Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 57,106
- 128,731
Mkuu Kiyalosangi, kwanza naheshimu mawazo yako. Lengo la kuweka rejea ni ili kupunguza kulisema jambo lili lile ulioshalisema kabla.Huwa na kufananisha na mwandishi mmoja wa Makala za Siasa,Kila akitaka kunukuu and nukuu Kitabu chake😀😀...nawe katabia kako hiki,Kila kitu lazima uturejeshe kwa Maandiko yako...uandishi huu unaniboa Mimi ,Ni dalili za ubnafsi na ushamba wa kisomi!Sisi tulio ishia Darasa la Saba tunapenda kujifunza kutoka Kona mbalimbali...bila Shaka huu hizi Ni dalili za kupenda au kushabikia udikteta!
P