Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,016
- 9,885
Asubuhi nilikuwa nasikiliza redio ambapo hawa ndugu zetu walikuwa wanajadili suala la dawa za kulevya ambapo waathirika na wanaotuhumiwa watapimwa. Katika kuelezea hilo mmoja wa watangazaji, Gerald Hando akasema jambo liende kwa wizara na TCRA.
Jambo lake ni kuwa Tiktok inaharibu vijana na watoto. Kwa hoja yake ni kuwa marekani inajaribu kuzuia tiktok sio tu kwa masuala ya taarifa binafsi lakini pia kulinda watoto.
Mimi napata shida na namna yoyote inayojiweka mbele kupinga teknolojia badala ya kutafuta namna bora za kutumia digital kukuza demokrasia.
Kama ambavyo baadhi ya mitandao imezuiwa nchini, naona kabisa tunaenda kuzuia mitandao mingi zaidi kwa sababu hizi zinazotolewa na wadau ambazo hazina mashiko.
Nawasilisha.
Jambo lake ni kuwa Tiktok inaharibu vijana na watoto. Kwa hoja yake ni kuwa marekani inajaribu kuzuia tiktok sio tu kwa masuala ya taarifa binafsi lakini pia kulinda watoto.
Mimi napata shida na namna yoyote inayojiweka mbele kupinga teknolojia badala ya kutafuta namna bora za kutumia digital kukuza demokrasia.
Kama ambavyo baadhi ya mitandao imezuiwa nchini, naona kabisa tunaenda kuzuia mitandao mingi zaidi kwa sababu hizi zinazotolewa na wadau ambazo hazina mashiko.
Nawasilisha.