Majighu2015
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,941
- 3,963
Mkuu mimi matukio yote mawili yalinikuta eneo la tukio hasa lile la Olasiti walipotushambulia kwa bomu la kurushwa kwa mkono na risasi zilizotoka katika bastola na bunduki SMG na tulioumizwa na matukio hayo tupo wengi halafu zingatia mimi ni mwanachama wa kawaida tu cina cheo chochote Chadema ,sasa tukisema tuanze wote kudai kulipwa kwa yaliotokea nnadhani haitakuwa sahihi.Sote tunataka mabadiliko na dhana ile ile ya kuumia/kuumizwa /kuuwawa kwa baadhi ya wafuasi wa chama hichi ndio gharama za mabadiliko na hili la Lowasa kujiunga na upinzani Dkt Slaa akubaliane na mabadiliko hayo kwa sababu ukweli umejulikana na tunataka kusonga mbele sio kurudi nyuma.
Maneno yako ni ya kichochezi sana ,hayaachi umoja katika chama na yanatupeleka katika ubinafsi
Umenena mkuu.. Watatuelewa tu mda unavyoenda.