wazabangah1
JF-Expert Member
- Jul 16, 2014
- 315
- 114
Hahaha nimecheka sana
Dah, huu uzi unadhihirisha kiasi gani watanzania tunaendesha magari mabovu aisee. Magu aangalie namna ya kulegeza kodi watu wanunue gari zikiwa walau na miaka 4 toka zitoke kiwandani.
Hii mitumba ya magari ya miaka 10 iliopita ina tabu sana!