Ushauri wa bure kwa Tundu Lissu na CHADEMA

wakuziba

Senior Member
Jun 24, 2012
123
43
Mh Lissu ni mmoja kati ya wabunge wanaochangia sana bungeni. anajituma sana na hili ni jambo zuri! tatizo alilonalo ni kuwa na papara ya kuchangia. ni vizuri akatulia na kutamka maneno yenye uhakika. jana alipokua anachangia hotuba ya uchukuzi, lissu alimlaumu waziri mwakyembe kwa kutotoa kauli ya pole kutokana na ajali ya meli znz. alimtaka aombe radhi na aeleze kwa nini ktk hotuba yake hakutaja ajali hiyo.

alisimama mbunge wa ccm na kunukuu ukurasa ambao una maneno ya pole kutokana na meli ya znz. lissu alinywea na kuomba radhi. lissu licha ya kuwa mwanasheria ni mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani.

Cheo hicho kinahitaji mtu makini anaetumia ubongo kwa umakini mkubwa. Mifano ya kuteleza kwa Lissu bungeni ni mingi. takriban kila anaposimama lazima ateleze. nawashauri chadema kumteua mnadhimu mwengine la sivyo hadhi ya chadema itazidi kushuka bungeni kila uchao


wakatabahu: wakuziba
mzee wa maneno ya ukweli unao choma nyoyo
 
mh lissu ni mmoja kati ya wabunge wanaochangia sana bungeni. anajituma sana na hili ni jambo zuri! tatizo alilonalo ni kuwa na papara ya kuchangia. ni vizuri akatulia na kutamka maneno yenye uhakika. jana alipokua anachangia hotuba ya uchukuzi, lissu alimlaumu waziri mwakyembe kwa kutotoa kauli ya pole kutokana na ajali ya meli znz. alimtaka aombe radhi na aeleze kwa nini ktk hotuba yake hakutaja ajali hiyo.

alisimama mbunge wa ccm na kunukuu ukurasa ambao una maneno ya pole kutokana na meli ya znz. lissu alinywea na kuomba radhi. lissu licha ya kuwa mwanasheria ni mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani. Cheo hicho kinahitaji mtu makini anaetumia ubongo kwa umakini mkubwa. mifano ya kuteleza kwa lissu bungeni ni mingi. takriban kila anaposimama lazima ateleze. nawashauri chadema kumteua mnadhimu mwengine la sivyo hadhi ya chadema itazidi kushuka bungeni kila uchao


wakatabahu: wakuziba
mzee wa maneno ya ukweli unao choma nyoyo

Atateuliwa Chemba usijali
 
Lissu ni mtu makini pamoja na kuwa amezungukwa na kundi la walaji ndani ya Chadema; Lissu namkubali kama mwanasiasa anayetetea wanyonge. Sikumjua Lissu kwa kumsoma kwenye magazeti nina uhakika na ninachokisema.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Pole zinatolewa ukurasa wa mwisho? wewe inakuingia akilini? waziri mwenye dhamana shame on you mwakyembe!
 
Ndo cha ajabu bunge zma ndo umekiona hicho?ni mpuuz huna hoja kwa hiyo unafurah kupiga makofi kwa mabwege wako::badilika mzee
 
Watu wengine bwana akili zao mh zinawatosha wenyewe .Pole na pongezi huwa vitu vya kwanza .Now CCM nadhani ina bifu na CCM wenzao huko visiwani
 
kama binadamu sometimes anakosea au kutoona baadhi ya mambo mfano hilo,atleast hayupo kwenye list ya wabunge wanaotuhumiwa kula rtushwa....
 
atoe pole ukurasa wa kwanza ya nini wakati hili ni swala la wazanzibari halituhusu...huu uzembe ulitokea kwa sababu ya wao wazenji kutaka kila kitu wafanye wao badala ya serikali ya muungano kufanya.. sioni sababu ya yeye kutoa pole kwanza wala kujiuzulu..hili ni swala la nchi nyingine japokua tunasikitika kupoteza watanganyika wetu pamoja na wanachi wa mataifa mengine
 
Ndugu yangu Hilo ni Jambo dogo amBALO halitasaidia Taifa!! Je umeona lina umuhimu kuwa Hapa JF? Shame on You!!
 
Lissu ni mtu wa papara sana kama suala la kutoa pole mbona Dr Slaa ajatoa pole.
 
Lissu ni mtu wa papara sana kama suala la kutoa pole mbona Dr Slaa ajatoa pole.

