Ushauri wa haraka sana unaitajika.

Ushauri wa haraka sana unaitajika.

BABU KIZEE

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2013
Posts
452
Reaction score
72
Wakuu naomba mawazo yenu mi kijana na karibia miaka 29, ni mfanyakazi serikarini mshahara wangu ni 350000 kwa mwezi, ni muda sasa karibu miaka miwili sijapata mwenza nimejaribu kila njia lakini sijapata mwenza , nifanyeje wakuu nifanikiwe kwa ili , ubachelor umenishinda nikirudi kazini kazi zote nafanya mimi kupika mie,kufua mie kuchota maji mie kwa kweli nachoka sana nifanyeje wakuu kuepukana na taabu za ubachelor.
 
Unataka ufundishwe jinsi ya kutongoza? Be serious please
ILA kwa JF utawapata Maana wapo wanaotafuta ndoa. Tatizo ni hio income yako, nakushauri fuga hata kuku tu au kilimo au weka kibanda cha tigopesa!!!! Hicho kipato na umri Wako havina uhusiano
 
Pole sana Mkuu.
Wanawake wote hawa umekosa hapo hata mmoja wa kuweka ndani kukufulia na kukupikia na kukuchotea maji? You cant be serious.

Ila kama Unatafuta mwanamke kwa maana halisi ya MKE.. Endelea kumuomba Mungu wako atakupa kadiri ya mapenzi yake.

Wakuu naomba mawazo yenu mi kijana na karibia miaka 29, ni mfanyakazi serikarini mshahara wangu ni 350000 kwa mwezi, ni muda sasa karibu miaka miwili sijapata mwenza nimejaribu kila njia lakini sijapata mwenza , nifanyeje wakuu nifanikiwe kwa ili , ubachelor umenishinda nikirudi kazini kazi zote nafanya mimi kupika mie,kufua mie kuchota maji mie kwa kweli nachoka sana nifanyeje wakuu kuepukana na taabu za ubachelor.
 
Kipi unahitaji kwa haraka zaidi, mtu wa kufua na kupika? Kuongezwa mshahara au kupunguza uvivu!!??
 
Laiti ungejieleza vizuri, unataka nini sasa? Mbona ma house girls ni wengi tu. Tena Div. 5 wamejaa. Si matokeo ya mwaka jana tayari, weye andika kwenye kipande cha box tu, chana box la mbuni, andika tangazo kuwa unamtaka hg wa div. 5, awe na sifa hizi na hizi, weka namba yako ya sm, bandika mlango wa gheto yako, ondoka. Haijalishi hicho chumba ni cha ndani au cha uani mkuu, humalizi siku 3 kabla mtu haja ku beep.
Sema jingine mkuu
 
kwani umeambiwa mke ni mtumishi wako?ajiri mfanyakazi atakufanyia kazi za ndani(kufua,kupika,kukusafishia,kuchotamaji n.k)...sawa kijana??ukihitaji mtu wakukupenda,kukujali na kukuthamini ndo uje uombe ushauri!!
 
Unataka mtu wa haraka haraka... au??? Kama wa kudumu vuta subira....
 
^^
Hakuna kazi ngumu kama kupata mke. Naam wanawake ni wengi lakini si kila mwanamke ni mke na pengine ndio maana upo hapo ulipo.
Njia unazoweza kufanya ni
1. Tazama marafiki zako wa kike, miongoni mwao chagua mmoja ambae anaweza kutimiza matarajio yako ukimlinganisha na wote..mweleze u dhati wa kuwa nae ktk ndoa.
2. Jitahidi kupunguza kanuni/masharti uliyojiwekea, uyafanye ya kawaida yanayoweza kufikiwa na yeyote. Hapa nia ni kumpata mwanamke asie na complications zisizo kichwa au miguu! Usioe ili usifiwe mtafute mwenye hitaji.
3. Kama wewe ni mtoto wa kwanza kuzaliwa, Mshirikishe sana Mungu ktk uamuzi huu utakaoathiri maisha yako yaliyobakia.
UWE NA WAKATI MGUMU WENYE MATUNDA MEMA YA KUDUMU
^^
 
Himidini umempa gud advice ila jamaa hajui anataka nini mke or mfanyakaz wa kumsaidia kupika kuvua nk au analalamika mshahara mdogo...hajajitambua atabaki hivyo hivyo
 
Last edited by a moderator:
Kwani unavyotuuliza inamaana ukitaka kugegeda huwa unafanyaje kumpata mwanamke?

Wakuu naomba mawazo yenu mi kijana na karibia miaka 29, ni mfanyakazi serikarini mshahara wangu ni 350000 kwa mwezi, ni muda sasa karibu miaka miwili sijapata mwenza nimejaribu kila njia lakini sijapata mwenza , nifanyeje wakuu nifanikiwe kwa ili , ubachelor umenishinda nikirudi kazini kazi zote nafanya mimi kupika mie,kufua mie kuchota maji mie kwa kweli nachoka sana nifanyeje wakuu kuepukana na taabu za ubachelor.
 
Mshahara wako, kazi yako n.k vyote havina uhusiano na kupata mke..Fanya maombi makini na inshallah mke mwema ni chaguo la Mungu na utapata! 2kianza kuleta story tulivopata wake zetu hakika utastaajabu na utaconfem kwamba ni chaguo la Mungu na si mtu kama mtu....!
 
Hivi unaolewa na jitu kama hili linawaza kukuoa ili ufanye kazi za ndani?

Stupid.
 
apa tatizo kisu
...mkuu nina bad news na good news kwako...

bad news..kisu chako butu...
good news..upo busy..inakusaidia kupunguza msongo wa mawazo
 
Kinachokufanya utafute hyo mke ni hizo zinakushinda sio??? Sema unataka mfanyakaz wa ndani sio mke......
 
Sasa si uweke hata hauzgel na hilo nalo unataka ushauri aaagh! Na utuache tulaleee!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom