Ushauri wa bure kwa CCM!

nditolo

JF-Expert Member
Jul 2, 2011
3,609
4,097
Napeda kuishauri CCM bure bila malipo, ili msijepigwa mawe tena na watanzania kama sio watanganyika (sio KANGE wala MWANJELWA au TUNDUMA peke yake bali hata Msoga) zingatia haya;-
1. Fukuzeni spika na wasaidizi wake wote ili kupunguza nuksi
2. Wapeni elimu wabunge wenu ambo hawajui uwepo wao bungeni
3. Mwenyekiti wenu apunguze safari zisizokuwa za lazima
4. Mawaziri wenu waelimishwe namna ya kujibu hoja na sio vijembe kama vya mipasho ya kwenye taarabu
5. Acheni kubeza upinzani hasa CDM wote na NCCR wale wanaotokea Kigoma, maana kwasasa hakuna mwananchi anaewaamini CCM
6. Polisi waelimishwe na wajue kazi yao kwamba wasiifanye kisiasa
7. Acheni kutumia vyombo vya habari vya umma hasa TBC, kama vyenu CCM na si wananchi
8. Acheni kuhusisha familia zenu na madaraka au uongozi (watoto wenu kujifanya viongozi pia) Rz1.
9. Harakisheni mchakato wa katiba, maana mlichaguliwa na tuma kwa matokeo ya kupikwa wala sio kura halali zilizopigwa.
10. Polisi waache kuwasweka ndani wanaharakati wa upinzani maana wanazidi kuwa maarufu kuzidi kawaida maana sasa WABUNGE WA UPINZANI WANJULIKANA KULIKO HATA SODA AU HATA RAIS
11. Acheni kuwadanganya waislamu kuwa CCM au CUF ndio vyama vyao maana kwa kufanya hivyo wenye uelewa mdogo wanayapokea kama yalivyo
Zaidi ya hapo Lukuvi, Lusinde, Jenister Mhagama, Wasirra, Sitta, Nape, Pinda, Kombani Werema na wengine wengi sana waelimisheni kwenye vikao vyenu wajue kazi za bunge na wananchi wanataka kusikia nini kutoka kwao la sivyo KAANANI MTAIONA KWA MACHO.
 
Well said. I salute you. Lakini hawa magamba hawawezi kufanya ingawa naamini kuna wachache baadhi yao wana muono kama huo.
 
CCM wameona hizo amri 11 za raia wa Tz?wakizifuata hizo nchi ye2 mbona ita kua real tazama ramani utaona nchi nzuriii,yenye mito mingi na...malizieni.
 
Napeda kuishauri CCM bure bila malipo, ili msijepigwa mawe tena na watanzania kama sio watanganyika (sio KANGE wala MWANJELWA au TUNDUMA peke yake bali hata Msoga) zingatia haya;-
1. Fukuzeni spika na wasaidizi wake wote ili kupunguza nuksi
2. Wapeni elimu wabunge wenu ambo hawajui uwepo wao bungeni
3. Mwenyekiti wenu apunguze safari zisizokuwa za lazima
4. Mawaziri wenu waelimishwe namna ya kujibu hoja na sio vijembe kama vya mipasho ya kwenye taarabu
5. Acheni kubeza upinzani hasa CDM wote na NCCR wale wanaotokea Kigoma, maana kwasasa hakuna mwananchi anaewaamini CCM
6. Polisi waelimishwe na wajue kazi yao kwamba wasiifanye kisiasa
7. Acheni kutumia vyombo vya habari vya umma hasa TBC, kama vyenu CCM na si wananchi
8. Acheni kuhusisha familia zenu na madaraka au uongozi (watoto wenu kujifanya viongozi pia) Rz1.
9. Harakisheni mchakato wa katiba, maana mlichaguliwa na tuma kwa matokeo ya kupikwa wala sio kura halali zilizopigwa.
10. Polisi waache kuwasweka ndani wanaharakati wa upinzani maana wanazidi kuwa maarufu kuzidi kawaida maana sasa WABUNGE WA UPINZANI WANJULIKANA KULIKO HATA SODA AU HATA RAIS
11. Acheni kuwadanganya waislamu kuwa CCM au CUF ndio vyama vyao maana kwa kufanya hivyo wenye uelewa mdogo wanayapokea kama yalivyo
Zaidi ya hapo Lukuvi, Lusinde, Jenister Mhagama, Wasirra, Sitta, Nape, Pinda, Kombani Werema na wengine wengi sana waelimisheni kwenye vikao vyenu wajue kazi za bunge na wananchi wanataka kusikia nini kutoka kwao la sivyo KAANANI MTAIONA KWA MACHO.


Hii post imenikosha... If beggars where choosers...
 
Back
Top Bottom