Kazanazo
JF-Expert Member
- Aug 16, 2023
- 687
- 1,360
Habari za muda huu wanajamii.....
Kwanza niseme tu kuwa mimi ni mjasiliamali mdogo nafanya kazi ya kuuza kava na vitu vidogo vidogo vya simu.
Kinachonipa tabu ni hii biashara ya makava ya simu yaani unakuta nikinunua mzigo labda wa laki moja( kulingana na mtaji wangu) mengi yanakaa na kupitwa na wakati yanakuwa hayauziki tena na hii ni kwakuwa wateja wanakuwa selective sana.
Unaweza kuta mtu kaja na simu tofauti na mzigo uliochukua au tena kava la simu yake unalo ila anahitaji la langi ingine au aina nyingine matokeo yake kava zinakaa tu na ukisema uongeze mwingine utafidia ndio kabisaa yanazidi kujazana.
Najua kuna ma hustlers kama mm either wanafanya kazi hii au washawai fanya naomba tupeane uzoefu namna nzuri ya kuifanya hii biashara na kupata chochote kitu.
Ahsanteni
Kwanza niseme tu kuwa mimi ni mjasiliamali mdogo nafanya kazi ya kuuza kava na vitu vidogo vidogo vya simu.
Kinachonipa tabu ni hii biashara ya makava ya simu yaani unakuta nikinunua mzigo labda wa laki moja( kulingana na mtaji wangu) mengi yanakaa na kupitwa na wakati yanakuwa hayauziki tena na hii ni kwakuwa wateja wanakuwa selective sana.
Unaweza kuta mtu kaja na simu tofauti na mzigo uliochukua au tena kava la simu yake unalo ila anahitaji la langi ingine au aina nyingine matokeo yake kava zinakaa tu na ukisema uongeze mwingine utafidia ndio kabisaa yanazidi kujazana.
Najua kuna ma hustlers kama mm either wanafanya kazi hii au washawai fanya naomba tupeane uzoefu namna nzuri ya kuifanya hii biashara na kupata chochote kitu.
Ahsanteni