine ya Dar kama Segerea , Temeke , Kinondoni , Ilala na Kigamboni kazi kubwa sana ambayo anafanya bila hata posho , elimu yake atamalizia tu . Asante kwa ushauri.
 
Nakushauri mambo mawili. Mosi,uanze upya au umalizie elimu ya juu yako. Tunahitaji ubongo wako ulioimarika zaidi kielimu. Elimu ya juu kwa nafasi na uwezo wako wa kiuongozi haiepukiki. Pili,endelea kuwatumikia wananchi wako wa Ubungo na Tanzania kwa ujumla kwa weledi,uwezo na bidii uliyojaaliwa. Asante

Pamoja na ushauri mzuri.Ila sikubaliani na kwenye nyekundu. Maisha ni malengo na nini kiwecha kipaumbele-ni kweli kati harakati hii ya ukombozi wa Pili wa Nchi yetu hakuna ubishi Mh.JJ Mnyika hakosi kuwa kati ya Tatu Bora ya Vijana.

Na hilo la Elimu ya juu kuwa jambo la lazima kwa suala la kiuongozi kwangu ni jambo la kupuuzwa na si kuhusudu sana maana historia imeliproof wrong.
Jiridhishe na hawa hapa chini kabla hujawaaminisha wengi.



Nje ya Africa;

10
John D. Rockefeller
Billionaire
9
Horace Greeley
Journalist andCongressman
8
John Glenn
Astronaut
7
Steve Jobs
Apple Co-Founder
6
Mark Twain
Author and Wit
5
Henry Ford
Industrialist andEntrepreneur
4
William Shakespeare
Poet and Playwright
3
Winston Churchill
Statesman and WarLeader
2
Abraham Lincoln
US President
1
Albert Einstein
Physicist

Yes: the man whose name now equates to “genius”; whopublished more than 300 scientific papers; the man behind E=MC2; the man whocame up with the theory of relativity; and the man who won a Nobel prize—was infact a highschool dropout. He attempted to get into university, but initially failedthe entrance exams.
 
Mnyika asiende chuo,apewe Phd.moja kwa moja kama zile JK anazopewa (honorar).Jamaa ni kichwa kupita hata ma Dr.na ma Prof. Wengi walioko mjengoni
 
Mh. Mnyika,nilikufahamu tangu ulipogombea Ubunge wa Ubungo kwa mara ya kwanza mwaka 2005 dhidi ya Charles Keenja. Wakati huo nilikuwa mwanachuo wa mwaka wa kwanza UDSM nikichukua Sheria. Ingawa sikuwa mpigakura wako kwakuwa nilijiandikisha Kibaha,nilikuunga mkono. Ukiwa kijana na mwanafunzi mwenzetu UDSM,tulijivunia uwepo na ugombea wako.

Mh. Mnyika,mwaka 2010 nilihamisha kituo changu cha kupígia kura kwa ajili yako. Nikahamisha toka Kibaha hadi Ubungo. Nikakupigia kura Nkrumah Hall UDSM nikitambua uwezo,nia na sababu zako za kuwa Mbunge wa Ubungo. Safari hii nikiwa mwajiriwa wa UDSM. Ukamshinda Hawa Ng'umbi wa CCM na kuwa Mbunge.

Tangu kuwa Mbunge,hukuwahi kutuangusha kama vijana katika hoja na msimamo wa kitaifa. Umekuwa ukiongozwa na kauli zithibitikazo kwa nyaraka na tafiti mbalimbali. Hakika vijana wa Tanzania unatuwakilisha vyema na tunajivunia kukuchagua kuwa Mbunge wa Ubungo.

Nakushauri mambo mawili. Mosi,uanze upya au umalizie elimu ya juu yako. Tunahitaji ubongo wako ulioimarika zaidi kielimu. Elimu ya juu kwa nafasi na uwezo wako wa kiuongozi haiepukiki. Pili,endelea kuwatumikia wananchi wako wa Ubungo na Tanzania kwa ujumla kwa weledi,uwezo na bidii uliyojaaliwa. Asante

Mbona aukumalizia kwa zile mbwembwe zako
"MZEE TUPA TUPA WA LUMUMBA"
cc MwanaDiwani
 
Last edited by a moderator:
Mbona aukumalizia kwa zile mbwembwe zako
"MZEE TUPA TUPA WA LUMUMBA"
cc MwanaDiwani

Mkuu Mingoi,heshima ni kitu cha bure. Nimekuwa nikisema mara kwa mara kuwa mimi si huyo mnayeamini ni mimi. Mimi sina haja ya kuwa na ID bandia kwakuwa najiamini na nayaamini mawazo yangu.

Mkuu Invisible,tafadhali mpatie Mingoi haki yake kwa name calling na kwa uzushi.
 
Last edited by a moderator:
Mnyika wana ubungo hawakukosea kukupa ubunge kamwe! Unawatendea mema wana ubungo, unawatendea mema watanzania!
 
Mnyika wana ubungo hawakukosea kukupa ubunge kamwe! Unawatendea mema wana ubungo, unawatendea mema watanzania!

Yakipatikani maji kimara yote mpaka mbezi,mwakani agombee tofauti na hapo atafute jimbo lingine.
 
Back
Top Bottom