- Thread starter
- #41
Achana nae njoo kwangu
Achana nae njoo kwangu
Atakuwa na matatizo yakeMi nadhani huyo jamaa atakuwa na shida na siyo ndogo na vipi mlivyokorofishana ulijaribu kuongea nae na kuomba msamaha?? Maana si hali ya kawaida mtu akalipa hadi mahari alafu aingie mitini tena mbaya zaidi anaanzisha mahusiano na mfanyakazi mwenzako,,
Kuna mmoja mkorofi ndo akamuambikiza mwenzake, alafu unaonekana ni mtu wa kiburi na kujifanya huna time na hubembelezi wakat unaumia ndani kwa ndani.Tumekorofishana
Cc renata1Tatizo nyie wanawake mliobahatika kupata kazi huwa hamna heshima kwa waume zenu...hakuna mwanaume asipenda kueshimiwa ...kazi pembeni na nafasi ya mwanaume uitambue KBS...unatakiwa urudi uongee nae...make kama una tabia ya kutokueshimu mmeo wote unaowatafta watakuacha tu...jifunze kuwa na heshima ukiwa na mmeo..
Nyooo, unaangalia fursa?Pole, upo DSM?
Pata Savannah nakuja kulipa, umesema ukweli mtupu! Yaani amshukuru Mungu yamejitokeza at this stage, kuliko unaolewa kisha unakuja kubanikwa kwenye jiko la mkaaPole kuna wakati nilipitia kipindi cha uzuni, eti najifungia ndani, nyooo sasa hivi siwezi maliza mwezi nalia.
Pole sana usijifungie ndani kama mimi, kama wewe sio mtokaji kama mimi, jf ni marafiki waaminifu kupitia huu uzi utapunguza stress wewe ingia tu jf angalia movie.
Muhimu zaidi go out utakutana na watu wazuri tu utapata kampan.
Pole sana, ni maisha, tu mungu kakuepushi mengi wako atakuja hatokuliza atakupa raha zote.
😊😊😊Pata Savannah nakuja kulipa, umesema ukweli mtupu! Yaani amshukuru Mungu yamejitokeza at this stage, kuliko unaolewa kisha unakuja kubanikwa kwenye jiko la mkaa
Wala siishi huko ila kuna rafiki yupo hukoNyooo, unaangalia fursa?
wewe unajitambua ila unajiendekeza, ungekuwa na matatizo walio pembeni yako ndio wangeona.Amina
jifunze kutokuweka mahusiano yako open hasa kuomba ushauri kwa marafiki wa karibu (tafuta watu wazima umri 40+ wenye busara na hekima).
kubaliana na hali kwamba imeshatokea ikibidi omba uhamisho na uanze upya,wapo watu wengi wazuri kwaajili yako (everything happen for reason).
Mmegombana kwa sababu zipi?Hello wana jf mi ni mwanadada mfanyakazi serikalini sijawahi kuwa na mtoto! Naombeni ushauri wenu nilikuwa na mahusiano na mkaka akanitolea mahali na tulipanga tarehe ya harusi mwaka jana tumegombana
Hana adabu kabisa, hao walikua wapenzi muda mrefu sana...ameanzisha mahusiano na mfanyakazi mwenzangu
Pole sana, hayanaga muongozo...plz naomba yeyote mwenye kuelewa mtu wa saikolojia ushauri anielekeze nimtafute ili niweze kurecover na kusahau kabisa. Asanteni
Hahahaa! Mkuu umejuaje kama kwasasa humalizi mwezi unalia? Binafsi nilikutana na binti mmoja analia kwenye ule mgahawa ambao zamani ulikuwa avalon cinema (food world) nikajidai kumfata na kumuhoji kulikoni mbona analia akaniambia katendwa nikaanza kumshauri, tukabadilishana namba tena landline, nilijuta baadae bint akaniganda eti mimi ni mtu sahihi kwake wakati najijua mimi ni zaidi ya wahuni kimoyomoyo nikasema mbona hakomi huyuPole kuna wakati nilipitia kipindi cha uzuni, eti najifungia ndani, nyooo sasa hivi siwezi maliza mwezi nalia.
Pole sana usijifungie ndani kama mimi, kama wewe sio mtokaji kama mimi, jf ni marafiki waaminifu kupitia huu uzi utapunguza stress wewe ingia tu jf angalia movie.
Muhimu zaidi go out utakutana na watu wazuri tu utapata kampan.
Pole sana, ni maisha, tu mungu kakuepushi mengi wako atakuja hatokuliza atakupa raha zote.