Ushauri wa haraka unahitajika

Ushauri wa haraka unahitajika

Nishafanya mambo makubwa katika miradi yake nishamsaidia katika biashara zake hata kama ni maneno ya watu mimi ni binadamu kukosea katika maisha kupo
Huyo ni kaka yako umezaliwa naye tumbo moja au ni ndugu tu au amekuajiri badala ya kumwita boss unamwita kaka?
 
Huu ndio ukwelii jamaa liona dogo atatoka afu atakosa mtu wa kumtumikishaa.. Ingekuwa dogo ameibaa hela au mali zako hapo sawa!! Hii sio sawaa
mkuu huyo hata hutakiwa kumwita kaka yako. Angekua kaka yako kweli badala ya kuchukua shamba lako angekuongezea hekari nyingine hata 4 sababu angeona sasa mdogo wangu kaiva wacha nimsaidie...... Yani hapa tu ndio wahindi huwa wanawapiga hap waafrica... mwafrica akishakua na pesa au madaraka anataka aabudiwe yeye tu
 
Tatizo mkuu. Samehe tuu!! Ingekuwa tumbo moja hata asingefanya hivyooo.. Kwa dunia ya leo huyo ni sawa na mpita njia tuu
Umeongea neno moja limenifariji sana moyo wangu
 
pole na jipe moyo , jitafakari ulipokosea na ujutie maana wewe ndio unafahamu ukweli wote. Yote mitihani ya dunia
 
Umeongea neno moja limenifariji sana moyo wangu
Nimehisi kulengwa lengwa machozi.

Pamoja na yeye kuona umekosa, lakini hakupaswa kukunyang'anya hiyo ekari 1. Yaani alistahili kukupongeza kwa kuonyesha nia ya kujitegemea; maana utaondokana na utegemezi. Lakini kinyume chake ni kukuwakia, kukununia na kukufurusha nyumbani kwake. Huyo anapenda sana kuabudiwa. Anatamani uendelee kuwa mtumishi wake na wala siyo ndugu yake.

Endeleza juhudi za suluhu naye. Kila la kheri. Pole sana.
 
Pamoja na yote, Kukosea kupo, ila kaka yako inatakiwa umuombe msamaha, yaishe na shamba lake muachie, Nenda mahali pengine kama ipo ipo tu ndugu, Wala usiipe akili yako wasiwasi ndio maisha yalivyo.. hata huyo kaka yako kuna alishawai kukosea hajafika tu alipo bila kukosea, Cha muhim jifunza kutokana na makosa yaliyojitokeza na muda ulipoteza huko shambani, Next time muda tumia kufanya shughul zako hata kama ni elf moja ila ni ya kwako, unakua na uamuzi wa kuipangia hio elf moja kitu cha kufanya nayo, tofauti na ya mtu
 
Nimehisi kulengwa lengwa machozi.

Pamoja na yeye kuona umekosa, lakini hakupaswa kukunyang'anya hiyo ekari 1. Yaani alistahili kukupongeza kwa kuonyesha nia ya kujitegemea; maana utaondokana na utegemezi. Lakini kinyume chake ni kukuwakia, kukununia na kukufurusha nyumbani kwake. Huyo anapenda sana kuabudiwa. Anatamani uendelee kuwa mtumishi wake na wala siyo ndugu yake.

Endeleza juhudi za suluhu naye. Kila la kheri. Pole sana.
Nashukuru kwa maombi ya penye nia pana njia
 
Pamoja na yote, Kukosea kupo, ila kaka yako inatakiwa umuombe msamaha, yaishe na shamba lake muachie, Nenda mahali pengine kama ipo ipo tu ndugu, Wala usiipe akili yako wasiwasi ndio maisha yalivyo.. hata huyo kaka yako kuna alishawai kukosea hajafika tu alipo bila kukosea, Cha muhim jifunza kutokana na makosa yaliyojitokeza na muda ulipoteza huko shambani, Next time muda tumia kufanya shughul zako hata kama ni elf moja ila ni ya kwako, unakua na uamuzi wa kuipangia hio elf moja kitu cha kufanya nayo, tofauti na ya mtu
Nimepoteza miezi tisa bila malipo yoyote nafanya kazi ngumu sipewi kitu ila mm nilifanya kwa moyo nikijua na mimi ninacho changu
 
Mbona ulifanya jambo la maana? Badala ya kukupongeza anakufuza! Kama kakako anataka ufe ukiwa unamtegemea tu basi siyo ndugu mzuri. Tafuta jinsi ya kuachana naye.
 
Huyo anaona ukitoka atakosa wa kumsimamia

Pambana tafuta hata vibarua

Ukipata lima shamba lako

Huyo anataka umtumikie daima
 
Sasa ulitaka amwambie ili iwejee??? Kwani huyu jamaa kaka ake kamwambia mali zote alizonazo!??
Sasa kwa kumficha kwake kapata faida gani? Na Vp? kama angemuomba kaka yake na kuruhusiwa leo yange mkuta yaliyo mkuta
 
Umefanya kazi kwake kwa mda gani?

Alikuwa anakulipa?

Anadhani umemuibia ...vitu nyake..

Hataki utoke..chini yake..

Omba suluhu..halafu umlipe nusu ya pesa ukiuza...akupe shamba lako..
 
Kwa hiyo baada ya 'kukundua akanyangasha' [emoji23][emoji119] Mwache tu aendelee 'kukundua'
 
Na wewe ulikosea kwanza huyo ni mkubwa kwako ki umri pia anakulea kwa shida na raha
Sasa ulikua na Nia gani hasa ati wakati unasimamia shamba la kaka,na wewe ukalima sehem ingine kimya kimya???
Kwanza na uhakika pale unavomsimamia bro mashamba yake na uhakika anakupa pacent yako ya kutosha na kila kitu juu yake yaani ikipatakana gunia 100 nawe yako ni 25..
Lkn wewe hukuwa na nia nzuri juu ya ndugu yako ukataka kumzunguka mwenzio[emoji52]Nia yako ingekuwa safi ungemfahamisha tu mwenzio hali halisi
Ingekuwa ni mimi hapo..na makofi juu ungeshakula[emoji2211]
 
Back
Top Bottom