Basham
JF-Expert Member
- Oct 10, 2014
- 743
- 433
Mkuu Nenda Tata Tanzania wanakupa basi la siti 40, bei cash ni Tsh 105M unalipia 30% ambayo ndo hyo 30M kwa mwezi unapeleka Mrejesho wa 3.8M, Hakikisha unapata route inayokupa sio chini ya laki mbili per day. uzuri hii inaenda hata rough roads tafuta njia ambayo haina magari mengi utapiga hela.Ok mtaji ni 30million