Ushauri wa Bure: TBC na Mkurugenzi TBC (TBC1).

Ushauri wa Bure: TBC na Mkurugenzi TBC (TBC1).

yan kwenye familia yetu ukikutwa unaangalia taarifa ya habari TBC unapewa likizo ya kutoshika remote control ya tv mwezi mzima,alafu mwanzo wao wa habari lazima waanze na taarifa ya chama cha wavua magamba hata kama kuna tukio muhimu la kijamii la kuanza nalo!
Mimi nilishawaambia wanangu ukweli kuwa, waangalie channel zingine kabisaaa kwenye news wasije sema uongo nje
 
Naichukia CCM,siipendi hasa hata kidogo,Watanzania acheni kuangalia TBC ni ya kihuni.
 
Ni kama unaeleweka mara unazamia mbali mara unakaribia nilikuwa nataka kukudaka duh umeniponyoka nimeona nikuachie tu!
Mkuu hapa nimetumia lugha yakidiplomasia,kwa kifupi nikwamba itakuwa ni ndoto za mchana kutegemea kwamba TBC inaweza kutangaza habari ambazo ziko kinyume na kanuni walizo wekewa na mwajili wao (SERIKALI).
 
Ni kama unaeleweka mara unazamia mbali mara unakaribia nilikuwa nataka kukudaka duh umeniponyoka nimeona nikuachie tu!
Mkuu hapa nimetumia lugha yakidiplomasia,kwa kifupi nikwamba itakuwa ni ndoto za mchana kutegemea kwamba TBC inaweza kutangaza habari ambazo ziko kinyume na kanuni walizo wekewa na mwajili wao (SERIKALI).
 
kwani tbc ni chombo cha serikali au cha umma? kama ni cha serikali wana haki ya kutangaza propaganda zao ila kama ni cha umma basi uchafu huo wauache mara moja, wanatumia kodi zetu kututangazia ujinga wao.
 
Mkuu hapa nimetumia lugha yakidiplomasia,kwa kifupi nikwamba itakuwa ni ndoto za mchana kutegemea kwamba TBC inaweza kutangaza habari ambazo ziko kinyume na kanuni walizo wekewa na mwajili wao (SERIKALI).

Basi kama ni hivyo watapoteza credibility yao na hatiumaye shirika litabebwa na serikali na siyo kujiendesha
 
kwani tbc ni chombo cha serikali au cha umma? kama ni cha serikali wana haki ya kutangaza propaganda zao ila kama ni cha umma basi uchafu huo wauache mara moja, wanatumia kodi zetu kututangazia ujinga wao.

Unasema ukweli mkuu! hawa jamaa wanatuchanganyia sana siku hizi!
 
Zingatieni pia usahihi wa maandishi yanayopita kwa chini mfano tarehe 15/06/2011 wakati wa taarifa ya habari ya saa 2 usiku mliandika hivi: Kitaifa>> Simba yanoa makucha yaondoka kesho kuelekea DRC: Michezo>>Mjadala wa bajeti ya serikali waanza wabunge waunga mkono huku wakitaka itekelezwe kwa vitendo.

Kwa kweli mtu yeyote akiona habari hizo atajua ni watu wa aina gani wako pale TBC1, kama mnabisha rudini kwenye record ya taarifa hiyo!
 
Zingatieni pia usahihi wa maandishi yanayopita kwa chini mfano tarehe 15/06/2011 wakati wa taarifa ya habari ya saa 2 usiku mliandika hivi: Kitaifa>> Simba yanoa makucha yaondoka kesho kuelekea DRC: Michezo>>Mjadala wa bajeti ya serikali waanza wabunge waunga mkono huku wakitaka itekelezwe kwa vitendo.

Kwa kweli mtu yeyote akiona habari hizo atajua ni watu wa aina gani wako pale TBC1, kama mnabisha rudini kwenye record ya taarifa hiyo!
Ni kweli kabisa mkuu, hawako serious hawa jamaa!
 
Nilidhani hili naliona peke yangu kumbe ni Watanzania wote wenye uwezo mzuri wa kupambanua mambo...siku hzi hakuna separation kati ya inayoitwa Televishen ya Taifa na CCM wakuu,Hata asilimia kubwa ya watendaje u CCM umewajaa.
 
Ha hivi tbc inaonesha taarifa ya habari? Mimi nlishasahau,huwa ninaangalia ze comedy na siku nikisikia wanaonesha mpira,vipindi vingine sivijui,hata vya bunge siangalii
 
Watangazaji kama Marin Hassan Marin na Jane Shirima ni vinara wa tutetea Chama Cha Magamba
Na huyu aliyehama star tv,anaitwa Gabriel Zacharia,naye yaani ananiudhi cjui kasoma wapi ati!
 
Back
Top Bottom