Ushauri wa kisheria kutokana na kuonewa na Uongozi wa Chuo cha Mwl Nyerere-Kigamboni.

Namshukuru sana Mungu kwa kunipa ujasili. Halafu jamani serikali ichunguze pale maana kuna waathirika wamejificha tena wanajulikana, wako hadi wa ngazi za juu, wanaadhimishaga siku ya Ukimwi kwa hadaa tuu, watawaangamiza watu kwa shinikizo la rushwa ya ngono kwenye elimu, kwa kutumia fedha, nafasi za ajira na kupandishwa cheo, nawahurumia sana ndugu zangu waliopo hatarini, muwe makini tamaa inaua jamani. Kuna siku nitawataja kwa majina maana yapo.
Nenda central polisi dawati la jinsia au TAKUKURU haki itatendeka.
 
Namshukuru Mungu kwa kunusurika kuambukizwa magonja ingawa utu wangu na hadhi yangu vimedhurika. Najuta kusoma hapo na sitamshauri ninayemjua kusoma pale maana si salama kiafya na kielimu. Wewe kama pale unapajua utakuwa unaelewa ukweli wote.
pole sana ndugu yangu MUNGU NI MWAMINIFU ukweli utadumu milele usijali utafanikiwa usikate tamaa maana umeokoa roho nyingi za watoto wetu wa kike kwa maana wewe ni mfano wa kuigwa.
 
MWANZO WA UOZO HUU NDIO HUU HAPA:

2.NGONO: WAPO WALIMU WANAOA HAPA CHUONI BILA KUFATA SHERIA YA MIAKA 2, PIA MWALIMU BUKUKU, MALIGANYA NA KIHOYI PAMOJA NA DAKTARI WA CHUO WANAJULIKANA FIKA KWA KUDAI NGONO KWA WANAFUNZI WA KIKE ,HILI LIMESEMWA SANA NA MWALIMU BUKUKU ALIKAMATWA NA SAUTI YAKE ILIYOREKODIWA IKIDAI RUSHWA NA NGOGO KWA mwanafunzi alierudishwa mwaka, mwanafunzi aliandaa mtego na kutuma elfu 90 kwa Mpesa na mwalimu alimuita Kimara Korogwe akidai ngono ili mwanafunzi aendelee na masomo,baada ya suala hilo kulipuliwa na mwanachuo ambae kwa sasa KAFUKUZWA CHUO NA AMEKISHTAKI CHUO ambapo chuo kimemlipa wakili milioni 10 huku wakijua wanaficha ukweli , MWALIMU BUKUKU alisimamishwa kwa wiki 1 tu kwa kosa hilo la kudai NGONO na kutetewa na mpenzi wake mjumbe wa bodi BI: SARAH MWAKYAMBIKI ambapo ushahidi wa sauti kwenye memory card ulipotezwa mbele ya Mr Mushi aliekuwa naibu mkuu wa Chuo hijapokuwa bado tunao kwenye laptop na tutauweka mitandaoni siku zijazo .
 
Halafu hili suala la rushwa ya ngono limeripotiwa hata huko JKT, inaonekana watu wanaendekeza sana ngono siku hizi, viongozi wa dini wanatakiwa waongeze juhudi kwenye maombi.
 
[h=2]Dk. John Magoti na mr. Lwambano mchunguzwe,mmekiua chuo cha kumbukumbu ya mwalimu Nyerere[/h]
WANAJANVI SALAM?

Namasikitiko makubwa juu ya chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere cha Kigamboni ambacho kwa ukweli mimi kama mtu wajirani na chuo hiki yanayotokea yananipa mashaka endapo katika serikali ya rais Kikwete kuna watu makini katika kusimamia elimu yetu.

Huyu mkuu wa chuo alishawahi kufungiwa mlango na watumishi miaka kazaa nyuma na akanusuriwa na mzee kingunge Ngiombare Mwiru.

Alistaafu akapewa miaka mitano akamaliza akapewa tena miaka miwili hadi feb 2014, sasa kunataarifa kuwa kaomba kujiuzuru haraka oct 2013 pamoja na Mkt wa bodi DK SALI A SALIM baada ya kuona moto unawake kila kona.

