Cainan
JF-Expert Member
- Jun 14, 2017
- 422
- 486
Habarini wakuu
Kwa muda mrefu nimekuwa na wazo la kufungua biashara ya uuzaji wa unga wa mahindi ambapo unga utakuwa unasagwa mkoani na kuletwa huku Dar
Kutokana na ugeni katika nyanja hii imenipasa kutafuta taarifa muhimu ambazo zinaweza kunisaidia kufanya hii biashara.
Kwahiyo kama kuna mtu ana uzoefu na biashara hii kwa huku Dar kama ni potential au lah naomba aniambie na kama ikiwa ni ngumu pia nikipata ushauri namna ya kuikuza ikawa yenye manufaa zaidi naomba aniambie
Asanteni
Kwa muda mrefu nimekuwa na wazo la kufungua biashara ya uuzaji wa unga wa mahindi ambapo unga utakuwa unasagwa mkoani na kuletwa huku Dar
Kutokana na ugeni katika nyanja hii imenipasa kutafuta taarifa muhimu ambazo zinaweza kunisaidia kufanya hii biashara.
Kwahiyo kama kuna mtu ana uzoefu na biashara hii kwa huku Dar kama ni potential au lah naomba aniambie na kama ikiwa ni ngumu pia nikipata ushauri namna ya kuikuza ikawa yenye manufaa zaidi naomba aniambie
Asanteni