Ushauri wa haraka unahitajika

Ushauri wa haraka unahitajika

Umemdharau Kaka ako na sio kitu kizuri,anyway ushamkosea ila ungemwambia mipango yako Wala yasingekua hayo,Sasa wewe fanya mwombe msamaha kwa ajili ya dharau zako Linda undugu wenu tu mali achana nazo Wala katika kumwomba msamaha usionyeshe kujali pesa Wala usigusie pesa zake au zako,
Ni wazi ndugu wa damu ni rahisi kugombana na ni rahisi kuelewana, yeye ni Kaka ako uliogpa nin kumwambia so yeye ka consider wewe kama ni parasite tu na si ndugu tena
 
Mwisho wa siku jishushe maana Kaka ako anaonekana ni mtu wa kukunja Sana roho take sio nzuri,
 
Mwisho wa siku jishushe maana Kaka ako anaonekana ni mtu wa kukunja Sana roho take sio nzuri,
Unaongea kama unamjua nimepiga simu sana na message hajibu wala kupokea simu
 
Kaka yako ana Rohoo mbayaa sanaa anachotaka wewe uendelee kuwa mtumwa wakee..!! Inaumiza sana kama ni kwelii....[emoji848][emoji848]
Nimeumia sana hata kama nilifanya makosa
 
Nimeumia sana hata kama nilifanya makosa
Kweli hakutakiwa kukupokonya shamba lako...!! Hizo ni jitahada zako cha muhimu angekusisitiza kuwa usiache kuangalia mali zake pia sababu una zako tena ili bidi afurahie umejiongezaa...ajabu sana
 
Shamba ni langu pia nilikuwa nasimamia mashamba yake
Sawa!

Hapo kuna mawili, kwanza tafuta usuluhishi wa pande mbili ili muweze kumaliza tofauti zenu. Sioni kama hilo likishindikana. Tafuta ndugu katika familia ikiwezekana na watu wengine wa karibu wenye ushawishi. Hili linahitaji muda lakini ukilifanya kwa utulivu na umakini linaweza kukupatia ufumbuzi wa hilo suala lako.

Jambo la pili ni endapo hilo la kwanza litashindikana;
Kama unalihitaji shamba lako basi tafuta msaada wa kisheria kama kweli hilo shamba ni lako na una vitu vinavyoweza kuthibitisha hilo.
 
Kweli hakutakiwa kukupokonya shamba lako...!! Hizo ni jitahada zako cha muhimu angekusisitiza kuwa usiache kuangalia mali zake pia sababu una zako tena ili bidi afurahie umejiongezaa...ajabu sana
Kazi zake nilifanya kwa ufanisi wa hali ya juu sana
 
Sawa!

Hapo kuna mawili, kwanza tafuta usuluhishi wa pande mbili ili muweze kumaliza tofauti zenu. Sioni kama hilo likishindikana. Tafuta ndugu katika familia ikiwezekana na watu wengine wa karibu wenye ushawishi. Hili linahitaji muda lakini ukilifanya kwa utulivu na umakini linaweza kukupatia ufumbuzi wa hilo suala lako.

Jambo la pili ni endapo hilo la kwanza litashindikana;
Kama unalihitaji shamba lako basi tafuta msaada wa kisheria kama kweli hilo shamba ni lako na una vitu vinavyoweza kuthibitisha hilo.
Mimi katika hili niliitaji msamaha wake shamba mimi siliitaji kwa sababu mimi tayari nisha hesabia maumivu haraka zangu ndo zimeniponza
 
Mimi katika hili niliitaji msamaha wake shamba mimi siliitaji kwa sababu mimi tayari nisha hesabia maumivu haraka zangu ndo zimeniponza
Bro wako ame over react tu kama kazi zake zinaenda poa kwanini akukunjie namna hiyo kwanza alitakiwa akupongeze kimya kimya kwa kuona kumbe unajiongeza na unatamani cku moja uwe na vyako na si kumtegemea tu yeye any way pole mkuu shamba la viazi acre moja si haba ulikua unaenda kutoboa kama mambo yangeenda poa ila ndio hvo tena
 
Mimi katika hili niliitaji msamaha wake shamba mimi siliitaji kwa sababu mimi tayari nisha hesabia maumivu haraka zangu ndo zimeniponza
Kama ni hivyo fanya hilo la kwanza. Tumia muda wako, kuwa muwazi, tafuta usuluhishi wa pande mbili ili muweke mambo sawa.

Inaonekana huyo ndugu yako ni mtu mwenye kinyongo sana. Au pengine kuna zaidi ya hili tulijualo, maana kuna mtu mwingine unaweza kumkosea kwa jambo fulani kisha akakuadhibu kwa jambo hilo na mengine yaliyopita.
 
Bro wako ame over react tu kama kazi zake zinaenda poa kwanini akukunjie namna hiyo kwanza alitakiwa akupongeze kimya kimya kwa kuona kumbe unajiongeza na unatamani cku moja uwe na vyako na si kumtegemea tu yeye any way pole mkuu shamba la viazi acre moja si haba ulikua unaenda kutoboa kama mambo yangeenda poa ila ndio hvo tena
Kwa hesabu zangu nilishatoboa nilishapanga kijitegemea katika maisha yangu na kuondokana na mawazo ya kusubiri ajila
 
Kama ni hivyo fanya hilo la kwanza. Tumia muda wako, kuwa muwazi, tafuta usuluhishi wa pande mbili ili muweke mambo sawa.

Inaonekana huyo ndugu yako ni mtu mwenye kinyongo sana. Au pengine kuna zaidi ya hili tulijualo, maana kuna mtu mwingine unaweza kumkosea kwa jambo fulani kisha akakuadhibu kwa jambo hilo na mengine yaliyopita.
Nishafanya mambo makubwa katika miradi yake nishamsaidia katika biashara zake hata kama ni maneno ya watu mimi ni binadamu kukosea katika maisha kupo
 
mkuu huyo hata hutakiwa kumwita kaka yako. Angekua kaka yako kweli badala ya kuchukua shamba lako angekuongezea hekari nyingine hata 4 sababu angeona sasa mdogo wangu kaiva wacha nimsaidie...... Yani hapa tu ndio wahindi huwa wanawapiga hap waafrica... mwafrica akishakua na pesa au madaraka anataka aabudiwe yeye tu
 
Back
Top Bottom