Moja; Magoti anatuhumiwa yeye na MR Lwambano kula zaidi ya Tsh milioni 300 za fedha ya gharama ya wanafunzi ya matibabu

Yani walichangisha pesa kinyume na agizo la serikali LA MWAKA 2008

Serikali iliagiza tangu mwaka 2008 kuwa mwanachuo au sekondari aliejiunga na bima ya afya Hatotozwa tena gharama ya matibabu na taasisi za umma na taasisi hizo zijiunge na bima ya matibabu

DK MAGOTI kwa njia za panya akaanzisha mchango wa matibabu wa shilingi laki moja kila mwaka kwa kila mwanazfunzi na kwa mwaka alichangisha zaidi ya milioni 150 kwa wanachuo waliokuwa takribani 1500,mchango huo ulidumu kwa muda waamiaka 3 hadi 2013 kutokana na kitumbua kuingia mchanga mara baada ya mwanachuo aliekuwa akisoma chuoni hapo kwa wakati huo ABUBAKAR ASENGA .D kuwasha moto wa kukataa kulipa gharama hizo na hatimae aliondolewa chuoni kwa kusimamishwa miezi 3 na kesi hadi sasa inaendelea ambapo chuo kimeshatumia zaidi ya milioni 10 kumlipa wakili wakuhakikisha mwanachuo huyo arudi chuoni hapo.

Magoti akaweka tangazo kuwa atarejesha pesa zote za wanachuo ambazo amezichangisha weye bima za matibabu ,jambo ambalo hajafanya hadi sasa, na wanachuo wengi wameshamaliza chuo na wako tangu miaka 3 nyuma, atarudishaje pesa hizi na hizi pesa zimetumikaje mana nasikia imebaki laki 6 tu?

Nani anazikagua? Wakati zahanati hapa chuoni inapewa ruzuku ya dawa na tabibu analipwa na serikali.
Hadi sasa wanachuo ambao hawana bima (na chuo hakitaki kuanzisha huduma hiyo chuoni) wanatakiwa kulipa shilingi laki moja kila mwaka, mwanachuo aumwe au asiumwe lazima aliepe na gharama hizo ni kwa zahanati ya chuo tu inayofungwa saa 10 jioni na tabibu ni huyo mmoja tu.

Mwanachuo akipewa rufaa ni kwa gharama zake,baaada ya malalamiko sasa Magoti kaamua eti mwakachuo akizidiwa zaidi atapelekwa Burhani hosp ambapo ameingia nao mkataba wa kifisadi pia.

Kila kitu huyu mzee anaamua mara baada ya kushauriwa na huyu bwana Lwambano ambae ndie anaonekana kumiliki utajiri wa Dk Magoti.

Kumbukeni huyu Lwambano ameajiriwa chuo cha Nyrere mara baada ya kufilisi kiwanda cha kahawa Moshi, na ameajiriwa akiwa na miaka 40 kinyume na taratibu za serikali.

Anafanya kazi zaidi ya tatu hapa chuoni,msajili,mhadhiri,msimam izi wa zabuni,msimamizi wa rasilimali watu na kadhalika.

Mara zote huyu bwana Magoti, alikpokuwa akiandikwa hapa mtandaoni na ufisadi wake alikuwa akitetewa na bwana mmoja anaejulikana kwa jina la Mabuba ambae ni memba wa sikunyingi humu ,na ni mfanyakazi hapa chuoni.
SASA MABUBA NAE YAMEMKUTA NA KAMA YUMO HUMU ASEME KWELI HAPA

Alikuwa afisa wa mitihani, akaamuriwa aweke somo la mtihani kwenye ratiba kinyuime cha taratibu kwa kuwa somo lilikuwa jipya na halikuwa kwenye mpangio wa mwaka, alikataa na siku ya mwisho, Magoti aliingia ofisini kwa Mabuba na kutunga mtihani,kuchukua karatasi za majibu na akaenda kwenye chumba cha wanachuo wanaotakiwa kufanya mtihani na kuwasimamia yeye mwenyewe kwa kuwa alitangaza somo hilo kuanza kufundishwa pasi na marekebisho ya kanuni wakati bwana Mabua alisema endapo somo hilo litafanyika basi atajiuzulu nafasi yake

Mabuba sasa AMEACHIA OFISI,ameelewa ukweli na uzalendo umemshinda akaamua kuachia nafasi na akaondolewa na kuteuliwa mtu mwingine ambae kwa kweli nikichekesho mana wanachuo imebidi wapate matokeo yao kwa njia ya kusoma kwenye matangazo kwenye ubao,,kwa kuwa hakuijua ofisi wala hakupewa semika ni kama kawaida ya Magoti ya kuhamka asubuhi na kusema wewe ndiwe utakuwa afisa mitihani na unakuwa.
NI DIKTETA MKUBWA.

Pole Mabuba, ukweli haupendi kupuuzwa puuzwa maana lazima udhihiri.

