Ushauri wa talaka kwa wanawake ............

Unajua ugumu wa kulea teenager Boss? Hakuna cha freedom wala nini; teenagers ni headache na mkiwa wawili inasaidia; mfano baba ni ngumu kumjua vyema binti yake. Kwa kweli sisi tulilelewa na Mungu; Hata baba anatusifu kwani hakuwa na uhakika kama ataweza kutulea salama.

wapo teenagers wengi wanalelewa na a single parent
na wanakuwa tu vizuri
mfano wako wewe ni kuwa wazazi walikuwa hawaongei
ndo maana nikasema'kuachana kwa wema' ni bora zaidi...
 
mbona wadada wameuchuna humu?kuhusu suala la talaka.kuandika humu ni rahisi kuliko kutekeleza,ukishakuwa katika hiyo position ndio unaelewa zaidi,kwanza jamii yetu talaka ni kama taboo fulani{ila kwa watu wa pwani ni kama tofauti}pili utegemezi unakufanya mtu bora ubaki hapo hapo. na mara nyingi mkiachana lawama zinamuangukia mwanamke,jambo jengine mali,pengine mmechuma wote na wote mmekuwa watu wazima,unaona bora tubanane hapa hapa

wadada inabidi wauchune tu
talaka ni taboo hata kuizungumzia...its funny....
 
Unajua watu nwengi wanapenda sema kuwa wamama wanatumia watoto kama chambo kung'ang'ania ndoa zao; but it is real.

Wanaume wababe utaondoka mwenyewe watoto unamwachia.

Na hata ukisema nachukua watoto; si watoto wote wako tayari kutengana na baba zao.

Divorce si matter of two couples tu watoto wanafanya maamuzi kuwa magumu sana.

mbona wadada wameuchuna humu?kuhusu suala la talaka.kuandika humu ni rahisi kuliko kutekeleza,ukishakuwa katika hiyo position ndio unaelewa zaidi,kwanza jamii yetu talaka ni kama taboo fulani{ila kwa watu wa pwani ni kama tofauti}pili utegemezi unakufanya mtu bora ubaki hapo hapo. na mara nyingi mkiachana lawama zinamuangukia mwanamke,jambo jengine mali,pengine mmechuma wote na wote mmekuwa watu wazima,unaona bora tubanane hapa hapa
 
wadada inabidi wauchune tu
talaka ni taboo hata kuizungumzia...its funny....

Ndiyo maana Mwanakijiji alileta mada humu kuhusu kulegezwa kwa sheria ya ndoa na talaka na nikajikuta niko peke yangu kutetea ulegezwaji huo....kitu ambacho nimezoea anyway!
 
Divorce si matter of two couples tu watoto wanafanya maamuzi kuwa magumu sana.

Kwa taarifa yako watoto wanaathirika zaidi wakiwa kwenye mji ambao baba na mama hawaelewani. Kumbuka children learn what they live!

If children live with criticism, they learn to condemn.
If children live with hostility, they learn to fight.
If children live with fear, they learn to be apprehensive.
If children live with pity, they learn to feel sorry for themselves.
If children live with ridicule, they learn to feel shy.
If children live with jealousy, they learn to feel envy.
If children live with shame, they learn to feel guilty.
If children live with encouragement, they learn confidence.
If children live with tolerance, they learn patience.
If children live with praise, they learn appreciation.
If children live with acceptance, they learn to love.
If children live with approval, they learn to like themselves.
If children live with recognition, they learn it is good to have a goal.
If children live with sharing, they learn generosity.
If children live with honesty, they learn truthfulness.
If children live with fairness, they learn justice.
If children live with kindness and consideration, they learn respect.
If children live with security, they learn to have faith in themselves and in those about them.
If children live with friendliness, they learn the world is a nice place in which to live.

Courtesy of Dorothy Law Nolte, Ph.D.

 
Ndiyo maana Mwanakijiji alileta mada humu kuhusu kulegezwa kwa sheria ya ndoa na talaka na nikajikuta niko peke yangu kutetea ulegezwaji huo....kitu ambacho nimezoea anyway!

unajua its funny but true..
wadada wengi wa kitanzania...hata awe na phd ya harvard
we waambie 'kuna dawa ya kumshika mumeo arudi kwenye mstari'
hapo watakuelewa lakini sio kujadili talaka....hawakuelewi kabisaa
 
mbona wadada wameuchuna humu?kuhusu suala la talaka.kuandika humu ni rahisi kuliko kutekeleza,ukishakuwa katika hiyo position ndio unaelewa zaidi,kwanza jamii yetu talaka ni kama taboo fulani{ila kwa watu wa pwani ni kama tofauti}pili utegemezi unakufanya mtu bora ubaki hapo hapo. na mara nyingi mkiachana lawama zinamuangukia mwanamke,jambo jengine mali,pengine mmechuma wote na wote mmekuwa watu wazima,unaona bora tubanane hapa hapa

wengi hawawezi kusema kwa vile wengi wakiwa na ajira au biashara fualai anaamini ndo kamaliza maisha na anaweza kusimama yeye kama yeye ndo maana akisikia kuna tatizo kwa mtu anaamini ushauri kwake ni kutengana kwa vile ana msingi kumbe haelewi ni suala la muda ..

