Ushauri wa haraka unahitajika

Hahah!, kwa kweli. Kama mambo yenyewe haya, tukapike michembe tu...lol!

Sent using Jamii Forums mobile app


hahah hicho chakula jaman mie kilishanishinda jamen ! yan jaman uwiii ! last week nilikua kwenye familia ya wasukuma wakapika mchana na karanga za kukaanga ! hebu imagne jaman ! na nisivyoweza kushinda njaa nilichukua maharage tu ! dah mchembe haapana
 


Hehehe!, ndo nyumbani shoga!
 
Wasukuma mnajijua wenyewe na mapishi yenu, hayo madude sijawahi kuyaelewa kwakweli. Acha tu na visosi viwashinde[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…