Ushauri wa haraka unahitajika

Ushauri wa haraka unahitajika

hahahahahahahha uiii ananiambiaga mbiti umetumwa eh ?/ chadema wamekutuma wewe sio bure !bas toka juz tukio la TL siongei kitu bas akija ananiamsha kwa nguvu jaman ananiuliza LISU Anaendeleaje ?? jaman nakabwaaaaaa! jaman mie siasa siwez! yaan nakabwa jaman !anauliza kwa kebehiii uwii
 
hahahahahahahha uiii ananiambiaga mbiti umetumwa eh ?/ chadema wamekutuma wewe sio bure !bas toka juz tukio la TL siongei kitu bas akija ananiamsha kwa nguvu jaman ananiuliza LISU Anaendeleaje ?? jaman nakabwaaaaaa! jaman mie siasa siwez! yaan nakabwa jaman !anauliza kwa kebehiii uwii
Mtafutie watu wasiojulikana ataacha kukukaba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom