Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Hakuna mahali nimesema ni investment, na hata kuwasaidia wazazi si lazima, ni vile tu mtu anaamua kujitoa. Kuhusu kuwasaidia wazazi ukiwa single au umeolewa inategemea aina ya mtu uliyenaye wengine wanabana haswaa unajikuta unashindwa kutoa msaada kwa namna inayokuridhisha, hata hivyo kupanga ni kuchagua....she was not meant for you na yaliyotokea yalimetokea kama bahati mbaya na pengine angeolewa na wewe yangempata mabaya zaidi.Kuwasaidia hakuishi. Haina maana ukiolewa ndio basi umeiaga familia. Na haina maana hata ukiwajengea ndio basi tena hutawasaidia.
Na kwa wazazi, kumsomesha mtoto sio investment yako, eti kesho ikulipe. It is your duty and obligation kumpa elimu mwanao. Kama unataka kulipwa muandikishane mkataba na huyo mwanao.