Tatu; WATUMISHI HAPA CHUONI SASA hawapati allowance yeyote ile ikidaiwa hakuna pesa na pesa zilienda kujenga nyumba ya kukaa wanafunzi katika tawi la chuo cha zanzibar kinyume cha taratibu.

Chuo hakina fedha chuo ambacho kilikuwa kinakaribia idadi ya wanachuo 2000 miaka miwili iliyopita sasa walioomba kujiunga na chuo hawafiki 200 na kunahati hata wasiwasili wote, sasa chuo hakifikishi jumla ya wanachuo 1000
WAZIRI MKUU PINDA NJOO KWA ZIARA YA GAFLA HAPA CHUONI AMURU UZUNGUMZE NA WAFANYA KAZI BILA MAGOTI NA MR LWAMBANO KUWAPO,,,,,TUKWAMBIE MAMBO ZAIDI YA YALE YA MWAKA JUZI ULIPOKUJA NA KUKUTA UFISADI ULIOKITHIRI CHUONI.

HAPA CHUONI kulikuwa na mkuu wa idara ya maktaba huyu bwana ni Mmasai hakutaka mchezo aliletewa orodha ya vitabu 5 vilivyonunuliwa kila kimoja shilingi laki saba wakati vinauzwa shilingi elfu arobaini kariakoo, akapandisha mori na kwenda kwa Magoti,alipofika akaambiwa alaa kumbe unakiherehere na wakubwa WA NCHI HII…..
basi utaisoma namba, huyu bwana Mmasai ana first class degree katika mambo ya maktaba na aliajiriwa akiwa na diploma mpaka sasa ajatambuliwa wala kupandishwa cheo, wenzake wanapanda tu yeye kila mwaka anaambiwa bajeti si ya Wamasai

Mkt wa bodi ya chuo hiki ni DK SALIM AHAMED SALIM, DK HUYU ANAMAJUKUMU MAZITO YANAYOMPA NAFASI MAGOTI KUFANYA ATAKACHO kwakuwa hakuna mtu wakaribu kumfatilia.

ALICHUKUA MAGARI YA SERIKALI KWENDA KUTOLEA POSA YA mwanae Musoma na kushiriki kwenye harusi Arusha KAFANYWA NINI?

Lwambano kila kukicha anachukua magari ya serikali chuoni na kwenda nayo Rufiji kwenye shamba lake,
LWA MBANO SASA ANAMILIKI MAFUSO ZAIDI YA 7,EXTRIAL GARI YA KUTEMBELEA NA JUZI AMENUNUA PRADO NEW MODEL AMEIPAKI CHUMBANI NYUMBANI ANAPOISHI NA AMEIJENGEA UKUTA akifanya mpango wakubadili hati kuandika jila la nduguye.

Kila mara anawalingishia wafanyakazi wenzake kuwa yeye amejijenga vya kutosha na yupo tayari kwa chochote.
Mambo ya Magoti yalimkuta pia aliekuwa makam mkuu wa chuo Mr Mushi na kukataa kuongezewa mkataba na badala yake kuwa mwalimu wa kawaida,siku ambayo Mushi alisema hivyo haraka bwana Magoti akamteua mtu wake ambae yeye hajui kusema hapana bali NDIYO TUU anaitwa Mr Lunyelele kuchukua nafasi kabla ya bodi kuamua.

Sasa Lwamabano anapesa kuliko chuo, Juzi ameikopesha SACCOS YA wafanyakazi wachuo na yeye ndie anatembea na makabrasha ya saccos.

BWANA MAGOTI SIKU AKIKUTANA NA WANACHUO KUZUNGUMZA NAO,HOTUBA ZAKE NI MAARUFU KWA KUANZA HIVI, “NDUGU WANACHUO KAMA KAWAIDA HAKUNA MASWALI H APA”,ANAHUTUBIA ANAONDOKA
NAULIZA HIVI DK MAGOTI AMEKINUNUA CHUO CHA MWALIMU NYERERE?
MAANA CHUO SASA KINAITWA CHUO CHA KUMSAHAU NYERERE

Alimuajiri shemejie amabe alisomea vyeti vya mtu akiwa na diploma na kumsomesha hadi Phd bwana MHAGAMA,kilipo waka likawekwa tangazo eti ameamua kuacha kazi kwa hiari.

