Ushauri wa kitaalamu kuhusu masuala ya fedha

Husika na mada tajwa hapo juu,

Mimi ni mtumishi katika Secta Binafsi hapa nchini Tanzania.

Katika utumishi wangu nimefanikiwa kujichanga mpaka kufikia million 50. Hizi pesa ziko kwenye account bank lakini naona zimekaa tu nazidokoa dokoa ila kwa sasa natafuta taasisi gani ya Kifedha mfano hizi bank au yoyote ile ambayo naweza kuwapa waifanyie kazi lakini mwisho wa mwezi waweze kunizalishia angalau Milioni 1.2 kama riba.

Nafahamu nilipaswa kuanzisha biashara kwa kiwango hicho lakin nature ya majukumu niliyonayo kwa sasa siwezi kufanya biashara. So naombeni ushauri najua humu ndani kuna wataalam wengi sana wanaojua wapi naweza fanya hizi harakati.

Asanteni sana

Sent from my SM-N980F using JamiiForums mobile app
Hakuna kitu kama hicho yaani unataka riba ya 48% hata ukifanya biashara hiyo ngumu kupata
 
Hakuna taasisi ya kifedha wanaweza kukupa riba ya 1.2 mln kwa mwezi kwa 50 mln

Mwaka huu BoT imeingia rasmi kwenye mfumo wa interest rate based monetary policy

BoT wamepanga benchmark rate set at 5.5% ambayo benki zote za biashara Tanzania zitatumia

Kwa hiyo kwa 50mln utapata riba ya 2.6 mln per year. Ambayo kwa mwezi ni 210,000

USHAURI: Wekeza kwenye assets
Anataka kujikimu hebu elewa atajikimu na viwanja
 
Jenga nyumba weka mpangaji, nyumba ya million 50 unaweza kupata mpangaji wa laki 5 kwa mwezi

Nyumba itaendelea kuwa yako milele
 
Husika na mada tajwa hapo juu,

Mimi ni mtumishi katika Secta Binafsi hapa nchini Tanzania.

Katika utumishi wangu nimefanikiwa kujichanga mpaka kufikia million 50. Hizi pesa ziko kwenye account bank lakini naona zimekaa tu nazidokoa dokoa ila kwa sasa natafuta taasisi gani ya Kifedha mfano hizi bank au yoyote ile ambayo naweza kuwapa waifanyie kazi lakini mwisho wa mwezi waweze kunizalishia angalau Milioni 1.2 kama riba.

Nafahamu nilipaswa kuanzisha biashara kwa kiwango hicho lakin nature ya majukumu niliyonayo kwa sasa siwezi kufanya biashara. So naombeni ushauri najua humu ndani kuna wataalam wengi sana wanaojua wapi naweza fanya hizi harakati.

Asanteni sana

Sent from my SM-N980F using JamiiForums mobile app
mimi nipe 10m in exchange of 10% equity share mkataba minimum miaka mitatu




ukikosa kote gawanya kwa mafungu hiyo hela tafuta kampuni nunua shares au ukiona huwezi peleka UTT Amis huko maana ilianzishwa kwa ajili yenu
 
Hakuna taasisi ya kifedha wanaweza kukupa riba ya 1.2 mln kwa mwezi kwa 50 mln

Mwaka huu BoT imeingia rasmi kwenye mfumo wa interest rate based monetary policy

BoT wamepanga benchmark rate set at 5.5% ambayo benki zote za biashara Tanzania zitatumia

Kwa hiyo kwa 50mln utapata riba ya 2.6 mln per year. Ambayo kwa mwezi ni 210,000

USHAURI: Wekeza kwenye assets
Kabisa, sana sana ardhi
 
Back
Top Bottom