Biashara ya kuuza unga wa mahindi uliosagwa kutoka mikoani na kuleta Dar

Cainan

JF-Expert Member
Jun 14, 2017
422
486
Habarini wakuu

Kwa muda mrefu nimekuwa na wazo la kufungua biashara ya uuzaji wa unga wa mahindi ambapo unga utakuwa unasagwa mkoani na kuletwa huku Dar

Kutokana na ugeni katika nyanja hii imenipasa kutafuta taarifa muhimu ambazo zinaweza kunisaidia kufanya hii biashara.

Kwahiyo kama kuna mtu ana uzoefu na biashara hii kwa huku Dar kama ni potential au lah naomba aniambie na kama ikiwa ni ngumu pia nikipata ushauri namna ya kuikuza ikawa yenye manufaa zaidi naomba aniambie

Asanteni
 
Habarini wakuu

Kwa muda mrefu nimekuwa na wazo la kufungua biashara ya uuzaji wa unga wa mahindi ambapo unga utakuwa unasagwa mkoani na kuletwa huku Dar

Kutokana na ugeni katika nyanja hii imenipasa kutafuta taarifa muhimu ambazo zinaweza kunisaidia kufanya hii biashara.

Kwahiyo kama kuna mtu ana uzoefu na biashara hii kwa huku Dar kama ni potential au lah naomba aniambie na kama ikiwa ni ngumu pia nikipata ushauri namna ya kuikuza ikawa yenye manufaa zaidi naomba aniambie

Asanteni
Unga ukiusaga mkoani unasimama kiasi gani kwa kilo mpka umeingia kwenye kiroba? Dar wananunua mahindi kutoka Tanga, Moshi au nyanda za juu kusini kwa Tani. Lakini kwenye tani hiyo mahindi kilo ni kati ya 700 Hadi 750 kutegemea na ubora wa mahindi hayo wanasaga na kupack kwenye kiroba.
 
Hii ni biashara nzuri Sana Mkuu Cha kufanya hapa tafuta wakala wa hapa DSM akutafutie wateja itakuwa vizuri Zaid uki deal na wafanyabiashara wa jumla. Yaani ukiweza kupack fresh na ukipata usafiri wa uhakika ni biashara inayolipa Sana.

Pack kuanzia kg 5,10,25

Ukikwama niambie nikutafutie wateja
 
Unga ukiusaga mkoani unasimama kias gani kwa kilo mpka umeingia kwenye kiroba? Dar wananunua mahindi kutoka Tanga, Moshi au nyamda za juu kusini kwa Tani. Lakini kwenye tan hiyo mahindi kilo ni kati ya 700 Hadi 750 kuntegemea na ubora wa mahindi hayo wanasaga na kupack kwenye kiroba.
Sijafahamu mkuu lakini tunataka tutoe mkoani nyanda za juu kusini hasa Ruvuma kule kilo mahindi 540 tuyasagie kule ili tuje tuuzie huku Dar
 
Wewe ndo itakuwa mtu wa kwanza Kwangu mm kuona unasaga unga hukohuko kabisa na kuleta packed product dar. Sijawah ona

Siyo kweli wengi tu wanapeleka. Ila kama ilivyo kwenye biashara yoyote kuna magumu yake mfano leo mahindi ya Tanga Dar tsh 500–550/ 1kgs yakiwa Dar, ukifanya ulinganifu na wewe umesema Ruvuma 540/1kgs utaona hapo tayari ushindani wa bei unaanza kukuengua.

Kikubwa fanya utafiti wa kina utapata majibu ila siyo biashara mbaya kwakuwa ni chakula na uhitaji upo kikubwa pambana na ushindani wa soko.

Nyongeza
Ukifanyia biashara Dar hutategemea mahindi ya Ruvuma tu, ila ukifanyia biashara Ruvuma utalazimika kutegemea mahindi ya huko tu na bei ikiwa juu kuliko sehemu nyingine basi utatakiwa usimame uzalishaji kwakuwa hutaweza kushindana na bei ya soko.
 
