Ushauri wa haraka unahitajika

mm naona kama jack ana tatizo vile kwa nn asifunge solve tatizo easy
 
Dogo inabidi naye ajue A-Z..,
Wanaume tunakuwaga na kuheshimiana flani hivi ukiona kaka/rafkio yupo pale unamwachia tu.

John na Dogo wazungumze tu.
 
hahaha haya mambo ya visosa MBITIYAZA kayaanza lini? Naona ile Nissan nyeupe inamfuatilia mtu kimya kimya,espy utakuwa shahidi kwa kamanda sirro
Hahahaa!! MBITIYAZA kaelewa somo, moyo umeanza kupondeka hivyo hana budi kubeba na visosa.
 
Mwenza nipo.
Ukiona kimya uje unitoe lupango.
Niko nawatafuta "watu wasiojulikana"
Mwenza yamekuwa hayo!! Tafadhali sana bado nakupenda sana, yule mume peke yangu simuwezi.
 
Dogo inabidi naye ajue A-Z..,
Wanaume tunakuwaga na kuheshimiana flani hivi ukiona kaka/rafkio yupo pale unamwachia tu.

John na Dogo wazungumze tu.
Hahaaaa!! Kumbe huwa hamna hiyana eeh!!
 
nahitaj my dear nipo serious ! ngj nimuulize na mhenga mwenzangu km na wifi yangu ana visosa km hana nimchukulie hii elimu dunia waifahamu mhenga mwenzangu??@elli
Hahahaaa!! Nikajua umeghairi, nilianza kuwaza kwanini tunaharibiana biashara!!!
 
Tena inabidi nikupe vya rangi na dizain mbalimbali ili usije simangwa kwa kutumia visosa vya aina moja tu!!



ahhhha nimecheka hii !dah usjie pewa sababu bwana kachepuka kisa dizain ile ile hahhaa
 
nahitaj my dear nipo serious ! ngj nimuulize na mhenga mwenzangu km na wifi yangu ana visosa km hana nimchukulie hii elimu dunia waifahamu mhenga mwenzangu??@elli
Hahahahahaha hii sina aiseee, hebu tuwasiliane tupate ujuzi Mhenga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…