Sasa hapa chuoni bwana Magoti amemuajiri ndugu yake anaeitwa Mr KIOI,huyu bwan pia ameajiriwa chuo cha DIT suala ambalo nikinyume cha taratibu za serikali kwa mtu kuwa na ajira mbili rasmi ndani ya taasisi za serikali,utashangaa wakati Magoti ni mkubwa ktk nchi hii anatishia kila mtu,

Halafu hili suala la rushwa ya ngono limeripotiwa hata huko JKT, inaonekana watu wanaendekeza sana ngono siku hizi, viongozi wa dini wanatakiwa waongeze juhudi kwenye maombi.
 
[h=2]Uthibitisho wa tuhuma zilizopo chuo cha kumbukumbu ya mwalimu nyerere[/h]
Wana JF kumekuwa watu hususan Mkuu Uzalendi, Mpalamtoko na wengine juu ya tuhuma za chuo hicho, hapa naweka barua iliyoandikwa na bwana Mabuba kwenda kwa mkuu wa chuo. Kumbukeni ndugu huyu naye ni mtuhumiwa, amekuwa akituhumiwa kutoa vyeti feki. Nitajitahidi kuwaletea kila doc nitakayoipata.


Tuhuma hizi kama ni kweli, basi vyuo kazi ipo.​
paperclip.png
Attached Files
 
Ebu wahusika chunguzeni hii, ina maelezo ya kina?
Uthibitisho wa tuhuma zilizopo chuo cha kumbukumbu ya mwalimu nyerere

Wana JF kumekuwa watu hususan Mkuu Uzalendi, Mpalamtoko na wengine juu ya tuhuma za chuo hicho, hapa naweka barua iliyoandikwa na bwana Mabuba kwenda kwa mkuu wa chuo. Kumbukeni ndugu huyu naye ni mtuhumiwa, amekuwa akituhumiwa kutoa vyeti feki. Nitajitahidi kuwaletea kila doc nitakayoipata.


Tuhuma hizi kama ni kweli, basi vyuo kazi ipo.​

paperclip.png
Attached Files
 
Mimi nasoma SHERIA najua mpaka hapo kuna BUREAUCRACY nzito sana na usipokaaa sana hata ushahidi utapotea,, hebu nenda PCCB tena wao na {waendesha mashtaka wanatoka kwao},,TANZANIA WOMEN LAWYERS ASSOCIATON [TAWLA], nenda TANGANYIKA LAWYERS ASSOCIATION [TLS], nenda KITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU [LHRC], nenda TGNP,, hawa wote ukishindwa nitaamini kwamba WANASHERIA TANZANIA HAWAPO,, au nenda USTAWI WA JAMII watakuandika PLAINT utaenda mahakamani kufungua kesi bure (kama ukipitia huko),,, Kama una pesa na haya yote yameshindikana na unataka hai ipatikane nenda kamtafte Advocate Majura Magafu,, au Advocate Kibatara,, au Advocate Msemwa,,, na wengineo wengi sana.. Lakini huo ushahidi nakushauri sana utunze kwenye SIMU, CD, FLASH au hata kwenye laptop yako,, ili kikipotea kimoja wapo bado ushahidiwako utakuwa strong....Wherever there is a rule and abstract Principles Lawyers are going to make distinctions.. thank you,,, and wishing you all the best
 
kuna member humu anaitwa misstrong mtafute atakupa ushauri zaidi
 
Kaibu tutarudi Chuoni kwenye majaribu ya rushwa ya ngono katika elimu, serikali isikie kilio chetu wanafunzi wa chuo hiki.
Mimi nasoma SHERIA najua mpaka hapo kuna BUREAUCRACY nzito sana na usipokaaa sana hata ushahidi utapotea,, hebu nenda PCCB tena wao na {waendesha mashtaka wanatoka kwao},,TANZANIA WOMEN LAWYERS ASSOCIATON [TAWLA], nenda TANGANYIKA LAWYERS ASSOCIATION [TLS], nenda KITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU [LHRC], nenda TGNP,, hawa wote ukishindwa nitaamini kwamba WANASHERIA TANZANIA HAWAPO,, au nenda USTAWI WA JAMII watakuandika PLAINT utaenda mahakamani kufungua kesi bure (kama ukipitia huko),,, Kama una pesa na haya yote yameshindikana na unataka hai ipatikane nenda kamtafte Advocate Majura Magafu,, au Advocate Kibatara,, au Advocate Msemwa,,, na wengineo wengi sana.. Lakini huo ushahidi nakushauri sana utunze kwenye SIMU, CD, FLASH au hata kwenye laptop yako,, ili kikipotea kimoja wapo bado ushahidiwako utakuwa strong....Wherever there is a rule and abstract Principles Lawyers are going to make distinctions.. thank you,,, and wishing you all the best
 
Back
Top Bottom