LordJustice1
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 2,263
- 530
Mara nyingi nimeona TBC1 wakiwaalika wabunge wa CCM na CUF katika kipindi cha Jambo Tanzania na mara nyingi Wabunge hao wamekuwa wakijaribu kujibu hoja zilizotolewa na CHADEMA Bungeni na kutoa lawama kwa chama hicho kikuu cha upinzani! Lawama nyingi za CCM na CUF zimekuwa hazijibu hoja za CHADEMA moja kwa moja bali zimekuwa ni 'calculated move' ya kukipaka matope CHADEMA!
Unless TBC1 nacho ni chombo cha kisiasa, nashauri wawe wanawaalika na Wabunge wa CHADEMA ili kupata upande mwigine wa shilingi!
Au mnasemaje wakuu?
Unless TBC1 nacho ni chombo cha kisiasa, nashauri wawe wanawaalika na Wabunge wa CHADEMA ili kupata upande mwigine wa shilingi!
Au mnasemaje wakuu?