Ushauri wa bure: Dkt. Mashinji hamia CCM

Ushauri wa bure: Dkt. Mashinji hamia CCM

Huwa na kufananisha na mwandishi mmoja wa Makala za Siasa,Kila akitaka kunukuu and nukuu Kitabu chake😀😀...nawe katabia kako hiki,Kila kitu lazima uturejeshe kwa Maandiko yako...uandishi huu unaniboa Mimi ,Ni dalili za ubnafsi na ushamba wa kisomi!Sisi tulio ishia Darasa la Saba tunapenda kujifunza kutoka Kona mbalimbali...bila Shaka huu hizi Ni dalili za kupenda au kushabikia udikteta!
Mkuu Kiyalosangi, kwanza naheshimu mawazo yako. Lengo la kuweka rejea ni ili kupunguza kulisema jambo lili lile ulioshalisema kabla.
P
 
Mnataka Mashinji ajiunge na genge la watekaji nyara!! Laah!!
 
Ukatibu mkuu wa chama ni nafasi nyeti na ya juu sana katika uongozi wa chama, kwa nafasi hiyo, katibu mkuu huzifahamu siri nyingi na nyeti za chama, mwenyekiti pamoja na viongozi wengine.

Kuenguliwa kwenye uongozi katika chama katika umri ambao bado una nguvu, nia na uwezo wa kuendelea kukitumikia chama na Taifa, sio salama.

Kwa siasa zetu zenye figisu na hila nyingi, Mh. Mnyika na Mbowe hawawezi kuwa huru na Amani ikiwa msiri wao (Mashinji) bado yupo hai na hajarizishwa na mambo kadhaa ktk chama.

Sio rahisi chadema iruhusu Mashinji apate ubunge au nafasi nyingine ya uongozi kwa kuhofia kwamba anayajua mengi kuhusu chama, uongozi na viongozi wake.

Kwa mantiki hii, Namshauri DKT Mashinji ahamie CCM ili kujikinga dhidi ya maadui ambao walikuwa marafiki.

DKT Mashinji asisubirie kuhujumiwa na Chadema ndipo ahame, atumie fursa hii. Waswahili wanasema 'Udongo uwahi, ungali maji'. Karibu C.C.M DKT MASHINJI.
Hongera, ushauri huu wako umefuatwa
2008 - 2010 Evin School of Management (Shahada ya Uzamili (Masters) ya Public Relations (CSR)
Kiukweli mtu aliyesomea MD halafu anakuja kufanya masters ya PR na alikuwa na PR mbovu vile, huyu mwacheni aende tuu, ana very impressive CV lakini delivery ni bure kabisa!.

Ila na yeye angalau amejitambua
P
 
Haya mchukueni Kinana, sie tushamchukua Mashinji
Mkileta hizo propaganda za kijinga nyie ndo mtaumia, mchukue mashiji alafu wenzenu wakimchukua kinana msianze kulialia hapa na kumzushia kesi za uhujumu uchimi
 
Uzi dhaifu Sana unaoenda kutufungia mwaka wa watu wa hovyo kabisa 2019.

Mtu kutoteuliwa kuendelea kuongoza Chama Ni Dhambi?

Daah hizi Ni akili za kijinga kabisaa. Mwanaume msimamo kuhama hakusaidii zaidi ya kuonekana dhaifu tu.
Yani mkuu unataka Wanawake Kama Wema sepetu wafanye kiki za kuhama chama na Mwanaume kama Mashinji nae afanye hivyohivyo kweli!!

Ushauri wangu: Dr Mashinji Kama kweli PhD yako siyo ya kuungaunga Fanya kubaki hukohuko uliko no matter how it takes.

Remember: Revenge does not change the past.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uzi wangu bado dhaifu kuhusu Dr. Mashinji kuhamia C.C.M?, uwe na akili za kujiongeza
 
Uzi dhaifu Sana unaoenda kutufungia mwaka wa watu wa hovyo kabisa 2019.

Mtu kutoteuliwa kuendelea kuongoza Chama Ni Dhambi?

Daah hizi Ni akili za kijinga kabisaa. Mwanaume msimamo kuhama hakusaidii zaidi ya kuonekana dhaifu tu.
Yani mkuu unataka Wanawake Kama Wema sepetu wafanye kiki za kuhama chama na Mwanaume kama Mashinji nae afanye hivyohivyo kweli!!

Ushauri wangu: Dr Mashinji Kama kweli PhD yako siyo ya kuungaunga Fanya kubaki hukohuko uliko no matter how it takes.

Remember: Revenge does not change the past.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nini maoni yako kuhusu PhD ya Vicent?
 
Uzi wangu bado dhaifu kuhusu Dr. Mashinji kuhamia C.C.M?, uwe na akili za kujiongeza
Acha kukurupuka kujibu bandiko langu kabla ya kulipitia tena.

Rejea kwenye "Ushauri wangu" nilichokisema endapo Dr. Mashinji atahama CDM. Harafu ndo uje kutoa comment yako Sasa.
 
Back
Top Bottom