Ushauri wa bure kwa wanawake mabonge



Wanasema tembo raha yake umuonee porini tu
 
duh hii sasa kali !hahaa eti ta.k.o moja chupi inajaa hahahah
Yanapokula hayakai kwenye viti hukaa sakafuni au mkekani kwa ajili ya umbeya. Sasa wanapokula wanahama hama kujivutavuta kwa shibe ili aendelee kujinoma mwisho chupi hiyo inahamia tako moja.
Utasikia wakati wa kusimama anaita shoga nivute nisimame si kwa shibe hiiiii. Sasa kama ni mwembamba ajisimamie bila kuvutwa.
Uswahilini tunaona mengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii mada inanifanya nihisi mpenzi wangu muongo! Kila siku analilia utam ananiambia yan kwa utam huu sijui km ntakuacha!

Loooh mie Nina utam jaman khaaa japo msabwanda haswaaa ila mtoa mada NAHISI ULIKUTANA NA Mwenye harufu ya papuchi

Ngekuwa sina mpenziii aaaaaah mbona easy ngekupa one time uchek

Ungekuja hapa kufuta KAULI





ha ha ha ha ha haaaaaa uwiiiiii

Leo tunakoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeona eee, atuachie mizigo yetu huyu mtoto, kila mahali post ya kuponda mizigo.
Sijui Mungu nimrudishie nini kwa wema huu wa kutuumbia sampuli hizi za wanene mabonge.
Natoa pendekezo wote wenye kuwa na wake wapenzi mabonge Wiki hii tukatoe sadaka ya shukrani kanisani na misikitini. Tupewe air time kabisa kumrudishia Mungu utukufu [emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeonaaa eeeee.. Nguvu inakuja kwa kasi..huyo kanizidi umaarufu tu wakupigwa picha uchiiii[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji3] [emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app


teh sasa ww jishebedue upige picha namna hii ahhahhaha utakuwa km yule dada wa open kitchen alivyoamua kututisha sie ! tuwaachie wenyewe !lol
 
Na wewe nibonge mumy? Naomba nambari yako ya simu basi. usiweke haPa upenuni we ni PM TU. Natanguliza shukurani zangu za dhati.


mie nimepita kwenye ubonge ! jana nimepima am weigh 99.7kgs !alafu mfupi sasa, short chasis !namiminika hatar! wawez zimia ! we niache tu mkuu ! nina pingili 4 tumboni kama pipe
 
Na wewe nibonge mumy? Naomba nambari yako ya simu basi. usiweke haPa upenuni we ni PM TU. Natanguliza shukurani zangu za dhati.


alafu hili jina lako hivi sio brand?designer wa nguo ya mambele huko kweli? nikumbushe tafwadhari
 
mie nimepita kwenye ubonge ! jana nimepima am weigh 99.7kgs !alafu mfupi sasa, short chasis !namiminika hatar! wawez zimia ! we niache tu mkuu ! nina pingili 4 tumboni kama pipe
Basi angalau hata kapicha kako kwenye PM ili nijiridhishe kuwa unasema kweli, la sivyo sitaamini.
 
Yaani Mimi nikimuona mwanamke bonge tu nachanganyikiwa kbc niwatamu balaa tena umkute mwepesi kitandani lzm uombe poo [emoji13][emoji13]Mimi siwezi chukua kimbaumbau aisee naogopa kugeuka fundi mageti maana huko chumbani itakuwa ni mwendo wa kwa kwa kwa kama kunafundi ndani [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…