Siyo kweli wengi tu wanapeleka .
Ila kama ilivyo kwenye biashara yoyote kuna magumu yake mafano leo mahindi ya tanga Dar tsh 500–550/ 1kgs yakiwa dar, ukifanya ulinganifu na wewe umesema ruvuma 540/1kgs utaona hapo tayari ushindani wa bei unaanza kukuengua .
Kikubwa fanya utafiti wa kina utapata majibu ila siyo biashara mbaya kwakuwa ni chakula na uhitaji upo kikubwa pambana na ushindani wa soko .
Nyongeza
Ukifanyia biashara Dar hutategemea mahindi ya ruvuma tu , ila ukifanyia biashara ruvuma utalazimika kutegemea mahindi ya huko tu na bei ikiwa juu kuliko sehemu nyingine basi utatakiwa usimame uzalishaji kwakuwa hutaweza kushindana na bei ya soko.
Watu wa mikoani wana ushamba sana wa Dar! Yaani kila siku wanawaza wafanyeje ili wawe na acces ya kufika Dar mara mara. Mtu kama mleta mada anaweza kukomaa huko huko nyanda za kusini na akatoboa huko huko coz soko bado ni kubwa ila unaweza kuta yeye mwenyewe haamini anaweza kutoboa bila kuja Dar.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Watu wa mikoani wana ushamba sana wa dar! Yaani kila siku wanawaza wafanyeje ili wawe na acces ya kufika dar mara mara. Mtu kama mleta mada anaweza kukomaa huko huko nyanda za kusini na akatoboa huko huko coz soko bado ni kubwa ila unaweza kuta yeye mwenyewe haamini anaweza kutoboa bila kuja Dar

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Hili tatizo lipo kwa watu wengi sana, sijui kwanini hawaamini unaweza kufanikiwa popote.
 
Siyo kweli wengi tu wanapeleka .
Ila kama ilivyo kwenye biashara yoyote kuna magumu yake mafano leo mahindi ya tanga Dar tsh 500–550/ 1kgs yakiwa dar, ukifanya ulinganifu na wewe umesema ruvuma 540/1kgs utaona hapo tayari ushindani wa bei unaanza kukuengua .
Kikubwa fanya utafiti wa kina utapata majibu ila siyo biashara mbaya kwakuwa ni chakula na uhitaji upo kikubwa pambana na ushindani wa soko .
Nyongeza
Ukifanyia biashara Dar hutategemea mahindi ya ruvuma tu , ila ukifanyia biashara ruvuma utalazimika kutegemea mahindi ya huko tu na bei ikiwa juu kuliko sehemu nyingine basi utatakiwa usimame uzalishaji kwakuwa hutaweza kushindana na bei ya soko.
Ushauri mzuri
 
Watu wa mikoani wana ushamba sana wa dar! Yaani kila siku wanawaza wafanyeje ili wawe na acces ya kufika dar mara mara. Mtu kama mleta mada anaweza kukomaa huko huko nyanda za kusini na akatoboa huko huko coz soko bado ni kubwa ila unaweza kuta yeye mwenyewe haamini anaweza kutoboa bila kuja Dar

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Mkuu kama umetembea mikoa mingi ya Tanzania utakubaliana hakuna Mkoa hata mmoja unafikia Dar hata kwa asililimia 60 kwa kila kitu.

Dar is far the most developed and fast growing Region in Tanzania.

Ukiongelea biashara ya mahindi kwa mfano....Ruvuma kuuza kilo za Unga 100 kwa siku inaweza kuwa ndoto wakati Dar utauza siku moja au siku mbili tu.

Ruvuma unaweza ukawa unauza kilo 5 hadi 10 tu kwa siku. Sasa Tani Moja utaimaliza lini.
 
Watu wa mikoani wana ushamba sana wa dar! Yaani kila siku wanawaza wafanyeje ili wawe na acces ya kufika dar mara mara. Mtu kama mleta mada anaweza kukomaa huko huko nyanda za kusini na akatoboa huko huko coz soko bado ni kubwa ila unaweza kuta yeye mwenyewe haamini anaweza kutoboa bila kuja Dar

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Comment ya Masagati itazame Dar hakuna Kilimo lakini Bei ya Mahindi ni nzuri kuliko hata Mikoa inayolima hayo mahindi.

Dar unakula ndizi, machungwa, mboga mboga kwa bei nafuu zaidi kuliko mikoani.
 
Back
Top Bottom