gonsalva mswaga
Member
- Oct 23, 2012
- 7
- 12
ushauri please mimi nahitaji kuanzisha mladi wa kufuga kuku wa mayai na nyama, ila ndio kwanza nafikiria utengenezaji wa banda ni changamoto gani nitakayoikabili
Nikihitaji kusia mbegu za Papai, nitachaguaje mbegu za kike tu?
Naomba kama unaziju dawa za kulisha ng,ombe wa nyama ili wakue kwa haraka nitajie na aina zake ikiwa ni pamoja na madhara yake au faida.