Nimezungumza hapa KUCHAKACHUA NDOA.
A) DKT SLAA ametengana na Mke wake
B) DKT SLAA AMETWAA MKE WA MTU.
C) DKT Slaa ametuambia kuwa MKE WA MTU ni MKE WAKE.
Kuhusu Kuchomekewa; wala sifanyi RESEARCH, Nakupa kitu affirmative. Watanzania Wote wenye kudadisi mambo na kuwa na ufuatiliaji wanajua kuwa Slaa AMECHOMEKEWA; ndio maana ukazuka Usemi mpya Mjini usemao, 'PAPARA KAMA SLAA'. Akipewa kitu, hata kama ni dhahiri kuwa sio cha ukweli; anakurupuka na kunadi kuwa ana ushahidi. Kinyume na yeye, watu waliokuwa MAKINI kwenye kazi zao, hawachomekewi kirahisi rahisi namna hiyo. Ana Kurupuka wala hajapata majukumu ya kuendesha dola; akipewa WILAYA TU si atatoka POVU huyo?
Inaelekea hujui kuwa MSUYA alishabwagwa awali? wacha kukurupuka kama SLAA; ulizia kwa wanaofahamu utaambiwa. Ustaarabu wa Demokrasia ni kukubali matokeo; sio kukataa matokeo ikiwa umeshindwa. Wala sijashauri kuwa SK SLAA afuate kanuni za CCM, ila nimeshangaa kuwa hafuati kanuni za demokrasia; za kukubali matokeo kama anavyofuata Kikwete. Sio mtu ukubali matokeo ukishinda tu; hayo ni mmatatizo ya Waungu WATU. Watakuwambia I AM A BISHOP, I AM A VICAR. Sio hivyo, huku kwenye DEMOKRASIA inaangaliwa umepata KURA NGAPI. Kama KURA HAZIJATOSHA KUBALI, SIO UANZE KUZULIA WENZAKO KUWA WAMECHAKACHUA.
HOJA YA KUSEMA JK ANAKUBALIKA na INTERNATIONAL FIGURES, hao niliowataja HAPO ni wachache tu. Anakubalika Globally; Tena WATANZANIA DUNIA NZIMA WAMESHEHEREKEA USHINDI WA JK. Unatembelea Blog nyengine? Diaspora ya France, Italy, UK, Arabuni ETC wamefanya sherehe za kumuunga Mkono JK. Ingekuwa mimi ndio wewe, wala nisingeweka such a LOUSY comment against MZEE MANDELA; kwani WA TZ sio wote watakaokubaalika na Mandela.
Aidha, unaposema kuwa hao viongozi wengine wa West Wananufaika, hapo sikuelewi kabisa. Ninachoona ni kwamba you have overstreched your thinking capacity, and cannot come with something useful.
Kuhusu KURA kupungua from 80% to 61%.
1. More than 50% of registered voters did not vote, hao wangepiga kura; tungeona victory ya JK ikizidi 80%.
2. CAMPAIGN ZA SLAA ZILIMUOKOA KUPATA KURA, kwa sababu ya mianya aliyokuwa akiitumia. WEWE UNAFAHAMU, sihitaji kutaja humu.
MWISHO KABISA, mimi sifanyi UTETEZI na wala sitegemei UKUU WA WILAYA WALA MKOA. Mie nimejitolea kuwatoa matongotongo, pamoja na kwamba NAONA MUSHAMGEUZA SLAA KUWA MUNGU MTU. KUNA WENGINE WANASEMA DK SLAA HUWA HAKOSEI, humu humu.
Good Morning
Masuala ya uchafu wa ndoa muulize Kikwete kama yuko tayari kujadiliwa kwa hilo. Hapa unaandikia watu wenye kujua mengi, sioni hekima ya kujadili haya, kama ungekuwa mtu wake wa karibu usingejaribu hili..
Kuhusu kuchomekewa, naona kuna 'research' unaifanya hapa hivyo sikupi faida.
Kuhusu kuheshimu maamuzi ya 1995. Hayo ni mambo ya CCM kwamba kuna mtu au kikundi cha watu wachache kinaamua nani awe kiongozi. Maana ukweli ni kuwa Kikwete aliwabwaga Msuya na Mkapa mwaka ule. Uamuzi wa CCM kuongozwa na matakwa ya dikteta fulani au kikundi fulani cha kisultani isiwe ndio msaafu kwamba hata Dr. Slaa afuate nyayo za nyoka.
Ukiondoa Mandela ambaye anaheshimu watanzania wote hata kama ingekuwa Zuzu kawa Rais wa Tanzania, na sababu ya Mandela kufanya hivyo unaijua fika.
Hao wengine unajua fika wanafanya hivyo kwa maslahi yao binafsi. Pia sioni kama ni vema kuorodhesha hapa makampuni makubwa ya uchimbaji madini, utafiti madini, ushauri na maeneo mengine ambapo nchi zao zinafaidika kwa kiasi kikubwa.
Kama kweli Kikwete amefanya kazi nzuri miaka mitano iliyopita, kwa nini pamoja na kuiba kura ameshuka kutoka zaidi ya 80% hadi 61%???
Utetezi wako unafaa ndani ya CCM peke yake. Upeleke huko wakupigie makofi, lakini fanya haraka kabla ya wiki ijayo maana utakosa washabiki. Wengi wanakenua na kupiga makofi saa hizi kwa ajili ya uwaziri, ubunge viti maalum, ukuu wa wilaya na mengineyo mengi. Maana mnadai CCM kazi nyingi....au kupeana kwingi???? kwa manufaa ya nani?????