mara nyingi lawama zinaangukia kwa mwanamke kutokana na vitabu na mila ambayo inamfanya mwanamke aweze kuwa sehemu kubwa katika maisha ya kila siku kama mtu anayetumikishwa au anayetakiwa anyenyekee nk
 
Can a single parent offer all that? Ukizingatia kuwa ukiwa single unabidi u double utafutaji wa pesa kwa ajili ya watoto; will you have time to show love to your kids au unalea kijeshi jeshi mradi unaprovide basi?

Kwa taarifa yako watoto wanaathirika zaidi wakiwa kwenye mji ambao baba na mama hawaelewani. Kumbuka children learn what they live!



Courtesy of Dorothy Law Nolte, Ph.D.

 
]mbona wadada wameuchuna humu?kuhusu suala la talaka.[/B]kuandika humu ni rahisi kuliko kutekeleza,ukishakuwa katika hiyo position ndio unaelewa zaidi,kwanza jamii yetu talaka ni kama taboo fulani{ila kwa watu wa pwani ni kama tofauti}pili utegemezi unakufanya mtu bora ubaki hapo hapo. na mara nyingi mkiachana lawama zinamuangukia mwanamke,jambo jengine mali,pengine mmechuma wote na wote mmekuwa watu wazima,unaona bora tubanane hapa hapa


Mie personally ni sensitive subject saana for athari zake nazijua na zinaniumiza mpaka leo... Hivo nipo kusoma comments za wachangiaji ambazo kwa kweli ziko very insightive na zinakosha.... Nimependa Maelezo ya wachangiaji almost woote...
 
Can a single parent offer all that? Ukizingatia kuwa ukiwa single unabidi u double utafutaji wa pesa kwa ajili ya watoto; will you have time to show love to your kids au unalea kijeshi jeshi mradi unaprovide basi?

The answer is a resounding YES and I am living proof of it!
 
Kama umeshachinguza wengi ufikia uamuzi wa kupeleka watoto boarding wakiwa na umri mdogo sana; je hayo ndio malezi???
 
Can a single parent offer all that? Ukizingatia kuwa ukiwa single unabidi u double utafutaji wa pesa kwa ajili ya watoto; will you have time to show love to your kids au unalea kijeshi jeshi mradi unaprovide basi?

usisahau watu hawawi single parent by choice
inabidi iwe hivyo kwa kuwa 'ndoa'
imeshindikana

Collin Powel,Obama na wengi wengineo wametoka kwenye single parent
 
Sasa hapo Boss unarudi kwenye swala la msingi; Divorce si Best Option; ila tu watu wafanyeje.

usisahau watu hawawi single parent by choice
inabidi iwe hivyo kwa kuwa 'ndoa'
imeshindikana

Collin Powel,Obama na wengi wengineo wametoka kwenye single parent
 
Na ukimuangalia Obama unadhani anaweza rudia mistake ya wazazi wake au ata protect ndoa yake at any cost??? Anajua utamu wa divorce na nina imani atakuwa best husband.

usisahau watu hawawi single parent by choice
inabidi iwe hivyo kwa kuwa 'ndoa'
imeshindikana

Collin Powel,Obama na wengi wengineo wametoka kwenye single parent
 
NN unaweza kuwa ni among few exceptions; wengi wanaishia kuwa depressed kwa burden ya kuwa single parents.

sio kweli..
mimi mwenyewe wazazi wameachana nipo college na mpaka leo naona
it was better kuliko wangeendelea pamoja,ingawa mdingi alituchunia pesa za ada na kadhalika
but home ilirudi kuwa ya peace zaidi.....
 
Nachagua kuilinda ndoa yangu na kutoruhusu mabadiliko yafikie huko kote unakosema.

Kama tulianza na penzi nina challenge ya kulilinda hilo penzi for me and my kids.

Kati ya kupigwa kila mara, kusimangwa, na kutendwa vibaya kusiko maelezo na talaka, wewe utachagua nini?
 
Boss wewe unaongelea college; college mtu mzima kabisa; mimi naongelea watoto wadogo a.k.a. malaika.

sio kweli..
mimi mwenyewe wazazi wameachana nipo college na mpaka leo naona
it was better kuliko wangeendelea pamoja,ingawa mdingi alituchunia pesa za ada na kadhalika
but home ilirudi kuwa ya peace zaidi.....
 
Back
Top Bottom