Kila kitu kina limitation, na kila jamii ina tamaduni zake. Ndio maana hata unaambiwa una uhuru lakini jaribu tembea barabarani ukivuta bangi uone kama unao uhuru wa kiasi hicho. Hatua zisipochukuliwa si kwa serikali tu hata kwa jamii na wazazi wenyewe, tunaenda kutengeneza jamii ya kizazi ambacho ipo siku tutaanza kujiuliza tumefikaje hapa.Nyie ambao hampendi uhuru hamieni Korea Kaskazini, Afghanistan, Iran, China na nchi za mfano huo. Msitake kuwaweka watu wote kwenye chungu cha ujima, udikteta na ufashisti.