Pole alishatoa Mwenyekiti Mboe kwa niaba ya Chama inatosha kama ni kwa level ya siasa, unataka Slaa atoe pole kama yeye au kwa niaba ya chama....? lakini Slaa pia hayupo Mbungeni Mboe yumo mjengoni; hivi nani ni mkuwa kati ya Mboe na Slaa CDM...?
 
Lissu ni mtu wa papara sana kama suala la kutoa pole mbona Dr Slaa ajatoa pole.
ulishajua chadema ina wabunge bungeni wangapi?, usiwe mvivu wa kusoma taarifa, Chadema ilituma salaam za rambirambi mapema hata kabla ya magamba hamjajitokeza?
 
Mh Lissu ni mmoja kati ya wabunge wanaochangia sana bungeni. anajituma sana na hili ni jambo zuri! tatizo alilonalo ni kuwa na papara ya kuchangia. ni vizuri akatulia na kutamka maneno yenye uhakika. jana alipokua anachangia hotuba ya uchukuzi, lissu alimlaumu waziri mwakyembe kwa kutotoa kauli ya pole kutokana na ajali ya meli znz. alimtaka aombe radhi na aeleze kwa nini ktk hotuba yake hakutaja ajali hiyo.

alisimama mbunge wa ccm na kunukuu ukurasa ambao una maneno ya pole kutokana na meli ya znz. lissu alinywea na kuomba radhi. lissu licha ya kuwa mwanasheria ni mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani.

Cheo hicho kinahitaji mtu makini anaetumia ubongo kwa umakini mkubwa. Mifano ya kuteleza kwa Lissu bungeni ni mingi. takriban kila anaposimama lazima ateleze. nawashauri chadema kumteua mnadhimu mwengine la sivyo hadhi ya chadema itazidi kushuka bungeni kila uchao


wakatabahu: wakuziba
mzee wa maneno ya ukweli unao choma nyoyo





Ni kweli kabisa naungana na wewe pamoja na wote wenye mtazamo kama wako, labda tu kwa kuongezea kauli nyingine aliyokurupuka TL ni hii hapa .... Mh. Waziri mkuu, if you hv done your very best and failed, why dont you resign? .....
Unalo hilo, mwaka huu lazima mfe
 
Lissu jana aliumbuka kwa kutosoma vifungu ya hotuba akajikuta ananyamazishwa na mbunge wa Ole, Kassim Mbarouk, akamwambia mbona kaishatoa pole pitia ukurasa wa 3 (6) katika hotuba yake.
 
ulishajua chadema ina wabunge bungeni wangapi?, usiwe mvivu wa kusoma taarifa, Chadema ilituma salaam za rambirambi mapema hata kabla ya magamba hamjajitokeza?

Wabunge wa Chadema wa kuchaguliwa ni 23 hao wengine wa kupewa mie siwatambui, sasa Lissu alikuwa anataka pole gani wakati Rais alishatoa.
 
mh lissu ni mmoja kati ya wabunge wanaochangia sana bungeni. Anajituma sana na hili ni jambo zuri! Tatizo alilonalo ni kuwa na papara ya kuchangia. Ni vizuri akatulia na kutamka maneno yenye uhakika. Jana alipokua anachangia hotuba ya uchukuzi, lissu alimlaumu waziri mwakyembe kwa kutotoa kauli ya pole kutokana na ajali ya meli znz. Alimtaka aombe radhi na aeleze kwa nini ktk hotuba yake hakutaja ajali hiyo.

Alisimama mbunge wa ccm na kunukuu ukurasa ambao una maneno ya pole kutokana na meli ya znz. Lissu alinywea na kuomba radhi. Lissu licha ya kuwa mwanasheria ni mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani.

Cheo hicho kinahitaji mtu makini anaetumia ubongo kwa umakini mkubwa. Mifano ya kuteleza kwa lissu bungeni ni mingi. Takriban kila anaposimama lazima ateleze. Nawashauri chadema kumteua mnadhimu mwengine la sivyo hadhi ya chadema itazidi kushuka bungeni kila uchao


wakatabahu: Wakuziba
mzee wa maneno ya ukweli unao choma nyoyo


unawastashwa wewe
 
lissu jana aliumbuka kwa kutosoma vifungu ya hotuba akajikuta ananyamazishwa na mbunge wa ole, kassim mbarouk, akamwambia mbona kaishatoa pole pitia ukurasa wa 3 (6) katika hotuba yake.

kwa hiyo unatakaje mbona baba rits anaumbuka kila uchwao hamsemi au yeye hasemewi??
 
Unategemea Kila kitu anachofanya Lisu Bungeni basi lazima kiwe bila makosa?
Yule ni binadamu kama wewe,mbona yale mazuri aliyoyafanya bungeni hukuleta kwa kumsfia?
 
Back
Top Bottom