Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Sawa mkuuAcha kujifariji na misemo ya bahati mbaya. Ukifeli be responsible.
Sawa mkuuAcha kujifariji na misemo ya bahati mbaya. Ukifeli be responsible.
Hahaha ukiweka mrejesho uni CCHahaha nipo. Ntawapa mrejesho.
Hadi atakaporudi kutoka huko mkuu.Hii itaendelea au ndio mwisho?
Come get muendelezo.
Hii stori nataka niijue mwisho wake nitag mkuu, kuna kitu nataka kujifunza hapa.
Ndukiiiii![]()
Yan unatuweka roho juu sie wapenda stor acha
Nateseka balaa
Jumanne nitag kuna mbuzi mmoja(ex wangu) kuna dalili za kupatwa na jua nayeye.
Ndukiiiii![]()
@LadyRedNitag ukiendeleza thread
😀😀😀unataka kutangaza ndoa?😀Lucky, hivi umeolewa?
Thanks mkuu, ulimmaliza vizuri sana. Sema na wife wako yuko open minded sana.Haya, muendelezo upo hapa
![]()
Ushauri wa Shemeji Yangu-Reloaded
Naam habari za usiku wakuu Leo nataka nihitimishe kisanga kilichotokea kule Kibada. Si mbali sana na pale anapoishi Masanja Mkandamizaji, kwa wanaofaham maeneo ya Kibada. Mwanzo wa mwezi huu nilileta uzi hapa https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1604081/ Nikaahidi Jumanne yake...www.jamiiforums.com
Cc MUNDENDE
Ukweli mchungu huu. ...wazazi wengi wa kiafrica wanahizi mindsets za kifala. .na ndio Zinazo turudisha nyuma daily. ...
Unakuta mtu ameanza kunyanyuka kidogo tu kiuchumi basi anafanywa kuwa ni tegemezi wa ukoo mzima --mbaya zaidi na anaye tegemewa kiasi hicho anaona sawa tu...
Hajui kuwa endapo hautojipanga vyema zaidi suala la kuwa na uchumi mkubwa na kushuka kiuchumi ni la muda tu